roho

Rohō Yukio (born March 9, 1980 as Soslan Feliksovich Boradzov, Russian: Сослан Феликсович Борадзов, in Vladikavkaz, Republic of North Ossetia–Alania in the Russian Federation) is a former sumo wrestler. The highest rank he achieved was komusubi. His younger brother is also a former sumo wrestler, under the name of Hakurozan. In September 2008 both were banned from the sport for life after testing positive for cannabis.

View More On Wikipedia.org
  1. Isenye

    JamiiForums Tanzania Huyu jamaa yangu ni mchawi au ni roho mbaya tu?

    Huyu mshikaji wangu nashindwa kumuelewa,tuko nae kwenye harakati kitambo tu ila naona ni kama kaanza kuwa na roho ya kichawi hivi. Yeye ameanza hizi harakati za kupiga paper za ajira za serikali kitambo tu na kwa maelezo yake hajawahi kufika oral hata moja. Sasa me mwaka huu nilimuambia tukaze...
  2. GoldDhahabu

    JamiiForums Tanzania Atheist wanafahamu kuwa kuna ulimwengu wa roho?

    Wanayazungumziaje matukio kama haya? 1. Uebert Angel alitabiri kuwa Trump atashinda uchaguzi wa Marekani na ikawa hivyo! 2. Uebert Angel alitabiri kuwa Papa Francis ataaga dunia Jumatatu Asubuhi na unabii wake ukatimia! 3. Uebert Angel alimtabiri mtu atakayechaguliwa kuwa Papa mpya na hilo...
  3. Meneja Wa Makampuni

    JamiiForums Tanzania Kwanini mapepo, majini, wachawi na roho wabaya wote humwogopa YESU KRISTO

    Yesu Kristo - Mbabe wa mapepo, majini, wachawi na roho wabaya wote "Na pepo waliokuwa waovu walipomwona, walianguka mbele yake, wakapiga kelele wakisema, Wewe u Mwana wa Mungu!" Luka 4:41 Katika ulimwengu wa kiroho, kuna vita visivyoonekana vinavyopiganwa kila siku kati ya nuru na giza...
  4. mdukuzi

    JamiiForums Tanzania Kajala ni bibi wa ovyo. P.Funky ana roho ngumu. Harmonize ushamba haujamtoka?

    Kama kuna bibi wa ovyo nchini ,Kajala yumo,anaulizwa kuwani kiungo gani kwenyemwili wake anakipenda zaidi anajibu eti makalio yake. P Funky ana roho ngumu sana,enzi za ujana wake kakimbiza sana wasanii na bastola pale studio kwake nilidhani angezeekana ukorofi,ila amekuwa mpole anaugulia...
  5. Atlast nimempata

    JamiiForums Tanzania Huyu jamaa ana roho mbaya Iseee!

  6. Setfree

    JamiiForums Tanzania Usiku wa leo wanaitaka roho yako!

    Usiku wa leo wanaitaka roho yako! Leo usiku roho yako itachukuliwa! Leo usiku maisha yako yatafikia mwisho, utaondoka duniani... Usishtuke wala usiogope; sio wewe! Maneno hayo aliambiwa mtu fulani tajiri. Shamba lake lilizaa sana. Akawaza moyoni mwake, ‘Nifanye nini? Sina mahali pa kuhifadhi...
  7. Paspii0

    JamiiForums Tanzania Reels zinaisha lakini Roho inabaki

    Habari zenu mabingwa wa mahekalu ya ghorofa, mabepari wa Instagram, na ma celebrity wa maokoto group, Twende kazi……………! Mmejenga nyumba za kupendeza hadi ukipita sakafu inafanya screenshot. Mmeseti vibanda vya mbwa vya kisasa kuliko bedroom ya bibi yangu kijijini matemanga. Mmeweka ring light...
  8. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Jana Mbunge wa Kenya kauliwa na huku kwetu kiongozi wa kidini kavamiwa. It makes you wonder kwamba je wewe mpambanaji wa kawaida what worst can happen

    Aisee, Amani na Utulivu ndio tumaini la mwisho katika ubinadamu ila kwa bahati mbaya kwa baadhi ya watu sio kitu cha thamani kwao. Nawatakia Amani ndugu zangu.
  9. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Amini Nawaambieni , Pamoja na Mapungufu Yake Yote ya Kibinadamu, Mtu Huyu Ana Mungu Ndani Yake!, Anaongozwa na Roho wa Mungu!. Mshuhudie Hapa!.

    Wanabodi Kwa kadri siku zinavyozidi kwenda, ndivyo ninavyozidi kumkubali mtu huyu, amenyooka kama reli!, hakika mtu huyu ana roho wa Mungu ndani yake!, mtu bila kuwa na roho wa Mungu, bila kuongozwa na Roho Mtakatifu, huwezi kumpa makavu live tena bila kupapasa, kwanza kumtambulisha mbunge...
  10. Solo Traveller

    JamiiForums Tanzania Kazi za barabarani roho mkononi

    Hapa nazungumzia bodaboda na Bajaj Ni wazi kuwa ajali anapanga Mungu, ila ukiwa na KAZI tajwa hapo juu basi uwezekano wa kupata ulemavu wa kudumu ni 65% Na uwezekano wa kupata kifo muda wowote ni 50% Ni aina ya KAZI ambayo inakushape kupata hela ya kula kesho, kulipa Kodi na kuvaa. Sio KAZI...
  11. Dr leader

    JamiiForums Tanzania Roho mbaya na ubinafsi sumu inayotumaliza

    Roho mbaya, ubinafsi ni sumu tunayoilea. Ukiinuka, wananyamaza. Ukidondoka, wanatabasamu. Ukifaulu, wanahoji: “Aliwezaje?” Ukishindwa, wanafurahi. Hakuna uchungu mkubwa kama kupambana mbele ya macho yanayotamani uanguke. Watu hawakuombei ufanikiwe… wanakuombea usiwapite. Unaweza kuwapa...
  12. Lugano Edom

    JamiiForums Tanzania Je wajua kwanini watu wana Roho mbaya?

    Sababu za watu kuwa na "roho mbaya" ni ngumu kuelezea kwa jibu moja rahisi, kwani ni mchanganyiko wa mambo mengi yanayohusika. Hivi ni baadhi ya sababu zinazowezekana: 1. Mfumo wa Kisaikolojia na Kibiolojia: Hali ya Akili: Watu wanaweza kuwa na matatizo ya akili kama vile ugonjwa wa...
  13. Pdidy

    JamiiForums Tanzania ROHO YA KUNYIMANA ISHINDWE TUKIELEKEA PASAKA.......MNATUTESA SANA WAMAMA..

    HAYA MAOMBI SIRUDII TENA MAANA NIMEOMBA TOKA JAN MUNGU ATUSAIDIE SANA NDOA NYINGI ZINATESEKA SHIDA KUNYIMANA UNYUMBA YAAN WANAUME WALEVI WANALEWA USIKU HAWAWEZI HATA KUSHUGHULIKA WANAWAKE WANANYIMWA PESA ZA MSOSI USIKU WANANZISHA MAPAMBANO YA KUNYIMANA UNYUMBA YAAN USIKU UNAKUWA...
  14. BIG STONE AND CONER STONE

    JamiiForums Tanzania Kuinuka kwa Roho ya Mpinga christo/ The Rising of antchrist spirit

    Iko hivi Kuna Roho inaitwa ya Mpinga christo Sasa basi hii Roho ni moja ya Roho yenye nguvu sana ,ila bado haijainuka au kurusiwa kufanya kazi Duniani kwa kiwango cha juu kwa Sasa bado haija achiliwa kutoka kuzm Ila inatuma Usha wish wake Duniani kwa njia Tofauti Tofauti nitatoa mifano michache...
  15. N'yadikwa

    JamiiForums Tanzania JITATHMINI: Mambo 10 Yanayobainisha Kwamba Una Roho Mbaya

    "Roho mbaya" ni neno subjective. Hata hivyo kuna viashiria vya msingi kabisa ukiona unavyo, basi jitambue una roho mbaya, anza mkakati wa kujirekebisha. Mambo hayo ni kama ifuatavyo:- 1. Unafurahi unapowaona wengine wakipata matatizo. Ndugu yangu kama unafurahia watu wanaposhindwa au kuumia...
  16. kipara kipya

    JamiiForums Tanzania Huyu shabiki wa Esperance aliyeokolewa na shabiki wa Mamelod ingekuwa taifa Yanga walivyo na roho mbaya angekufa

    Sibo ni shabiki wa mamelod aliamua kujitolea na kuweka ubinadamu mbele na kumuokoa shabiki wa timu ya Esperance aliyekwama jukwaani na alikuwa kwenye hatari ya kuanguka na kufa..nina hakika mashabiki wenye roho mbaya wa kitanzania hususani wa yanga wasivyo na utu wanakuacha au wanakusukumiza...
  17. OMOYOGWANE

    JamiiForums Tanzania Kama hauna roho mbaya sahau kuhusu utajiri

    Hellow wakuu Tunaishi kwenye dunia ya kibepari, daktari anategemea wagonjwa wamlipe ili aishi watu wasipo umwa anakufa njaa, mchungaji anategemea waumini watoe sadaka ili apereke watoto shule nzuri ale na kusaza, mganga anategemea biashara za watu ziyumbe ili waende kwake wamlipe ndio...
  18. Nikola24

    JamiiForums Tanzania Ni kweli watu wa Dar wanaongoza kwa roho mbaya na fitina kuliko mikoa mingine Tanzania?

    Jana niliongea na rafiki yangu akasema Zanzibar kupo poa sana, vitu bei rahisi na watu huko wana roho safi kuliko wa hapa Dar es salaam. Sasa tuambizane, je ni kweli Dar kuna fitina sana kuliko kwingine Tanzania? Toa maoni yako humu Pia soma Kufanyia mtu roho mbaya huumiza hata wasiokuwa na...
  19. Jumanne Mwita

    JamiiForums Tanzania Kanisani si kila anaelia amejazwa na roho mtakatifu wengine wanalia na shida zao

    "Maisha yamekuwa magumu hadi ukienda kanisani kipindi cha maombi unalia na kuomba kwa uchungu watu wanafikiri umezama kwenye maombi kumbe ni uchungu wa maisha magumu."
  20. mimi mtakatifu

    JamiiForums Tanzania Usafiri wa mwendokasi kwa sasa ni roho mkononi. Vituo vya kupakia abiria ni hatarishi kwa walemavu, wajawazito, watoto, wazee na wagonjwa

    Usafiri wa mwendokasi umekuwa ni usafiri uliojaa changamoto kwa muda mrefu. Pamoja na changamoto zake umebaki kuwa usafiri wa haraka na tegemeo kwa wakazi wa jiji la Dar es Salaam. Kwa sasa kuna uhaba mkubwa wa mabasi kiasi kwamba unaweza kukaa kituoni mpaka masaa mawili unasubiri usafiri hivyo...
Back
Top Bottom