Tanzania "Shamba la bibi" hadi lini? Hii Ruby ni yetu. Iweje iko sokoni Dubai na serikali yetu haijui? Nasaidia, mchimbaji huyu, anzieni hapa!

Pascal Mayalla

Platinum Member
Sep 22, 2008
50,440
113,448
Wanabodi,

Screen Shot 2022-04-24 at 10.22.09 AM.png
Screen Shot 2022-04-24 at 10.22.45 AM.png


Naendelea na zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", na Leo ni kuhusu uzalendo wa kujitolea kuisaidia serikali yako na nchi yako, pale unapoona imeshindwa na inahitaji msaada, je tutaendelea kufanywa Shamba la Bibi Hadi Lini?.

Hili ni bandiko la kuisaidia serikali yetu kuhusu hii Ruby, Swali ni Tanzania tutaendelea kufanywa ni "Shamba la Bibi" hadi lini?!. Hii Burj Alhamal Ruby ni Yetu!, Iweje Iko Sokoni Dubai, lakini serikali yetu haijui chochote?!.

Uzalendo ni kuipenda nchi yako kwa moyo wako wote, kwa roho yako yote na kwa nafsi yako yote na kuilinda na kuitetea kwa moyo wako wote, kwa nguvu zako zote, na kwa uwezo wako wote, na ikibidi kuipigania, uwe tayari kuutoa uhai wako kuifia nchi yako!

Uzalendo wa kweli hukaa ndani ya mtu, hauonekani kwa macho, bali hukaa moyoni, hivyo kuna watu ukiwaangalia kwa juu juu at face value kwa jinsi wanavyo onekana, wanaonekana kama ni wazalendo, lakini in reality sio wazalendo lolote wala uzalendo chochote, bali ni wapigaji, na baadhi yao ndio mafisadi wakubwa!. Wamejivisha ngozi ya kondoo ya uzalendo,Ila kwa ndani ni mbwa mwitu, fisi, Chui na Chatu kabisa!

Na kuna watu ni hohe hahe, masikini wa kutupwa, wanaoishi kwenye lindi la umasikini uliotopea, lakini wana moyo wa upendo wa dhati kwa taifa lao na ndio wazalendo wa kweli wa taifa hili, Mimi najihesabu ni mmoja wa wazalendo hawa, sinyamazi kusubiria wasifu ile siku, najitanabaisha wazi ili ikifika angalau nihesabiwe nilisema, niliandika na kutengeneza kipindi cha TV.

Ukiona kuna kitu serikali yako imeshindwa na wewe unaweza kusaidia, saidia tuu usingoje uombwe, na nilivyofanya huko nyuma, na ndicho ninafanya hapa.

Baada ya Tundu Lissu kushambuliwa na wasiojulikana, serikali yetu ilishindwa kuwapata, mimi ni miongoni mwa tuliojitolea kuisaidia serikali yetu kuwabaini wasiojulikana hawa, WanaJF, je tuisaidie Serikali yetu inaposhindwa au tusubiri ishindwe, tuibeze na kuizomea kuwa haiwezi?

Kwenye ulinzi wa Rasilimali zetu, kwa muda mrefu Tanzania tumekuwa na kilio cha kufanywa shamba la bibi kwa manyang'au kutuibia Rasilimali zetu as if hazina mwenyewe!.

Hivi ninavyoandika hapa, kuna jiwe la kito cha thamani aina ruby kutoka mgodi wa ruby wa Winza kule Dodoma, lenye uzito wa kilo 2.8, ambalo limechimbwa na Mchimbaji mdogo, serikali haijui, Mchimbaji huyo haijui thamani yake hivyo ameuza bei ya kutupa, serikali haijui. Mnunuzi kaliondoa nchini kinyemela serikali haijui. limeuzwa serikali haijui, mnunuzi kaliuza kwa tajiri wa Kiarabu, serikali haijui. Tajiri wa Kiarabu kalibatiza jina la Burj Alhamal Ruby, serikali haijui.

Sasa Burj Alhamal Ruby liko sokoni Dubai, likisubiria mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhan uishe, lipigwe mnada, serikali haijui!

Mbunge Mhe. Danstan Kitandula, anauliza Bungeni kumuuliza Waziri wa Madini kuhusu jiwe hili, Waziri wa Madini anashanga na yeye kusema serikali haijui Ila na wao wamesikia mitandaoni!

Serikali sio mtu ni Taasisi, ina jicho kali linaona kila mahali, ina mkono mrefu unafika kila kona, hivyo katika hali ya kawaida, haiwekani haya yote yatokee Tanzania!, tutaendelea kufanywa Shamba la Bibi Hadi Lini?. Kwa vile sasa tunaishi kwenye ulimwengu wa "the world of information world" kila kitu ni kwenye ncha za vidole vyako, kuisaidia serikali yetu ipate PA kuanzia, hizi ni data zote za jiwe hili akiwemo mmiliki.

1650640296751.png

Huyu jamaa Steve Ulatowski, ndie mtaalamu wa Madini ya ruby aliyepima properties za jiwe hili, akiwa na mmoja wa wachimbaji wa ruby sasa analisagia kunguni jiwe letu la Dubai ili mnada usifanyike kwasababu hilo jiwe limepigwa!

Burj-Alhamal-1024x891.png

Buyer Beware: Closer Examination of the Burj Alhamal Ruby Casts Doubt on its $120 Million Valuation​

by Jeffery Bergman, AGA ASG, BDC-BGC SSEF
April 21, 2022

An astonishing record-breaking rough ruby of 8,400 carats, weighing 2.8 kilograms, from Winza, Tanzania has gone on display at the Waldorf Astoria Dubai International Financial Centre. According to Patrick Pilati, a director of the company that owns the ruby, SJ Gold & Diamonds of Dubai, said it is one of the largest rubies in the world and is valued at approximately $120 million. As the company’s crown jewel, they have named it ‘Burj Alhamal’.

Is the Burj Alhamal really worth $120 million? Photo attribution: The National.

However, a closer examination of the stone casts doubt on its estimated valuation. A closer look at the details reveals the stone may not be what it seems. For example, a 5.00 carat stone weighs about 1.00 gram. Therefore, a 8,400 carat stone would weigh approximately 1.68kg, not 2.8 kilograms. Second, several rough ruby-in-zoisite specimens 5 to 10 times larger have been documented. Third, rubies from Winza are not found in zoisite. The stone is likely from Longido, Tanzania. Finally – and most importantly – current valuations for ruby-in-zoisite specimens do not support the estimated $120 million valuation for the Burj Alhamal.

So, what could the Burj Alhamal really be worth? Steve Ulatowski of New Era Gems is an expert in ruby-in-zoisite specimens. He has sold a substantial amount of this material at the going rate of around US$350 per kilogram, including the approximately 3kg specimen he is holding in the photo below. “Maybe US$1200 if we were lucky…wholesale, most likely [this would sell for] $750.”

Steve Ulatowski with a miner in Tanzania. ©Travis Lejman

New Era Gem’s table at Tucson 2022 selling ruby-in-zoisite specimens from Longido, Tanzania for $350 per kilogram.

Another example that undermines the extraordinary valuation of the Burj Alhamal is the 2 kg ruby-in-zoisite specimen named the “Gem of Tanzania.” It was initially valued at £11m (US$14.35m) and owned by UK Wrekin Construction. The company used the valuation of the stone to help prop up its balance sheet. Forced into bankruptcy, the court-appointed administrators Ernst & Young declared the 2kg stone’s £11m valuation and its accompanying documents as forgery. With 60 offers, it was eventually auctioned for a mere £8,000 (US$10,400), leaving creditors with massive losses exceeding £45m (US$58.7m).

But there’s still more evidence that points to an inflated valuation for the Burj Alhamal. A 228,000 carat (45.6kg) ruby-in-zoisite specimen offered by Bonhams in Los Angeles on 20 May 2014 carried an estimated value of US$100,000-$150,000. This enormous ruby specimen is 16 times larger than the “Burj Alhamal.” It failed to sell at the Bonhams auction. In other words, bidding did not reach the minimum estimated value of US$100,000 (or US$2,200 per kilogram).

Instead, the Bonhams stone, which the listing states was carved from a “single specimen of Tanzanian ruby rough” by a famous Idar-Oberstein carver, had a finished weight of 0.85kg and sold at auction for $13,200 or $15,500/kg. This is another great price/value comparison to the Burj Alhamal which, from its photos, is likely of similar or lesser quality. The National photo of Burj Alhamal shows that the stone may only be about 25% ruby and 75% zoisite. This means the actual ruby content is about 0.7kg – considerably less than the 0.85kg of the Bonhams carved toad.

Several other Bonhams auction records demonstrate that you can purchase ruby-in-zoisite specimens for a few hundred dollars.

New Era Gems website offers a 2.92KGS ruby-in-zoisite specimen for US$700.

The 2.8kg (or 1.68kg?) “Burj Alhamal” is only one of the gems in the SJ Gold & Diamonds Callisto collection, which includes 12 rough rubies that weigh a total of “an astonishing 236,000 carats” according to Tariq Saeed, writing for Dubai’s Periodical Today news website.

SJ Gold & Diamonds should pay closer attention to auction records when publishing any eye-popping valuation of the stones in its collection. Otherwise, experience from the likes of the Gem of Tanzania will dictate the obvious next question: “Why?”

Kwa kuwasaidia wenzangu na mimi ambao hizi lugha ni lugha za watu.

Kwa mujibu wa mtaalamu wa miamba ya madini, anasema japo hili jiwe la hii Ruby limeingizwa soko la kimataifa Kwa makaratasi ya kuonyesha limechimbwa mgodi wa Winza Dodoma, hizo karatasi ni forgery, hili jiwe limechimbwa Longido Arusha, na Mchimbaji mdogo, ambaye hajui thamani ya jiwe hilo, hivyo alishikishwa kidogo dogo cha pesa mbuzi , kwake akaziona nyingi. Jiwe likaondoka Longido.

Ili jiwe liweze kuingia masoko ya kimataifa, ni lazima lisajiliwe na kupatiwa certificate of origin, hivyo ukatafutwa mgodi wa ruby ambao uko tayari ku issue that certificate, and that where mgodi Winza huko Dodoma ulipoingia ukatoa face certification ili mzigo uingie Sokoni. Jamaa wakalipwa chao, wakaingia front kuwa jiwe ni Lao, wakaliandikia certification, na sijui kama kodi za serikali zilipwe ndio maana serikali haijui!.

Hawa mgodi wa Winza, walifanya kosa moja tuu, walipima uzito bila kupima properties na kulisajiji kuwa wamelichimba wao. Hilo jiwe lina properties za kitu kinachoitwa zoisite, ambacho kinapatikana Longido tuu!, iweje ruby ya zoisite ipatikane Dodoma?.

Ni kama jiwe la Tanzanite kinapatikana Mererani pekee, lakini muuzaji mkubwa number 1 wa Tanzanite ni India akifuatiwa na Africa Kusini, Tanzanite inapatikana Mererani pekee nchini Tanzania, hiyo Tanzanite ya India inayoongoza Duniani na Africa Kusini, inatoka wapi?

Historia ya Jiwe Hili. Japo mwaka halisi hautajwi Ila jiwe hili lilichimbwa miaka ya nyuma enzi za Mkapa, na kuuzwa nchini Uingereza kabla ya Mwaka 2005.

Mwaka 2007 ndipo sarakasi za jiwe hili zilipoanza na kuropotiwa na gazeti la This Day na mitandao wa Jamii Forum
m Rubi ya Tanzania ya thamani kubwa Duniani ilienda UK Kihalali au Iliporwa?

Kito cha aina ya ruby chenye thamani kubwa kuliko vyote vya aina hiyo duniani kinawezekana kuwa kimetokea Tanzania. Ripoti ifuatyo, inaashiria kuwa ruby hiyo inayokadiriwa kufikia thamani ya £11 milioni sawa na Tshs 20. Bilioni, inamilikwa na kampuni moja ya ujenzi Wrekin Construction ya Uingereza.
Transactions za mwisho kuhusu ruby hii zilifanyika mwaka 2007, hivi karibuni tu. La kujiuliza hapa ni kuwa jee Serikali yetu kupitia Wizara ya Madini inafahamu ruby hii ni kweli ipo? Ilitokaje Tanzania? Ililipiwa ushuru stahili? Na Fedha zilizopatikana toka kwenye mauzo zilirudi Tanzania?
Au ni moja ya wizi wa madini unaoendelea wakupora rasilimali za Tanzania? Hebu Wizara ya Madini iangalie data zake kama ruby hii imo katika kumbukumbu zake!!

Repoti husika

Mystery of a bankrupt British firm with Tanzanian ruby worth cool 20 billion /-ThisDay,
Monday 16th March 2009
THISDAY REPORTER & AGENCIES – Dar es Salaam

A BRITISH construction company that recently went into administration with the loss of more than 400 jobs has declared a ruby from Tanzania, worth an estimated 11 million pounds sterling (appx. 20bln/-) as one of its assets.

Wrekin Construction was due £2m from UK government contracts, but owed more than £3.5m in VAT and other tax bills when it collapsed last week, according to administrators Ernst & Young.
Media reports from London say it now appears the company listed the purchase of the precious stone, the ‘Gem of Tanzania' in its 2007 accounts.

A note in the firm's account books said Wrekin bought the ruby from Tamar Group for a ‘fair value' of £11m. paid in interest-bearing preference shares.

However, investigators are believed to be struggling to find anyone who has actually seen the gem.
Wrekin joint Managing Director, Peter Greenwood, said the ruby is locked away in a safe deposit box, although he added that he has never seen it himself.

Ernst & Young said it was "too early to comment" on the unusual asset, or on reports that the gem revived the company's flagging balance sheet when it was bought. Jewellery experts have poured scorn on reports that the collapsed building firm is the owner of a ruby worth £11 million.
Company documents claim the ‘fair value' of the ruby was assessed by the institute of Gemmological in Italy on August 31, 2007.

However, Loridana Prosperi, one of the institute's senior gemmologists in Milan, said "That is impossible, because we were on holiday on August 31,2007." And she claimed her company never assessed the price of gemstones, only the quality.

Auction house Christies also expressed doubt about the accuracy of Wrekin Construction's claims, revealing the highest recorded price ever paid for a ruby on the open market was just £2.6 million in 2006.

According to Ms Prosperi, an £11 million ruby would be equivalent to world's famous Black Prince, a jewel the size of a chicken egg which is embedded in the British Queen's crown.
Wrekin Construction went into administration earlier last week with multi-million pound debts.
Jonathan Guthire, enterprise editor at the Financial Times said the firm's 80 creditors were demanding answers about the details of the ruby contained in the Wrekin's 2007 accounts.
The gemstone is said to have been bought by Wrekin Construction from its parent company Tamar Group in return for the issue of 11 million shares, worth £1 each.

Tamar Group Chairman David Unwin was confronted by reporters yesterday, but declined to comment.
Hiyo Ruby itakuwa ilichimbwa Longido enzi za Mkapa. Ikanunuliwa na mlanguzi, Mchimbaji atakuwa alipewa peanut!. Kwa vile sasa inatangazwa hivi, Mchimbaji wake kama yuko hai, atajitokeza.

Baada ya kuibiwa Longido, ili iweze kuingia sokoni ni lazima ipate certificate of origin, hivyo mwizi yule akaipeleka Dodoma kwenye mgodi wa Winza for certification, ili ionekane imechimbwa Dodoma, hivyo, kama ni kweli Winza walitoa certification, watakuwa walishikishwa kidogo dogo, wakatoa certificate fake ikionyesha ni Ruby ya Winza na kuingizwa sokoni. Ila pia inawezekana kabisa hata hiyo certificate of origin sio genuine ni fake!, hivyo Winza hawakufanya certification yoyote na hawajui lolote wala chochote bali ni utapeli mtupu!.

Mnunuzi wa kwanza aliipeleka hili jiwe Italy na kufanikiwa kupata valuation ya The institute of Gemmological in Italy on August 31, 2007 ikionyesha ndio tarehe ya valuation hiyo ikionyesha Ruby hiyo inathamani ya £. 11m za Uingereza.

Msemaji wa the institute of Gemmological ya Italia, Bi Loridana Prosperi, amekanusha taasisi yake kufanya uchunguzi wowote wa jiwe hilo, na kwenye kumbukumbu za kiofisi, hakuna taarifa yoyote juu ya kito hicho, na akasema kwanza, Taasisi haifanyi uthamini wa jiwe lolote, bali unaangalia properties tuu!, hivyo uthamini huo ni fake!. Tarehe ya barua hiyo ya August 31,2007, ilikuwa ni public holidays, ofisi haikufunguliwa, hivyo barua ya uthamini wa jiwe hilo ni barua fake. And she claimed her company never assessed the price of gemstones, only the quality.

Bila kujua taarifa hizo ni fake, kampuni ya Tamar ya Uingereza, ikadanganya kuwa imelinunua jiwe hilo Kwa £. 11m, na kuwauzia Wrekin Construction.

Sijui jiwe hilo fake, lilipitia mikono ya watu wangapi kabla halijatua kwa Tajiri wa Kiarabu, akalibatiza jina la na sasa liko sokoni watu wakitaka kupigwa!

Tanzania tunaendelea kufanywa Shamba la Bibi Hadi Lini?.
Wasalaam

Paskali​


 
kwenye nchi amabapo tunaruhusu mijadala ya kitaifa kama hii ipigwe pini na story za kina dr. kumbuka kajala harmonize au steve nyerere usitegemee tutapata suluhu..kuzungumziwa bungeni ndo mwanzo wake na ndo mwisho wake..dont expect a proper explanation rather than politicians giving answers to save their daily bread.
 
Wanabodi

Naendelea na zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", na Leo ni kuhusu uzalendo wa kujitolea kuisaidia serikali yako na nchi yako, pale unapoona imeshindwa na inahitaji msaada, je tutaendelea kufanywa Shamba la Bibi Hadi Lini?.

Hili ni bandiko la kuisaidia serikali yetu kuhusu hii Ruby, Swali ni Tanzania tutaendelea kufanywa ni "Shamba la Bibi" hadi lini?!. Hii Burj Alhamal Ruby ni Yetu!, Iweje Iko Sokoni Dubai, lakini serikali yetu haijui chochote?!.

Uzalendo ni kuipenda nchi yako kwa moyo wako wote, kwa roho yako yote na kwa nafsi yako yote na kuilinda na kuitetea kwa moyo wako wote, kwa nguvu zako zote, na kwa uwezo wako wote, na ikibidi kuipigania, uwe tayari kuutoa uhai wako kuifia nchi yako!.

Uzalendo wa kweli hukaa ndani ya mtu, hauonekani kwa macho, bali hukaa moyoni, hivyo kuna watu ukiwaangalia kwa juu juu at face value kwa jinsi wanavyo onekana, wanaonekana kama ni wazalendo, lakini in reality sio wazalendo lolote wala uzalendo chochote, bali ni wapigaji, na baadhi yao ndio mafisadi wakubwa!. Wamejivisha ngozi ya kondoo ya uzalendo,Ila kwa ndani ni mbwa mwitu, fisi, Chui. Na kuna watu ni hohe hahe, masikini wa kutupwa, wanaoishi kwenye lindi la umasikini uliotopea, lakini ndio wazalendo wa kweli wa taifa hili, Mimi ni mmoja wa wazalendo hawa.
Ukiona kuna kitu serikali yako imeshindwa na wewe unaweza kusaidia, saidia tuu usingoje uombwe.
Kwenye ulinzi wa Rasilimali zetu, kwa muda mrefu Tanzania tumekuwa na kilio cha kufanywa shamba la bibi kwa manyang'au kutuibia Rasilimali zetu as if hazina mwenyewe!.

Hivi ninavyoandika hapa, kuna jiwe la kito cha thamani aina ruby kutoka mgodi wa ruby wa Winza kule Dodoma, lenye uzito wa kilo 2.8, ambalo limechimbwa na Mchimbaji mdogo, serikali haijui, Mchimbaji huyo haijui thamani yake hivyo ameuza bei ya kutupa, serikali haijui. Mnunuzi kaliondoa nchini kinyemela serikali haijui. limeuzwa serikali haijui, mnunuzi kaliuza kwa tajiri wa Kiarabu, serikali haijui. Tajiri wa Kiarabu kalibatiza jina la Burj Alhamal Ruby, serikali haijui.

Sasa Burj Alhamal Ruby liko sokoni Dubai, likisubiria mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhan uishe, lipigwe mnada, serikali haijui!.
Mbunge Mhe. Danstan Kitandula, anauliza Bungeni kumuuliza Waziri wa Madini kuhusu jiwe hili, Waziri wa Madini anashanga na yeye kusema serikali haijui Ila na wao wamesikia mitandaoni!.
Serikali sio mtu ni Taasisi, ina jicho kali linaona kila mahali, ina mkono mrefu unafika kila kona, hivyo katika hali ya kawaida, haiwekani haya yote yatokee Tanzania!, tutaendelea kufanywa Shamba la Bibi Hadi Lini?. Kwa vile sasa tunaishi kwenye ulimwengu wa "the world of information world" kila kitu ni kwenye ncha za vidole vyako, kuisaidia serikali yetu ipate PA kuanzia, hizi ni data zote za jiwe hili akiwemo mmiliki.
View attachment 2196654
Huyu dogo ndie Mchimbaji WA jiwe, na huyu jamaa Steve Ulatowski with a miner in Tanzania, ndie mnunuzi wa Kwanza wa hili jiwe.

Haya kazi kwenu serikali yetu. Anzieni na Mchimbaji, ila hala hala msi mu harass.
Burj-Alhamal-1024x891.png

Buyer Beware: Closer Examination of the Burj Alhamal Ruby Casts Doubt on its $120 Million Valuation​

by Jeffery Bergman, AGA ASG, BDC-BGC SSEF
April 21, 2022
An astonishing record-breaking rough ruby of 8,400 carats, weighing 2.8 kilograms, from Winza, Tanzania has gone on display at the Waldorf Astoria Dubai International Financial Centre. According to Patrick Pilati, a director of the company that owns the ruby, SJ Gold & Diamonds of Dubai, said it is one of the largest rubies in the world and is valued at approximately $120 million. As the company’s crown jewel, they have named it ‘Burj Alhamal’.

Is the Burj Alhamal really worth $120 million? Photo attribution: The National.
However, a closer examination of the stone casts doubt on its estimated valuation. A closer look at the details reveals the stone may not be what it seems. For example, a 5.00 carat stone weighs about 1.00 gram. Therefore, a 8,400 carat stone would weigh approximately 1.68kg, not 2.8 kilograms. Second, several rough ruby-in-zoisite specimens 5 to 10 times larger have been documented. Third, rubies from Winza are not found in zoisite. The stone is likely from Longido, Tanzania. Finally – and most importantly – current valuations for ruby-in-zoisite specimens do not support the estimated $120 million valuation for the Burj Alhamal.
So, what could the Burj Alhamal really be worth? Steve Ulatowski of New Era Gems is an expert in ruby-in-zoisite specimens. He has sold a substantial amount of this material at the going rate of around US$350 per kilogram, including the approximately 3kg specimen he is holding in the photo below. “Maybe US$1200 if we were lucky…wholesale, most likely [this would sell for] $750.”
Steve Ulatowski with a miner in Tanzania. ©Travis Lejman

New Era Gem’s table at Tucson 2022 selling ruby-in-zoisite specimens from Longido, Tanzania for $350 per kilogram.
Another example that undermines the extraordinary valuation of the Burj Alhamal is the 2 kg ruby-in-zoisite specimen named the “Gem of Tanzania.” It was initially valued at £11m (US$14.35m) and owned by UK Wrekin Construction. The company used the valuation of the stone to help prop up its balance sheet. Forced into bankruptcy, the court-appointed administrators Ernst & Young declared the 2kg stone’s £11m valuation and its accompanying documents as forgery. With 60 offers, it was eventually auctioned for a mere £8,000 (US$10,400), leaving creditors with massive losses exceeding £45m (US$58.7m).
But there’s still more evidence that points to an inflated valuation for the Burj Alhamal. A 228,000 carat (45.6kg) ruby-in-zoisite specimen offered by Bonhams in Los Angeles on 20 May 2014 carried an estimated value of US$100,000-$150,000. This enormous ruby specimen is 16 times larger than the “Burj Alhamal.” It failed to sell at the Bonhams auction. In other words, bidding did not reach the minimum estimated value of US$100,000 (or US$2,200 per kilogram).
Instead, the Bonhams stone, which the listing states was carved from a “single specimen of Tanzanian ruby rough” by a famous Idar-Oberstein carver, had a finished weight of 0.85kg and sold at auction for $13,200 or $15,500/kg. This is another great price/value comparison to the Burj Alhamal which, from its photos, is likely of similar or lesser quality. The National photo of Burj Alhamal shows that the stone may only be about 25% ruby and 75% zoisite. This means the actual ruby content is about 0.7kg – considerably less than the 0.85kg of the Bonhams carved toad.
Several other Bonhams auction records demonstrate that you can purchase ruby-in-zoisite specimens for a few hundred dollars.

New Era Gems website offers a 2.92KGS ruby-in-zoisite specimen for US$700.
The 2.8kg (or 1.68kg?) “Burj Alhamal” is only one of the gems in the SJ Gold & Diamonds Callisto collection, which includes 12 rough rubies that weigh a total of “an astonishing 236,000 carats” according to Tariq Saeed, writing for Dubai’s Periodical Today news website.
SJ Gold & Diamonds should pay closer attention to auction records when publishing any eye-popping valuation of the stones in its collection. Otherwise, experience from the likes of the Gem of Tanzania will dictate the obvious next question: “Why?”

Paskali​


😍
 
Serikali inakuwa taasisi pale tu kila mmoja kwenye taasisi hiyo ya serikali anapotimiza wajibu kwa mujibu wa sheria na taratibu za nchi na kwa maslahi ya nchi.......Kinyume chake na hapo hiyo serikali haina tofauti na kikundi cha wahuni.........

Hili tukio la Rubi ni muendelezo matukio yanayodhihirisha udhaifu kama sio uzembe wa taasisi tunayoiita serikali.........

Na kwa namna ilivyo credibility za watawala wetu Kuna asilimia kubwa kuwa hii ni inside job ndani ya serikali kupitia kwa tuliowapa mamlaka ya kutuangalizia rasilimali zetu......

Huu ni mfumo mbaya kwenye serikali au nchi ambayo inajipambanua kuwa inapigana kujitegemea.......


SHAME.....SHAME......SHAME.....SHAME.....
 
kelele alizopiga wazir jana bungeni naona tu wanataka wapate kuungwa mkono tume iundwe iende dubai marekan irudi ituletee professional rubbish. Hapo washakula perdiems na posho kibao.Mambo ya jiwe kulipiwa kodi/mrabaha si ya kuupuza.ila tume itakuja na majibu mepesi saaaana.na pengine hata icho kidogo kutoka kwenye tozk/mrabaha/kodi tusikipate
 
Kwani ni sheria gani imevunjwa hapa? Kama ni mtu binafsi amechimba hilo Ruby halafu kaliuza, kavunja sheria? Ina maana mauzo binafsi (private sale) baina ya watu wawili waliokubaliana bei ni kinyume cha sheria? Kama ni kweli basi tuna mfumo mbovu wa kijamaa.
 
Back
Top Bottom