Habari wadau.
Nazani wengi tumeona trending za msanii wa kike Ruby.
Binafsi najua ruby amekosea ila kuna kitu nimekigundua na kumuelewa ruby.
Historia ya maisha ya ruby tu imempa hasira hasira.
Mtoto alielelewa kwa upendo wa baba na mama ana tofauti na mtoto alielelewa kwenye familia isiyo na upendo.
Ruby baba yake na mama yake hawaelewani.. ni walipigana mimba tu kila mtu akala kona.
Mama yake na ruby nae maisha alifeli ikapelekea ruby kulelewa na watu baki. Bila baba na mama.
Hiyo tu inaonesha ruby alifungwa goli 2 - 0 toka anazaliwa. Baba hajalea na mama hajalea..hapo kwa mtoto ni 2 - 0.
Ruby huyo huyo kapigwa mimba na Kussa kisha akaachwa. Akawa single mother hapo tayari goli 3 - 0 Trauma nyingine ikaja
Baada ya kussa kusepa kapata bwana mwingine nae bila ndoa kamzalishwa mtoto wa pili. Hapo tena 4 - 0.. trauma ya kuwa na watoto wawoli wa baba tofauti bila ndoa inamtesa.
Hapo ruby lazima awe na hasira hasira tu na msongo wa mawazo
Ruby huyo huyo anafananishwa na nandy.. ambaye anatoka familia inayoeleweka yenye upendo wa baba na mama.
Nandy hana trauma yoyote ya kifamilia ( wazazi).
na hata kwenye biashara ya muziki nandy muda wote kazungukwa na watu wanaojua kumuandikia nyimbo. Kumfanyia promo. Kuanzia enzi yupo na ruge mpaka leo yupo na billnass
Ana mume nandy sio single mother. Akili imetulia baba na mama wapo kwenye ndoa... baba mkwe wa nandy na mama mkwe yaani wazazi wa billnass nao wapo kwenye ndoa.. kwa levo za kifamilia familia nandy ana full of family life pande zote
Nandy Akitaka wimbo... anaandikiwa tu na billnass, unatoka hit song
Ruby akitaka wimbo anashika pen na karatasi anajiandikia.. wimbo unatoka kona kona tu.
HAPO RUBY LAZIMA AWE NA HASIRA HASIRA TU KUTOKANA NA MSONGO WA MAWAZO NA TRAUMA..
Anayopitia ruby hata vijana wengi mtaani wanapitia hasa unemployed graduates waliokulia familia duni zisizo na upendo
Nazani wengi tumeona trending za msanii wa kike Ruby.
Binafsi najua ruby amekosea ila kuna kitu nimekigundua na kumuelewa ruby.
Historia ya maisha ya ruby tu imempa hasira hasira.
Mtoto alielelewa kwa upendo wa baba na mama ana tofauti na mtoto alielelewa kwenye familia isiyo na upendo.
Ruby baba yake na mama yake hawaelewani.. ni walipigana mimba tu kila mtu akala kona.
Mama yake na ruby nae maisha alifeli ikapelekea ruby kulelewa na watu baki. Bila baba na mama.
Hiyo tu inaonesha ruby alifungwa goli 2 - 0 toka anazaliwa. Baba hajalea na mama hajalea..hapo kwa mtoto ni 2 - 0.
Ruby huyo huyo kapigwa mimba na Kussa kisha akaachwa. Akawa single mother hapo tayari goli 3 - 0 Trauma nyingine ikaja
Baada ya kussa kusepa kapata bwana mwingine nae bila ndoa kamzalishwa mtoto wa pili. Hapo tena 4 - 0.. trauma ya kuwa na watoto wawoli wa baba tofauti bila ndoa inamtesa.
Hapo ruby lazima awe na hasira hasira tu na msongo wa mawazo
Ruby huyo huyo anafananishwa na nandy.. ambaye anatoka familia inayoeleweka yenye upendo wa baba na mama.
Nandy hana trauma yoyote ya kifamilia ( wazazi).
na hata kwenye biashara ya muziki nandy muda wote kazungukwa na watu wanaojua kumuandikia nyimbo. Kumfanyia promo. Kuanzia enzi yupo na ruge mpaka leo yupo na billnass
Ana mume nandy sio single mother. Akili imetulia baba na mama wapo kwenye ndoa... baba mkwe wa nandy na mama mkwe yaani wazazi wa billnass nao wapo kwenye ndoa.. kwa levo za kifamilia familia nandy ana full of family life pande zote
Nandy Akitaka wimbo... anaandikiwa tu na billnass, unatoka hit song
Ruby akitaka wimbo anashika pen na karatasi anajiandikia.. wimbo unatoka kona kona tu.
HAPO RUBY LAZIMA AWE NA HASIRA HASIRA TU KUTOKANA NA MSONGO WA MAWAZO NA TRAUMA..
Anayopitia ruby hata vijana wengi mtaani wanapitia hasa unemployed graduates waliokulia familia duni zisizo na upendo