rais samia

Samia Suluhu Hassan[a] (born 27 January 1960) is a Tanzanian politician who is serving as the sixth and the first female president of Tanzania since 2021. She is a member of the ruling social-democrat Chama Cha Mapinduzi (CCM) party and the third female head of government of an East African Community (EAC) country.

A native of Zanzibar,[2] Suluhu served as a minister in the semi-autonomous region during the administration of President Amani Karume. She served as the Member of Parliament for the Makunduchi constituency from 2010 to 2015 and was the Minister of State in the Vice-President's Office for Union Affairs from 2010 to 2015. In 2014, she was elected as the vice-chairperson of the Constituent Assembly tasked with the drafting of the country's new constitution.

Suluhu became Tanzania's first female vice-president following the 2015 general election, after being elected on the CCM ticket with President Magufuli. Suluhu and Magufuli were re-elected to a second term in 2020. She briefly served as the second female interim Head of State in the EAC – 27 years after Sylvie Kinigi of Burundi, spanning a period around the end of the year 1993.

View More On Wikipedia.org
  1. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Hatuna budi kujenga uwezo wetu wa ndani kwa kuimarisha ukusanyaji wa mapato ili kujenga uchumi unaojitegemea

    Akizungumza katika maadhimisho ya miaka 30 ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Rais Samia amesema Tunaishi katika zama za mataifa kukubaliana katika biashara na kwa kiasi kikubwa kupungua kwa misaada. "Tunaishi katika zama za mataifa kukubaliana katika biashara na kwa kiasi kikubwa kupungua...
  2. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Tunahitaji mfumo wa kisasa unaotenda haki na unaoeleweka kwa walipa kodi

    Akizungumza katika maadhimisho ya miaka 30 ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Rais Samia amesema uchumi wa nchi unaendelea kukua kwa kasi huku fursa za biashara zikizidi kufunguka, hivyo ni muhimu mfumo wa kodi uboreshwe na kuendana na mahitaji ya sasa ili kuongeza ufanisi katika ukusanyaji wa...
  3. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Rais Samia anawaapisha Viongozi Wateule, Ikulu Dar es Salaam | 01 Julai, 2026

    https://www.youtube.com/watch?v=k_vjhqNEwi4&pp=0gcJCU4LAYcqIYzv Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, akiwaapisha Viongozi Wateule, 01 Julai, 2026, Ikulu Dar es Salaam.
  4. McLaren

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Nilikuwa nauliza Mawaziri wangu mnataka niwafokee kama Mbwa Wa Ajibu? Nitoke moto mdomoni?

    Wakuu, Akiwa anapokea gawio kutoka taasisi mbalimbali za Serikali, Rais Samia amesema "Naipokea tunzo hii kwa unyenyekevu. Nikitambua kuwa hii ni heshima ya kazi ya pamoja. Si kazi yangu peke yangu. Ningeelekeza, ningesema hapa, mpaka... siku moja nilikuwa na baadhi ya mawaziri wangu hawa...
  5. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Rais Samia kupokea gawio kutoka kwenye Mashirika na Taasisi za Umma, leo Juni 30, 2026

    https://www.youtube.com/watch?v=nH2_Oh62BAk
  6. McLaren

    JamiiForums Tanzania Gawio Day: Rais Samia anapokea Gawio kutoka kwa taasisi na mashirika ya umma

    Rais Samia anatarajiwa kushiriki kwenye hafla ya kupokea Gawio na Michango kutoka kwa Taasisi na Mashirika ya Umma Ikulu Dar es salaam, leo tarehe 30 Juni, 2026 Mashirika yanayotarajiwa kutoa gawio leo ni pamoja na: Twiga Minerals Corporation Airtel Tanzania Benki ya NMB Puma Energy TPDC Benki...
  7. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Mwenyekiti wa TCD: Zuio la mikutano ya vyama vya siasa ni halali kwa sababu CHADEMA wanamsema vibaya Rais Samia na Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba!

    https://youtu.be/6J2JmIcz8jM?si=yQX0B9XISyGvqc9L Sasa Chawa wamefumka, wanaanza kujiropokea hovyo... Kusema ukweli, hawana hoja. Wako desperate kutetea maovu na uovu wao wakidhani wataokoka. Hawataki kukosolewa. Wanatoka tuwaze na tufikiri kama wanavofikiri wao, ujinga na upumbavu. HAIWEZEKANI...
  8. L

    JamiiForums Tanzania Rais Samia ataongoza Kikao Maalumu Cha Kamati Kuu. Muda wowote Kuanzia Sasa CCM Kuisimamisha Dunia na Kutoa Muelekeo Wa Masuala Mbalimbali

    Ndugu zangu Watanzania, Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania na Mwenyekiti wa CCM Taifa Ameongoza Kikao Maalumu Cha Kamati Kuu ya Halmashauri kuu ya CCM Taifa jijini Dar es salaam. Ambapo Masuala mbalimbali Nyeti yamejadiliwa yenye Kugusa na kuzingatia Maslahi ya Taifa na...
  9. Samia atosha tukutane2030

    JamiiForums Tanzania Rais Samia angalia sana, hawa CHADEMA watakulipa malipo waliyomlipa Dr. Kikwete, Rais Mstaafu

    Rais Kikwete alikula pamoja na wapinzani Rais Kikwete alicheka pamoja na wapinzani. Rais Kikwete aliifanya CHADEMA ijulikane. Rais Kikwete aliifanya bunge la Tanzania kuwa bunge haswa kwa kulifanya bunge mseto . Rais Kikwete ndiye aliyefanya Kambi ya upinzani bungeni kupata heshima Lakini leo...
  10. R

    JamiiForums Tanzania Rais Samia ametoa Tsh Milioni 100 na Waziri Katambi amechangia mifuko 50 ya simenti Ujenzi wa Shule ya Msingi na Awali ya Kanisa La KKKT

    Rais Samia Suluhu Hassan ametoa shilingi milioni 100 kuchangia ujenzi wa Shule ya Msingi na Awali inayojengwa na Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Kusini Mashariki ya Ziwa Victoria, Usharika wa Ebeneza, Kanisa Kuu, mkoani Shinyanga. Akizungumza katika hafla hiyo...
  11. Fbn

    JamiiForums Tanzania Kumsifia Samia kumepungua sana au mshaona mbele kutokavyokuwa

    Kabla ya October 29 2025 yani sifa na ngonjera zilikuwa nyingi mpaka na nyimbo. Ila tokea hapo naona idadi kila kukicha inazidi kupungua. Hivi mshajiuliza mpaka anaamua kutumia pesa walazimishe kuwa anapendwa. Kila kukicha kama anaanza kushtuka au wao ndo shaanza kushtuka.
  12. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Rais Samia akutana na Alhaji Aliko Dangote, Ikulu na timu yake Ikulu ya Dar, leo Juni 28, 2026

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Mfanyabiashara kutoka nchini Nigeria ambaye pia ni Mwanzilishi na Mmiliki wa Dangote Group, Alhaji Aliko Dangote, Ikulu Jijini Dar es Salaam, tarehe 28 Juni, 2026.
  13. baz kaiza

    JamiiForums Tanzania Rais Samia suluhu Hassan Naomba mfukuze waziri wa mambo ya ndani huyu anakuhujumu mchana kweupe

    Kwa kipindi tulichopo nakushauri fukuza huyo waziri wako anaitwa Katambi huyu ni Kama anakuhujumu mchana kweupe. Kwa kipindi kama hiki joto ni kubwa kwenye nchi yetu liko juu sana sio ndani ya nchi tu mpaka nje ya nchi tumeona nchi za magharibi zinataka kutunyima...
  14. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Rais Samia akiwa na Balozi wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE), aliyemaliza muda wake nchini Tanzania

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Balozi wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE), aliyemaliza muda wake nchini Tanzania, Khalifa Abdulrahman Almarzouqi, Ikulu Jijini Dar es Salaam, tarehe 26 Juni, 2026.
  15. DodomaTZ

    JamiiForums Tanzania Prof. Shemdoe amshukuru Rais Samia kwa kuwapatia gari la wagonjwa Lushoto, Mwenge wa Uhuru wakalikabidhi

    Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) Mhe. Prof. Riziki Shemdoe amemshukuru Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuwapatia wananchi wa Wilaya ya Lushoto Gari la kuhudumia wagonjwa katika Hospitali ya Wilaya hiyo, ambalo limekabidhiwa kwa...
  16. R

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Serikali itaendelea kuenzi mchango wa madhehebu yote ya dini, tunawahakikishia ushirikiano

    Rais Samia akihutubia viongozi, wageni mbalimbali pamoja na wananchi baada ya kuzindua Jengo la Tiba Mionzi (Radiotherapy Unit) katika Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kaskazini (KCMC), Moshi mkoani Kilimanjaro, leo Juni 24, 2026, amesema serikali itanedelea kuhakikisha ushirikiano na madhehebu...
  17. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Tanzania ni miongoni mwa nchi zinazozalisha chakula kwa wingi ukanda wa Mashariki na Kusini mwa Afrika

    Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema Tanzania ni miongoni mwa nchi zinazozalisha chakula kwa wingi katika ukanda wa Mashariki na Kusini mwa Afrika, hali inayofungua fursa kubwa ya kuimarisha biashara ya bidhaa za kilimo na Namibia. Soma Pia: Rais Samia: Nchi zetu mbili zimegundua...
  18. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Nchi zetu mbili zimegundua akiba kubwa ya gesi baharini, Namibia ina futi za ujazo trilioni 8.7 Tanzania futi za ujazo trilioni 57.5

    Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema Tanzania na Namibia zinapaswa kuimarisha ushirikiano katika sekta ya mafuta na gesi kufuatia ugunduzi wa akiba kubwa ya gesi baharini katika mataifa hayo mawili. Rais Samia amesema Namibia ina akiba ya gesi inayokadiriwa kufikia futi za ujazo...
  19. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Rais Samia kumuapisha Mtendaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, Dkt. John Jingu Juni 19, 2026, Dar es Salaam

    Rais Samia kumuapisha Mtendaji Mkuu wa Mahakama Dkt. John Jingu, Juni 19, 2026 Dar es Salaam. Pia soma - Uteuzi: Dkt. John Jingu ateuliwa kuwa Mtendaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania akichukua nafasi ya Prof. Elisante Ole Gabriel ambaye amestaafu
  20. L

    JamiiForums Tanzania Rais Samia aendelea Kuwa Almasi Ya Dunia. Rais Wa Namibia Kutua Nchini Hapo Kesho.Wazungu nao waendelea Kupigana Vikumbo Kuomba nafasi ya Kuja

    Ndugu zangu Watanzania, Nashindwa Niandike nini hapa ,Nashindwa nimuelezee Vipi Rais Samia , Nashindwa Nizungumze Nini Nanyi Maana Rais Samia Anaendelea kuonyesha kuwa ni chaguo la Mungu , anaendelea kuonyesha Kainuliwa na kupewa kibali na Mungu Mwenyewe. Rais Samia anaendelea kuonyesha kuwa...
Back
Top Bottom