Rohō Yukio (born March 9, 1980 as Soslan Feliksovich Boradzov, Russian: Сослан Феликсович Борадзов, in Vladikavkaz, Republic of North Ossetia–Alania in the Russian Federation) is a former sumo wrestler. The highest rank he achieved was komusubi. His younger brother is also a former sumo wrestler, under the name of Hakurozan. In September 2008 both were banned from the sport for life after testing positive for cannabis.
Utumwa ni kuwa chini ya mtu au kitu fulani kwa 100% .
Sasa utumwa wa kiroho mara nyingi hubase kwenye jambo moja mahsusi. Mtumwa wa kiroho anaweza kujua kuwa yuko kwenye kifungo au akahisi tu kuwa ana kifungo lakini asijue wapi hasa kagungwa .
Dalili za mtu aliyefungwa kiroho;
1. Kufanya kazi...
Watu watakufa watu wataumia kwa maelfu ila wazee wakutoa roho qka Israel wana kazi moja sio vinu vya nyuklia wala nini ila roho ya mkuu wakidini Ayatollah Khamenei.
Je, ni kwani?
Mpaka sasa Israel chini ya kikosi chao cha majasusi Shinbet and Mossad wamesha pata nakala na ushahidi wakutosha...
Nilichotaka kuandika kimeelezwa kwa urefu kwenye video hapo chini. Karibuni tujadili. Kuna app ya kutafsiri video kwa lugha nyingine nikiipata nitaiweka humu kuwasaidia wale ambao Kiingereza si rafiki.
Video: https://youtu.be/JAydJoa2fLg?si=WpVmO1qU-TAjXEXp
Angalia anavyocheka... Anavyobatasamu? Toto kama hili huwezi kupungukiwa nguvu za kiume. Zinajaa tu kila wakati. Midada mingine inasema hatuna nguvu za kiume kumbe ni sababu haina mvuto.
Ukifuatilia mikutano yote cha huyu Amosi Makalla, utujua kuwa huyu jamaa, anaipenda sana chadema, akilala, uck ,akila chakula, anaoga mda wote ana tamka chadema, chadema, hii inathibithibisha kwenye mikutano yake kila akisimama anasema sera za chadema.
Huu ndo ukweli mchungu CCM wote kama...
1. Ndani ya CCM hakupo shwari kuna mpasuko mkubwa.
2. Wanalalamika mgombea wao kujiteua yeye mwenyewe kimaigizo ndio maana hakuna anaye mnadi zaidi ya machawa.
3. Serikalini nao wamechoshwa na CCM hasa uongozi wa sasa ndio maana wanafanya mambo hovyo kuichafua CCM.
4. Vyombo vya ulinzi navyo...
Leo nimeona niamke na Neno la Uzima. Natumaini litaenda kuwabariki wasomaji wengi.
Moja ya tabia mbaya ambazo mtu unaweza kuhusishwa nazo ni tabia ya kueneza fitna. Ni moja ya nguzo za shetani zenye nia ya kuleta taharuhi, kuharibu na kuficha ukweli. Ukweli unahusishwa na Mungu. Uongo...
Tupige Vita Roho ya Yezebeli
Yezebeli ni Nani
Yezebeli alikuwa ni mwanamke mwenye asili ya nchi ya Lebanoni, mahali pajulikanapo kama Sidoni (1Wafalme 16:31), karibu sana na mji wa Tarshishi, ule mji ambao Nabii Yona alienda kuhubiri (akaacha kwenda mji wa Ninawi alioagizwa na Mungu). Alikuwa...
Hail lucifer,shemhaforash,
Leo hii nimeuza roho yangu kwa pepo wa uchoyo na ubinafsi( demon of greedy( mammon ) kwa ajili ya Mali na pesa .
Nilitumia kitabu cha VILE OF DARKNESS na vitabu vingine vya grimoire.
Nimekula kiapo cha damu (" nitamtumikia kaskazini na kusini ,mashariki na...
Sikutarajia kabisa kuona Mwanamke asimame kushangilia utekaji na mauaji!
Mwanamke halisi anaejua uchungu wa mtoto hawezi kufurahi kuona watu wakiuwawa!
Hata kama kuna makosa ndiyo maana kila nchi ina sheria na mahakama!
Sasa unapoona mwanamke anasimama bungeni anasema ALIYETEKWA AKOME AKOME...
Naam mipango na matumizi pia nidhamu.....huwa thabiti pale unapokuwa huna kitu yaani kabla hujashika fedha.
Lakini pindi fedha inapokuwa mkononi ile mipango yooote ile nidhamu yooote na ile listi ya matumizi uliyoipamga mwenyewe,,,wewe mwenyewe ndio unaibomoa...
Hii ni namna ya utaalamu wako...
Nimebadilisha dini ili nimuoe
Nimepeleka kwao posa na barua ya uchumba
Tukagombana kidogo tu, tena sababu ya ugomvi ni yeye ila matokeo yake ameniacha.
Nimejaribu kwenda kwao kuyamaliza nagonga mlango sijafunguliwa...
Naona madilisha yanafunguliwa ila hakuna ishara yoyote.
Nimejaribu...
Nimeingiwa na Roho ya Tamaa sana baada ya kuona video jongeo ya mtoto wa pastor
Yule si mtoto wa 2009 kabisa?
Shetani pita kaa mbali nisije kwenda Jela😅😅😅
Sasa Enai anarudi duniani kama binadamu tena, akiwa na jukumu moja kuu la kukusanya vipande 7 vya roho yake kabla ya siku 50 kuisha.
. Kijana anayeitwa Enai anafariki ghafla. Kabla ya kuenda moja kwa moja peponi au kuzimu, anakwama katika hali iitwayo "Abes Life" – sehemu ya mpito ambapo roho...
Huyu mshikaji wangu nashindwa kumuelewa,tuko nae kwenye harakati kitambo tu ila naona ni kama kaanza kuwa na roho ya kichawi hivi.
Yeye ameanza hizi harakati za kupiga paper za ajira za serikali kitambo tu na kwa maelezo yake hajawahi kufika oral hata moja.
Sasa me mwaka huu nilimuambia tukaze...
Wanayazungumziaje matukio kama haya?
1. Uebert Angel alitabiri kuwa Trump atashinda uchaguzi wa Marekani na ikawa hivyo!
2. Uebert Angel alitabiri kuwa Papa Francis ataaga dunia Jumatatu Asubuhi na unabii wake ukatimia!
3. Uebert Angel alimtabiri mtu atakayechaguliwa kuwa Papa mpya na hilo...
Yesu Kristo - Mbabe wa mapepo, majini, wachawi na roho wabaya wote
"Na pepo waliokuwa waovu walipomwona, walianguka mbele yake, wakapiga kelele wakisema, Wewe u Mwana wa Mungu!" Luka 4:41
Katika ulimwengu wa kiroho, kuna vita visivyoonekana vinavyopiganwa kila siku kati ya nuru na giza...
Kama kuna bibi wa ovyo nchini ,Kajala yumo,anaulizwa kuwani kiungo gani kwenyemwili wake anakipenda zaidi anajibu eti makalio yake.
P Funky ana roho ngumu sana,enzi za ujana wake kakimbiza sana wasanii na bastola pale studio kwake nilidhani angezeekana ukorofi,ila amekuwa mpole anaugulia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.