ruby

  1. Danielmwasi

    Majizzo na tuhuma za kutaka Rushwa ya Ngono kwa Vanessa Mdee na Ruby - nani atachukua hatua?

    Previous Vanessa Alisema rushwa ya ngono ni issue kubwa sana kwa industry. Na kuna report Majizzo was after her na aliamua kuacha muziki Kabisa. Currently ruby Anasema Tena. The same things. Same person yupo accused. Sasa, till when tutachukua hatua hata kumuhoji? Why? What measures anachukua...
  2. Leak

    Msanii Ruby atoa wimbo! Aomba support ya Mashabiki “YATAPITA”

    Baada ya kutrend na sakata la kuombwa Ngono,Leo msanii Ruby ameona sio mbaya akatumia upepo huo kutoa wimbo unaoitwa “YATAPITA” na ametumia muda huu kuwaomba mumsapoti…. Pamoja na hilo imeonekana kama alitaka kiki ilikutoa wimbo wake mpya.
  3. F

    RUBY ana Trauma na Depression, wanaomponda Ruby ni wajinga na ndio wamejaa kwenye familia zetu na maofisini

    Habari wadau. Nazani wengi tumeona trending za msanii wa kike Ruby. Binafsi najua ruby amekosea ila kuna kitu nimekigundua na kumuelewa ruby. Historia ya maisha ya ruby tu imempa hasira hasira. Mtoto alielelewa kwa upendo wa baba na mama ana tofauti na mtoto alielelewa kwenye familia isiyo...
  4. Mhaya

    Msanii Ruby amlipua Majizzo: Rushwa ya Ngono na mambo faragha

    Msanii Ruby ambae siku ya Leo ameenda live Instagram ameonesha kuchukizwa na kutoa ya moyoni dhidi ya Boss wa EFM na ETV anayefahamika kama Fransic Siza a.k.a Majizzo au Majay. Msanii huyo wa kizazi kipya ametoa kauli ya kutakwa kimapenzi na Boss huyo ambae kwa sasa ameoa mke "Elizabeth...
  5. Intelligent businessman

    Kipi kinamfelisha msanii Ruby kuendelea kufanya vizuri katika muziki?

    Ruby, moja ya wasanii wenye vipaji vikubwa katika muziki, kuanzia sauti mpaka uwasilishaji wake lazima vitakuvutia. 👉 Nyimbo kama Jela, Yule na Forever ni moja ya hits pendwa, ambazo zimeendelea kumpa sifa au kuuonyesha ubora wake. 👉 Nimejiuliza kipi kinachomfanya asiendelee kuwika katika zama...
  6. chlorine gas

    Haya ni mawe gani?

    Wataalamu wa hizi kazi naomba msaada?
  7. Nyankurungu2020

    Inashangaza sana! Rasilimali za taifa zimetoroshwa, ruby ya bil 276 imetoroshewa Dubai Mkuu wa nchi yupo kimya kama vile ni jambo dogo

    Kwa namna hali ilivyo nilitegemea mkuu wa nchi awe amekemea na kumpa Dotto Biteko Ultimatum. Yupo busy tu na kuwapongeza waliochangia Royal tour kimchongo. Utoroshwaji wa rasilimali za umma unarudisha maendeleo ya taifa letu. Kama mkuu wa nchi hakemei suala kama hili basi tumepotea njia.
  8. Pascal Mayalla

    Tanzania "Shamba la bibi" hadi lini? Hii Ruby ni yetu. Iweje iko sokoni Dubai na serikali yetu haijui? Nasaidia, mchimbaji huyu, anzieni hapa!

    Wanabodi, Naendelea na zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", na Leo ni kuhusu uzalendo wa kujitolea kuisaidia serikali yako na nchi yako, pale unapoona imeshindwa na inahitaji msaada, je tutaendelea kufanywa Shamba la Bibi Hadi Lini?. Hili ni bandiko la kuisaidia serikali yetu kuhusu...
  9. Nyankurungu2020

    Angekuwepo Hayati Magufuli Ruby ya bilioni 240+ isingetoroshwa. Taifa litaibiwa sana rasilimali zake

    Hivi madini ya pesa nyingi kama hizi yanatoroshwa na kwenda kuuzwa nje mamlaka husika hazina taarifa, huu ni uzembe mkubwa sana. Taifa linaibiwa rasilimali zake kama shamba la bibi. Hayati JPM alidhibiti haya mambo. Maana huko nyuma hata Nairobi ndio ilikuwa soko kubwa la dhahabu ya Tanzania...
  10. Idugunde

    Ruby yenye thamani ya bil 276 ilisafirishwa kimagendo huko Dubai? Serikali haina taarifa ilifikaje

    Mbona hii ajabu sasa, madini ya pesa ndefu kama hii yalichimbwa hapa nchini kwetu na kusafirishwa Dubai bila mamlaka za serikali kufahamu? Utata rubi ya Tanzania inayopigwa mnada Dubai Utata rubi ya Tanzania inayopigwa mnada Dubai ====== Rare 8,400 carat rough ruby lands in Dubai for auction...
  11. Msandawe Jr

    Mwongozo mwenye kufahamu soko la ruby (gemstone)

    Habarini za mchana wanaJF! Naomba kuuliza mwenye ufahamu wa soko la uhakika la ruby Tanzania.
  12. N

    Alicia Keys tribute ya Jay Z, Bongo kama hii unapata kwa Ruby na Grace Matata

    naomba mniambie zaidi ya Ruby na Grace Matata nani anaweza kupiga show ya hivi hata kama akipigiwa vyombo?nazungumzia hadi wanaume sitaki wale wa gospel kina joe lwaga au gosbert wale wanajua labda hapo nitamuweka Ben Paul kidooogoo sana otherwise tutachochereshana.
  13. cantona55

    Zuchu Vs Ruby nani anaijua zaidi kuimba?

    Nimeleta hii mada jamvini, kufahamu ni nani kati ya zuchu wa WCB na ruby nani zaidi? Utime weka pembeni, ndio uchangie mada.. Ukitoa na sababu itakuwa vizur zaid ili tuelewe poin yako...
  14. H

    Nandy: Vanessa na Ruby hawaniwezi

    Msanii wa kimataifa na mwenye mvuto wa sauti wa kumtoa nyoka pangoni na msanii mwenye mvuto kuliko msanii yoyote barani Africa Nandy a.k.a African Princess. Amefunguka baada ya kushindanishwa na V.Money na Ruby na mashabiki nakusema wote wawili hawapo level yake na amewashauri mashabiki...
  15. Its Pancho

    Lady jay dee na Ruby hakuna anayewafikia kwa kuimba live

    Kiukweli bandugu. Hawa wasanii wawili kwa hapa bongo sijaona mtu anayewazidi kwa kuimba live. Maana wengi wanaimba na CD yaani playlist imepangwa kwenye CD halafu anashuka tu.! Lakini show nyingi za Hawa wawili nimeshuhudia huwa wanaimba live na wanafanya vizuri sana.. Kiukweli unaiskia...
  16. B

    Naomba kujua bei ya madini ya Ruby

    Habari wadau, naomba kujua Bei ya madini ya Ruby mpaka kufikia leo. Kwa mwenye soko napatikana 0755500510
Back
Top Bottom