mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,767
- 7,115
Wana Jf,
Nimesoma thread mbalimbali zikimwonyesha mtoto wa Rais mstaafu kuwa anaandaliwa kuja kuwa Rais wa JMT baada ya kustaafu Magufuri 2025, Rais Magufuri Urais ameupigania kuanzia pale alipochukua form kugimbea ubunge, kwani ndiko alijiandaa mwenyewe kupitia kazi zake alizokuwa anatumwa na wananchi na viobgozi wake kwa kuzifanye zionekane za utendaji safi na usmamizi usio na shaka. Hapa alijihimalisha kwa wananchi na kuleta ushawishi mkubwa kwao.
Kumekuwa na mawazo ya kufanya Urais kama taasis za familia Fulani. Hayo yanawezekana Zanzibar na Kenya tu. Hapa bara hatuna tabia hiyo kwani urais ni nguvu zako mwenyewe hauhitaji mbeleko. Mbeleko tulifanyiwa kwa Ben tu , unaweza kusema Mwlm alikosea lakini yashapita. Urais wa wakati ule ulikuwa wa Mrema ambaye naye aliutengneza kupitia wananchi .
Nimesoma thread mbalimbali zikimwonyesha mtoto wa Rais mstaafu kuwa anaandaliwa kuja kuwa Rais wa JMT baada ya kustaafu Magufuri 2025, Rais Magufuri Urais ameupigania kuanzia pale alipochukua form kugimbea ubunge, kwani ndiko alijiandaa mwenyewe kupitia kazi zake alizokuwa anatumwa na wananchi na viobgozi wake kwa kuzifanye zionekane za utendaji safi na usmamizi usio na shaka. Hapa alijihimalisha kwa wananchi na kuleta ushawishi mkubwa kwao.
Kumekuwa na mawazo ya kufanya Urais kama taasis za familia Fulani. Hayo yanawezekana Zanzibar na Kenya tu. Hapa bara hatuna tabia hiyo kwani urais ni nguvu zako mwenyewe hauhitaji mbeleko. Mbeleko tulifanyiwa kwa Ben tu , unaweza kusema Mwlm alikosea lakini yashapita. Urais wa wakati ule ulikuwa wa Mrema ambaye naye aliutengneza kupitia wananchi .