free prisoner
Member
- Jun 11, 2020
- 15
- 11
Nilihamia kanda ya ziwa miaka ya 1990, nilipofika sokoni nilikutana na samaki (sangara) wakubwa kama mimi, nilishangaa sana maana vilikuwa ni vitu vigeni kwangu, walikuwa wanatumia mashoka na mapanga kutukatia vipande kwa fedha uliyokuanayo, miaka ikasogea na ukubwa wa sangara ukazidi kuwa mdogo mwaka hadi mwaka. mpaka ikafikia hakuna tena minofu ya samaki ni ghali hai nashuhudia tena sangara wakubwa kama mimi sokoni.
Hongera sana Rais Magufuli kwa kuzuia uvuvi haramu ziwani. Asiyeweza kushukuru kwa hili hajui tulipotoka, nimetembelea sehemu za Nzela na Katoro sokoni nimekutana na sangara wa kilo za kutosha, watanzania tulinde mali zetu. Ni hazina ya Vizazi Vijavyo
Hongera sana Rais Magufuli kwa kuzuia uvuvi haramu ziwani. Asiyeweza kushukuru kwa hili hajui tulipotoka, nimetembelea sehemu za Nzela na Katoro sokoni nimekutana na sangara wa kilo za kutosha, watanzania tulinde mali zetu. Ni hazina ya Vizazi Vijavyo