rushwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. beth

    TAKUKURU kutoa elimu ya rushwa ya ngono mtaa kwa mtaa

    Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Kitengo cha Kupambana na Rushwa ya Ngono, imesema imejipanga kuanza kutoa elimu mtaa kwa mtaa ili kuhakikisha inawafikia watu wa rika zote. Mkurugenzi wa Idara hiyo, Janeth Mawinza, aliyasema hayo jana jijini Dar es Salaam alipofungua kikao...
  2. Nyendo

    Kamishna Mkuu TRA Dr. Edwin P. Mhede, awanasa Wachina waliotaka kumpa rushwa ya dola 5,000/=. Wahukumiwa kulipa Tsh. Milioni 1 kila mmoja

    Jana mida ya saa sita mchana ofisini kwa Kamishna mkuu wa TRA alipokea taarifa kutoka kwa watumishi mwenzake sio wa mamlaka ila mtumishi wa umma akimueleza kwamba kuna wateja walitaka kumuona, wana maswala yao ya kikodi wakidai kwamba wamewakadiria kodi kubwa kuliko wanavyopaswa kulipa kwa hiyo...
  3. Analogia Malenga

    Arusha: Askari watano mbaroni kwa tuhuma za rushwa

    Arusha. Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) Mkoa wa Arusha imewakamata askari watano akiwamo mmoja wa Uhamiaji kwa tuhuma za kuomba na kupokea rushwa. Mkuu wa Takukuru Mkoa wa Arusha, Frida Wikesi akizungumza na Mwananchi leo Februari 11, 2020 ofisini kwake amesema polisi hao...
  4. J

    Kumekucha: CCM kuwafungia Maisha wagombea watakaokutwa na hatia ya rushwa kwenye uchaguzi mkuu

    CCM imetoa onyo kwa wagombea wake wote wa uchaguzi mkuu kwamba yoyote atakayepatikana akitoa rushwa atafungiwa maisha yake yote kushiriki uchaguzi kupitia chama hicho. Hii ni hatua muhimu sana katika kudhibiti wale wote wenye nia ya kununua nafasi za uongozi. Source Mtanzania Jumapili
  5. chakii

    Salum Hamdun: Hakuna miundombinu ya reli Kilimanjaro iliyoharibiwa

    Kama ilivyoripotiwa na mkuu wa Wilaya ya Hai, Ole Sabaya kuwahusisha wafanyabiashara wa mabasi siku chache zilizopita, uchunguzi umebainisha taarifa za Mkuu wa Wilaya hazikuwa na Ukweli. My take ; Ole Sabaya unapaswa kuomba msamaha na kuwalipa faini uliowatuhumu Chanzo: ITV Pia soma > Hai...
  6. M

    Sakata la kupandisha madaraja kwa rushwa Moshi: Idara ya utumishi manispaa yapanga mbinu chafu kujiokoa

    Poleni kwa ukimya wa siku kadhaa, tulikuwa na majadiliano na wanasherua kadhaa kupata ushauri wa namna ya kuwa salama iwapo tutaamua kuweka ushahidi ambao unaweza kuambatana na ku-reveal identity. Tuko pazuri! Niwashukuru sana wanajamvi wanaozidi kutuma salamu za pole na wengine kutuma evidence...
  7. Roving Journalist

    Ukaguzi wa vyama vya ushirika: TAKUKURU yabaini kasoro na kufanikiwa kurejesha fedha jumla ya shilingi bilioni 4 kutoka kwa watuhumiwa

    TAARIFA KWA UMMA KUPITIA VYOMBO VYA HABARI IMETOLEWA JIJINI DAR ES SALAAM JANUARI 22, 2020 TAKUKURU YAFANYIA KAZI RIPOTI YA UKAGUZI WA VYAMA VYA USHIRIKA: YABAINI KASORO NA KUFANIKIWA KUREJESHA FEDHA JUMLA YA SHILINGI BILIONI 4 KUTOKA KWA WATUHUMIWA Ndugu Waandishi wa Habari, Awali ya yote...
  8. Victor Mlaki

    Mambo 10 makubwa ya Rais wa awamu ya tano wa Tanzania

    Kwa majibu wa China Global Television Network (CGTN )mwaka 2020 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Johnn Pombe Magufuli anaonekana ni Rais wa pekee sana na ni miongoni mwa Maraisi Watano bora (5) Afrika kutokana na njia yake ya pekee ya kuleta mageuzi katika Nchi yake. Mambo hayo 10 ni...
  9. beth

    Tabibu akamatwa kwa kumuomba mgonjwa rushwa na kufanya upasuaji asio na ujuzi nao

    Katika hali ya kushangaza Tabibu Msaidizi Eliud Humbo anashikiliwa na Mamlaka ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) baada ya kufanya upasuaji asio na ujuzi nao Humbo ambaye andaiwa kumfanyia Upasuaji wa ngili mgonjwa mmoja ambaye alipewa rufaa ya kwenda hospitali ya mkoa Mkuu wa Mamlaka...
  10. Erythrocyte

    Tulia Ackson atumia Tulia Trust kulipia bima anaowaita wazee wasiojiweza Mbeya

    Tulisema tangu awali kwamba huyu mama anatumwa na ngazi za juu kuna waliotubishia, sasa mambo ni hadharani. Amekusanya aliowaita wazee wanaoishi kwenye mazingira magumu kwenye ukumbi wa Royal Tughimbe eti kwa lengo la kuwalipia bima ya afya! Alikuwa wapi miaka yote kufanya haya? Anagawa rushwa...
  11. NAMBA MOJA AJAYE NCHINI

    Tuhuma za Kutoa Rushwa kwa Wakuu wa shule Wawili wa Halmashauri ya Tabora Wilaya ya Uyui!

    Habari za kuaminika kutoka Uyui zinasema Mahead master wawili wametoa Laki tano tano kwa Afisa elimu taaluma (jina nalihifadhi) ili wabaki kuwa wakuu wa shule sekondari Kinyume na kiwango cha elimu yao ambayo ni diploma!!!Wakuu hao kwa wakati tofauti wametoa rushwa hiyo ili kubaki madarakani...
  12. DISPLEI

    Kero za Rushwa Trafic kituo cha Mwendo Kasi - Ubungo Kibo

    Hivi karibuni Trafic Police wanakaa sambamba na kituo cha Ubungo Kibo kuzuia magari yasipite njia ya mwendo kasi (kuelekea Ubungo). Sambamba na kituo hicho, kuna kituo cha daladala pia na bajaji zinapakia na kushusha. kutokana na pilikapilika mahali hapo, waendesha magari kuna wakati...
  13. BASIASI

    Rushwa nje nje kituo cha mabasi Ubungo Mawasiliano

    Sidhani kama hiyo kitu itaisha Unapoingia mawasiliano watu wamejipanga wanasimamisha kila gari. Na kila gari konda anashuka anaweka 3000 anasokota kwenye risiti ya zamani akifika anakabidhi risiti anageuka. Ukikaa kituo cha kwenda Mbezi unaweza kuhisi ni movie. Mbaya mmoja anasimamisha zaidi...
  14. Analogia Malenga

    Israel: Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu aomba kinga ya bunge dhidi ya mashitaka ya ufisadi

    Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, ameamua kutafuta kinga ya bunge dhidi ya mashitaka ya ufisadi yanayomkabili. Hatua hiyo huenda ikachelewesha kesi dhidi yake hadi uchaguzi utakapofanywa upya mwezi Machi. Mwezi Novemba, Waziri Mkuu alishitakiwa na mwanasheria mkuu kwa kutoa hongo...
  15. Influenza

    Korea Kusini: Waziri wa zamani ashurumiwa kwa makosa ya rushwa

    Waziri wa zamani wa Sheria Cho Kuk ameshtumiwa kwa jumla ya makosa 11 yakiwemo ya rushwa, uzuiaji wa Biashara na kughushi nyaraka na madai mengine yanayohusiana na kashfa dhidi ya familia yake Mwendesha Mashtaka amedai ufadhili wa masomo ya Utabibu wa Milioni 6 (Fedha za Korea) alioupata mtoto...
  16. Influenza

    Vietnam: Waziri wa Zamani afungwa maisha kwa makosa ya rushwa

    Waziri wa zamani wa Habari na Mawasiliano, Son Bac Nguyen amehukumiwa kifungo hicho huku aliyekuwa Naibu wake, Tuan Quoc Tran akihukumiwa kifungo cha miaka 14 kwa makosa ya rushwa yaliyoisababishia Serikali hasara ya Dola za Marekani Milioni 3 Mahakama ya Watu ya Hanoi imetoa kifungo hicho kwa...
  17. D

    Madai ya Rushwa za Ngono Yasitumike Kukandamiza Wengine

    Moderator naomba andiko langu lijitegemee, lisiunganishwe na nyuzi kadhaa zilizoandikwa humu kuhusiana na Rushwa za ngono kwa sababu maudhui yake ni tofauti kabisa. Hivi karibuni kumekuwa na taarifa nyingi zinazoandikwa kuhusiana na rushwa za ngono au manyanyaso ya kingono yanayofanywa zaidi na...
  18. Influenza

    Katibu Mkuu wa Chama cha Kijamii (CCK) mbaroni kwa kuomba rushwa ya Tsh. Milioni 50

    Picha: Renatus Muabhi Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Nchini (TAKUKURU) inamshikilia Katibu Mkuu wa Chama cha Siasa kiitwacho Chama Cha Kijamii (CCK), Renatus Muabhi kwa kujifanya Mtumishi wa Taasisi hiyo Anadaiwa pia kuomba rushwa ya Tsh. Milioni 50 kwa Mkurugenzi wa Kampuni ya...
  19. Chakaza

    TAKUKURU, Bila Kuchunguza hii Rushwa ya Bunge, bora ivunjwe

    Kumekuwa na tuhuma nyingi kuwa Taasisi ya Kuzuia Rushwa ni Toothless bull dog na kwamba taifa linapoteza fedha nyingi kuiendesha wakati haina tija yeyote. Na haya yamesemwa mpaka na wabunge wenyewe. Kuna tuhuma ambazo zimekuja kama swali bungeni leo kuhusu wabunge wa CCM kupewa rushwa ya...
  20. JamiiForums

    Toka kwa Wananchi: Kero na vitendo vya kifisadi vinavyoendelea nchini vinavyotakiwa kufuatiliwa

    Ndugu wana JamiiForums, Nchi yetu imetafunwa mno na ni wakati sasa tuseme imetosha. Tumsaidie Rais Magufuli na Serikali yake kuweza kuzifahamu kero zetu za yanayotusumbua kama Watanzania ambayo tungependa yafanyiwe kazi. Karibuni sana. MWONGOZO: Elezea jipu/kero yako na kama ina ufafanuzi wa...
Back
Top Bottom