Yaani Uraisi sio taasisi tena?
Kujaza mawaziri vilaza toka Zanzibar kwenye baraza la mawaziri, hadi wakwe na watoto wako, watoto wa rafiki zako na rafiki zako kama kina Riz, Makonda nk huku ukiwaondoa mawaziri very capable toka bara, kuteua wazanzibar tele kuwa wakurugenzi huku bara, sio nepotism?
Kweli nyani...
well done Dr Samia Suluhu Hassan kwa maelekezo,Msikilize

Wow, Samuya haoni kundule!Msikilize