rais samia

Samia Suluhu Hassan[a] (born 27 January 1960) is a Tanzanian politician who is serving as the sixth and the first female president of Tanzania since 2021. She is a member of the ruling social-democrat Chama Cha Mapinduzi (CCM) party and the third female head of government of an East African Community (EAC) country.

A native of Zanzibar,[2] Suluhu served as a minister in the semi-autonomous region during the administration of President Amani Karume. She served as the Member of Parliament for the Makunduchi constituency from 2010 to 2015 and was the Minister of State in the Vice-President's Office for Union Affairs from 2010 to 2015. In 2014, she was elected as the vice-chairperson of the Constituent Assembly tasked with the drafting of the country's new constitution.

Suluhu became Tanzania's first female vice-president following the 2015 general election, after being elected on the CCM ticket with President Magufuli. Suluhu and Magufuli were re-elected to a second term in 2020. She briefly served as the second female interim Head of State in the EAC – 27 years after Sylvie Kinigi of Burundi, spanning a period around the end of the year 1993.

View More On Wikipedia.org
  1. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania ZIARA YA MH RAIS SAMIA URUSI NA "GEOPOLITICAL DIPLOMATIC SHIFT" YA DUNIA.

    Dr.Zack. June 2,2026.06:54AM. Baada ya Serikali ya Tz jana kutangaza kuwa Mh Rais Samia Suluhu Hassan kesho June 3,2026 anaanza ziara ya siku mbili Nchini Urusi ilinifurahisha sana. Hii inaweza kuwa ni ziara bora zaidi na ya kimkakati sana tangu Mh Rais Samia Suluhu Hassan aingie Ikulu baada...
  2. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Rais Samia Kutunukiwa Shahada ya Heshima Urusi

    Rais Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kutunukiwa Shahada ya Heshima ya Uzamivu na Chuo Kikuu cha Urafiki wa Watu wa Urusi (RUDN University) nchini Urusi. Tuzo hiyo ni ishara ya kutambua uongozi wake, mageuzi katika sekta ya elimu, juhudi zake katika kuimarisha diplomasia ya Tanzania pamoja na...
  3. L

    JamiiForums Tanzania Dunia yaendelea Kukoshwa na Uchapakazi Wa Rais Samia . Sasa Kutunukiwa Shahada Ya Heshima Nchini Urussi. Tukio kurushwa Live

    Ndugu zangu watanzania, Habari ndio hiyo. Rais wetu Mpendwa anaendelea kuiteka Dunia kwa uchapakazi wake, anaendelea kuwa Nyota ya Dunia, anaendelea kuwa kiongozi mwenye ushawishi zaidi Duniani kote , anaendelea kuwa Kiongozi mwenye mvuto na heshima kubwa sana Duniani kote. Rais Samia ni Kama...
  4. Tutu kalundji

    JamiiForums Tanzania Rais Samia Suluhu Hassan bado ni kiongozi imara na bora kabisa. nimeweka mifano halisi

    Wakati Madame President, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan anaingia ikulu alikuta mtangulizi wake Hayati John Pombe Magufuli akiwa kapiga hatua nzuri ila nchi ilikuwa na mzigo wa kuhudumia project nyingi ambazo zilihitaji mabilioni ya shilingi kuweza kukamilisha kwa wakati.Hapo hapo uhusiano na...
  5. L

    JamiiForums Tanzania Historia ya Rais Samia iwekwe Katika Somo La Historia kwa Shule zote za Msingi na Sekondari Ili Kutoa Hamasa kwa Watoto wa Kike Kupenda Shule

    Ndugu zangu Watanzania, Kama Ambavyo Tumesoma Katika Vitabu vya Historia Juu ya Historia za Akina Mwalimu Julius Nyerere,Nelson Mandela,Nkwame Nkurumah, Samora Machelli,Kenneth Kaunda ,Jommo Kenyatta, Patrice Lumumba ,Dkt Martin Luther king Jr, Mahatma Gandhi na Mchango wao katika Jamii...
  6. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Rais Samia apokea Taarifa ya Sensa ya Wanyamapori

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye kikao cha kupokea Taarifa ya Sensa ya Wanyamapori iliyofanyika nchi nzima mwaka 2024 – 2025 iliyowasilishwa na Waziri ya Maliasili na Utalii Dkt. Ashatu Kijaji kupitia Taasisi ya Utafiti wa Wanyamapori...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Rais Samia awazawadia Serengeti Boys, U17 milioni 500

    WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali imetoa zawadi ya sh. milioni 500 kwa Timu ya Taifa ya Tanzania ya vijana chini ya miaka 17 (Serengeti Boys) kwa kufanikiwa kutinga hatua ya fainali ya mashindano hayo na kuipeperusha vyema bendera ya Tanzania kimataifa. Dkt. Mwigulu amesema hayo...
  8. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania Niliwahi toa USHIRIKIANO kwa Jeshi la Polisi dhidi ya uhalifu nikageukiwa. Sihitaji na siwataki Polisi

    Niliwai chomewa nyumba polisi wakapokea rushwa pale mkuranga sitokaa nisaauh kamwe Wala nimpende polisi awaye yoyote hata afe Leo siziki polisi Wala SILI chakula na polisi. Niliwai toa USHIRIKIANO KWA jeshi la polisi dhidi ya uhalifu nikageukiwa siitaji na siwataki polisi himo marangu. Niliwai...
  9. R

    JamiiForums Tanzania Makonda: Rais Samia amesema Vijana 'Serengeti Boys' watakapomaliza AFCON 2027, wawekwe kambi maandalizi 2030 Tanzania kushiriki World Cup

    Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda, akizungumza Bungeni leo Mei 29, 2026, Dodoma, kufuatia Mechi ya jana Mei 28, 2026 ambapo timu ya Serengeti Boys ilifanikiwa kutinga Fainali ya AFCON U17 baada ya kuiondosha Misri kwa ushindi wa mikwaju ya penalti 4-3 kufuatia sare ya...
  10. L

    JamiiForums Tanzania Hakuna Siku Katika Maisha ya Rais Samia Hapa Duniani Patakosekana Chakula Mezani Pake. Ukiiombeya Mabaa Tanzania Humkomoi Hata Kidogooooo

    Ndugu zangu Watanzania, Napenda Niwafungueni Akili kidogo wale Vipofu wa akili na macho na waliojaa chuki Binafsi kwa Rais wetu Mpendwa. Napenda kuwaambieni Ya Kuwa Rais wetu Mpendwa Mama Samia Suluhu Hasssan ataendelea kuhudumiwa kwa Kodi za Watanzania Mpaka Mwisho Wa Maisha yake Hapa Duniani...
  11. B

    JamiiForums Tanzania VIDEO: Mtoto amimina maombi mazito kwa Rais Samia, DC Shaka ashindwa kujizuia adondosha machozi

    Mtoto wa miaka wa miaka 9 wa kituo cha watoto Yatima wenye Mahitaji Malum Kisweru Kilosa, aongoza Sala ya kumuombea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan baada kukabidhiwa zawadi ya Edi ( vyhakula na Ngo'mbe 3) vilivyotolewa na Mhe Rais* Awaliza viongozi na wazazi...
  12. Heparin

    JamiiForums Tanzania John Heche: Kesi ya Mgawanyo wa mali za Chama iliratibiwa na Sisty Nyahoza na Salehe Bohora aliyetumwa na Rais Samia

    Kesi ya uongo ya mgogoro fake wa mali, ni kesi ya Msajili wa vyama.. Kesi husika ipo hapa>> Mahakama yafuta kesi ya mgawanyo wa mali CHADEMA Marehemu mama Komu alituelezea namna ambavyo Sisty Nyahoza, Msajili msaidizi akiwa na mtu anaitwa Salehe Bohora, walivyomfuata nyumbani kwake na kuomba...
  13. The Watchman

    JamiiForums Tanzania Waziri Katambi: Rais Samia usiumie inapotokea mtu anafanana na Choroko

    Wakuu Waziri wa mambo ya ndani Patrobas Katambi anawabatiza watu wenye mitazamo mbadala kama "wasaliti" na "choroko zisizoiva," huku akitumia mifano ya kidini kumweka Rais kwenye nafasi ya asiyekosea. Waziri Katambi ameyasema hayo katika hafla ya kuhitimisha Mafunzo ya Maafisa na Wakaguzi...
  14. R

    JamiiForums Tanzania USHAURI KWA RAIS SAMIA: To soften the International stance against you and your cronies, mwachie Lisu bila masharti

    Pamoja na kuwa bado utakuwa na kibarua kigumu kuhusu yaliyotokea October 29th 2025, bado unaweza kuonesha remorse and a road to a fresh start kwa yaliyotokea 29th October 2025 kwa kumwachia Lisu as a good gesture to a road to truth, accountability and finally reconciliation. Hao wanaokushauri...
  15. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Rais Nyerere na Magufuli Walikataa, Rais Samia Usikubali Nchi Yoyote Kuingilia Sovereignty Yetu, Iwe ni US, UK or EU!, Kwani Marekani Ndio Nani, Nini?

    Wanabodi Leo naendelea na zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa" ambazo ni makala ya kuhimiza uzalendo kwa kutanguliza maslahi ya Taifa mbeli, kwa kumtia Moyo Rais Samia, na Watanzania, tusikubali vitisho vyoyote kutoka kwa nchi yoyote, kuingilia sovereignity yetu, na kutolea mfano Rais...
  16. Hance Mtanashati

    JamiiForums Tanzania Je, vipi kama Rais Samia naye akazuiliwa kuingia baadhi ya nchi itakuwaje?

    Kama Mafwele, Makonda nk wamepigwa ban kukanyaga baadhi ya nchi na ukiangalia ni viongozi wakubwa tu je, unadhani image ya nchi inaonekanaje? Je, na Samia naye akipigwa ban itakuwaje?
  17. R

    JamiiForums Tanzania Rais Samia akemwa Nepotism katika ajira za serikali

    Msikilize
  18. N

    JamiiForums Tanzania "Who are you" itamgharimu sana Rais Samia kidiplomasia

    Lilikuwa kosa mno ki-mkakati kwa Rais Samia kuwahoji wa Manga eti ni kinanani?! Ki ukweli hakika, washauri wa Rais wetu hawaku-mtendea haki kumsaidia kujizuia kutoa kauli kama ile Ndugu zangu, kwa kauli ile, siyo rahisi tena mambo kuendelea kuwa kama awali. Wazungu kwa mfano, huwa na nongwa...
  19. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Rais Samia Ataka Haki na Uadilifu kwa Majaji

    Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan anataka haki na uadilifu. ■Aapisha majaji wa rufaa, awakumbusha pia uzalendo ■Asisitiza kuepuka upendeleo, kuwa na hofu ya Mungu ■Asema duniani ukiacha Mungu, dhamana kubwa ni yao
  20. L

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Rais Samia Hajawahi kuua Mtu wala Kutoa Maagizo ya Kuua Mtu Yeyote yule

    Ndugu zangu Watanzania, Ukiona na Unapoona Rais wetu Mpendwa anaunda Tume Kuchunguza Kila Tukiona linalohusu Kupoteza Uhai wa Mtanzania yeyote yule ni kwa sababu Rais wetu anajali Maisha ya watanzania na Mtanzania mmoja mmoja. Ni kwa sababu Anataka kila mmoja Aishi Mpaka pale Mungu atakapoamua...
Back
Top Bottom