TAKUKURU Shinyanga inamshikilia Joseph Jonas Tasia kwa kukutwa na doti mia sita (600) za vitenge vyenye nembo ya Chama Cha Mapinduzi na vya kawaida

Nyendo

JF-Expert Member
Jun 4, 2017
1,194
4,112
TAKUKURU mkoa wa Shinyanga katika ufatiliaji wa vitendo vya rushwa kuelekea uchaguzi mkuu wa viongozi, manao tarehe 29/06/2020 majira ya saa tatu usiku mtaa wa Mwasele B nyumbani kwa Joseph Jonas Tasia ilikamata doti mia sita za vitenge zenye nembo ya Chama cha Mapinduzi na vya kawaida vikiwa vimehifadhiwa nyumbani kwake jambo ambalo linaashiria kuwa vilikuwa vinaandaliwa kutumika kufanya ushawishi kwa wapiga kura.

Aidha uchunguzi wa TAKUKURU umebaini kuwa Joseph Jonas Tasia ambaye ni mfanyabiashara wa magari madogo tax hana duka la vitenge wala hafanyi biashara ya vitenge.

Katika mahojiano na TAKUKURU Joseph Jonas alishindwa kutoa maelezo ya kutosha kuhusiana na mzigo huo wa vitenge na hata risiti za manunuzi ya vitenge hivyo hazikujitosheleza.
1593771576719.png
 

Attachments

  • New Doc 2020-07-03 10.09.03(1).pdf
    643.8 KB · Views: 14
TAKUKURU mkoa wa Shinyanga katika ufatiliaji wa vitendo vya rushwa kuelekea uchaguzi mkuu wa viongozi, manao tarehe 29/06/2020 majira ya saa tatu usiku mtaa wa Mwasele B nyumbani kwa Joseph Jonas Tasia ilikamata doti mia sita za vitenge zenye nembo ya Chama cha Mapinduzi na vya kawaida vikiwa vimehifadhiwa nyumbani kwake jambo ambalo linaashiria kuwa vilikuwa vinaandaliwa kutumika kufanya ushawishi kwa wapiga kura.

Aidha uchunguzi wa TAKUKURU umebaini kuwa Joseph Jonas Tasia ambaye ni mfanyabiashara wa magari madogo tax hana duka la vitenge wala hafanyi biashara ya vitenge.

Katika mahojiano na TAKUKURU Joseph Jonas alishindwa kutoa maelezo ya kutosha kuhusiana na mzigo huo wa vitenge na hata risiti za manunuzi ya vitenge hivyo hazikujitosheleza.
Dr Kigwangalla na baiskeli!
 
TAKUKURU mkoa wa Shinyanga katika ufatiliaji wa vitendo vya rushwa kuelekea uchaguzi mkuu wa viongozi, manao tarehe 29/06/2020 majira ya saa tatu usiku mtaa wa Mwasele B nyumbani kwa Joseph Jonas Tasia ilikamata doti mia sita za vitenge zenye nembo ya Chama cha Mapinduzi na vya kawaida vikiwa vimehifadhiwa nyumbani kwake jambo ambalo linaashiria kuwa vilikuwa vinaandaliwa kutumika kufanya ushawishi kwa wapiga kura.

Aidha uchunguzi wa TAKUKURU umebaini kuwa Joseph Jonas Tasia ambaye ni mfanyabiashara wa magari madogo tax hana duka la vitenge wala hafanyi biashara ya vitenge.

Katika mahojiano na TAKUKURU Joseph Jonas alishindwa kutoa maelezo ya kutosha kuhusiana na mzigo huo wa vitenge na hata risiti za manunuzi ya vitenge hivyo hazikujitosheleza.

Ukiona hivyo ujue hayupo kwenye ile list iliyopangwa huko bungeni, kumuongezea jiwe muda zaidi wa kukaa madarakani.
 
Kama zimekutwa kwenye ghala na muhusika si kiongozi ktk chama, hii wala sio kesi. Mikutano au matukio ya makundi fulani ktk jamii ni fulsa za kibiashara. Wanao ona mbali hutengeneza Souvenirs na kuuza kujipatia pesa.
 
TAKUKURU mkoa wa Shinyanga katika ufatiliaji wa vitendo vya rushwa kuelekea uchaguzi mkuu wa viongozi, manao tarehe 29/06/2020 majira ya saa tatu usiku mtaa wa Mwasele B nyumbani kwa Joseph Jonas Tasia ilikamata doti mia sita za vitenge zenye nembo ya Chama cha Mapinduzi na vya kawaida vikiwa vimehifadhiwa nyumbani kwake jambo ambalo linaashiria kuwa vilikuwa vinaandaliwa kutumika kufanya ushawishi kwa wapiga kura.

Aidha uchunguzi wa TAKUKURU umebaini kuwa Joseph Jonas Tasia ambaye ni mfanyabiashara wa magari madogo tax hana duka la vitenge wala hafanyi biashara ya vitenge.

Katika mahojiano na TAKUKURU Joseph Jonas alishindwa kutoa maelezo ya kutosha kuhusiana na mzigo huo wa vitenge na hata risiti za manunuzi ya vitenge hivyo hazikujitosheleza.
Karne hii bado kuna watu wananunuliwa kwa khanga na vitenge?
 
Vitenge-620x308.jpg

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) Mkoa wa Shinyanga, inamshikilia mfanyabiashara Joseph Tasia akiwa na doti 600 za vitenge vyenye nembo ya Chama Cha Mapinduzi (CCM). Anaripoti Mwandishi Wetu, Shinyanga … (endelea).
Takukuru imesema, vitenge hivyo vya kawaida, vinadaiwa kutaka kutumika kushawishi wapiga kura kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2020.

Hayo yamesemwa leo Ijumaa tarehe 3 Julai 2020 na Mkuu wa Takukuru, Mkoa wa Shinyanga Hussein Mussa kupitia taarifa yake kwa umma.
Soma zaidi:-
Mussa amesema, tarehe 29 Juni 2020 saa 3 usiku, katika mtaa wa Mwasele B nyumba ya Tasia, walimkuta na doti hizo za vitenge vikiwa vimehifadhiwa nyumbani kwake jambo ambalo linaashiria vilikuwa vinaandaliwa kutumika katika kufanya ushawishi kwa wapiga kura.

Amesema, uchunguzi walioufanya, wamebaini, Tasia ambaye ni mfanyabiashara wa usafiri wa magari madogo ‘taxi’ hana duka na wala hafanyi biashara ya kuuza vitenge.
EB0D3B74-8F7A-45AD-8B93-D32FC282977C.jpeg

“Katika mahojiano na maafisa wa Takukuru Mkoa wa Shinyanga, ameshindwa kutoa maelezo yanayojitosheleza kuhusiana na mzigo husika na hata nyaraka za manunuzi ya mzigo huo alizowasilisha hazijitoshelezi na hivyo kuongeza mashaka juu ya uhalali wa vitenge hivyo,” amesema Mussa.

Amesema, uchunguzi wa kina bado unaendelea ili kubaini iwapo vitenge vilikuwa ni kwa ajili ya kuhusika na vitendo hivyo vya rushwa katika uchaguzi ujao au ni kwa ajili ya kufanya biashara msimu huu wa kuelekea uchaguzi mkuu.
 
Mtu anayehongwa kitenge, flana, kofia ni zumbukuku kabisa

Ova
 
Back
Top Bottom