Kwenye tecno own stage aliondoka mapema akimuacha Nandy. Labda wanaijeria watakuunga mkono 😊Ushamskia huyo zuchu anaimba live ni
Hafiki hata kwa nandy live ss rubby atamfikiaje
Wewe mwenyewe unayemkandia sauti mbovu kama kengeUshamskia huyo zuchu anaimba live ni
Hafiki hata kwa nandy live ss rubby atamfikiaje
Zuchu yupo wcb na fans wao wanatamani kumpush mapema afike on top japo bado mapema sanaruby balaa lingine mkuu...alafu why zuchu all the time guys? hizi thread za zuchu dah
hahaha bas watasubir sana ngoja vanessa mdee atoke huko kuchezea pipe ya rotim aje aporomoshe nyimbo za hatari huyo zuchu mbona hatuta mckia tena. vanessa jeshi la mtu mmoja.hana team wala nn lakn balaa lake zito alafu hana promo promo kama za zuchuZuchu yupo wcb na fans wao wanatamani kumpush mapema afike on top japo bado mapema sana
Watu wapo kazini Mzee...wewe changia hoja tu.Ruby balaa lingine mkuu...alafu why zuchu all the time guys? hizi thread za zuchu dah