Jaffo amekosa ubunifu, post zote hizo mbili hazitaki watu wa kupelekeshwapelekeshwa Kama huyu mzee wa nyungu.Kuanzia sasa Ndugu Selemani Jaffo jiandae kuwa na Majibu Kamili juu ya hayo Mambo Mawili makubwa niliyokuambia katika Headline yangu hapa.
Ushakunywa chai?Kuanzia sasa Ndugu Selemani Jaffo jiandae kuwa na Majibu Kamili juu ya hayo Mambo Mawili makubwa niliyokuambia katika Headline yangu hapa.
Nimegundua huna akili na nishakujua hivyo hunisumbui hataVipi unataka ninywe ili nishibe kabisa kisha unizawadie hicho Kinyiriko chako Ndugu au?
Respect KABILA KUBWA NA LA NCHI.Wazaramo tutawakoma kama tunavyo wakoma wasukuma
Endelea Kujidanganya tu na ninakutaarifu hapa hapa kabisa kuwa Majaliwa ana 5% tu za Kurejea kuwa Premier 2020 lakini Jaffo ana zote 95%.
Na kile kigugumizi anaongea kama anakula akae Tamisemi tu
Hawezi kuomba ubunge wa ruangwa alafu akawa mbunge wa kawaidaEndelea Kujidanganya tu na ninakutaarifu hapa hapa kabisa kuwa Majaliwa ana 5% tu za Kurejea kuwa Premier 2020 lakini Jaffo ana zote 95%.
MSISHANGAE , ANNA MGWIRA ANAKUWA PREMIER 2020 , AU KA UNA BISHA NJOO INBOX NIKUPE VIDEO CLIPS .