Jana zilisanbaa video zikionyesha Rais wetu akiwa kwenye gari lenye namba binafsi akikatiza mitaa ya Dodoma akiwa na ulinzi hafifu sana,katika kile kilichoelezwa ni kutenganisha kazi za chama na urais
Rais ni Rais tu muda wowote, akiwa Chato au hata Kisiwandui katiba inamtambua kama Rais...