Rais Samia apokea Taarifa ya Sensa ya Wanyamapori

Rais Samia apokea Taarifa ya Sensa ya Wanyamapori

Zack Abdul

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2026
Posts
540
Reaction score
511
IMG-20260529-WA0056.jpg
IMG-20260529-WA0055.jpg
IMG-20260529-WA0057.jpg
IMG-20260529-WA0058.jpg
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye kikao cha kupokea Taarifa ya Sensa ya Wanyamapori iliyofanyika nchi nzima mwaka 2024 – 2025 iliyowasilishwa na Waziri ya Maliasili na Utalii Dkt. Ashatu Kijaji kupitia Taasisi ya Utafiti wa Wanyamapori Tanzania (TAWIRI), tarehe 29 Mei, 2026 Ikulu Dar es Salaam.
 
Tunataka kujua idadi kamili na ya kweli ya watu waliouwawa October 29, halafu ndio tutahesabu tuna nyumbu wangapi nchi hii.
 
Back
Top Bottom