Kama unajenga mgahawa, bar hata guest house, kumbuka kuweka chumba cha mhudumu pembeni. Ikiwezekana weka viwili cha wanawake na cha wanaume.
Hii itakupunguzia stress za wafanyakazi kuchelewa kazini asubuhi kwani wale wapika supu na chapati wataamkia hapo hapo.
Kama unaweza, unaweza kuweka...
Mkuu wa Wilaya ya Iringa, Richard Kasesela amesema Moto uliozuka Kijiji Cha Mfukulembe umeunguza zaidi ya nyumba 11 na mashamba ya miti yenye ukubwa wa zaidi ya ekari 811.
Aidha amebainisha kuwa hakuna mtu aliyepata madhara na chanzo cha moto huo isadikiwa kuwa mama mmoja aliyejulikana kwa...
---MFANO WA MASWALI YALIYOULIZWA---
Msaada wadau,
Mfano ukimeza dawa ya Malaria ile dozi ya siku moja, je naweza kutumia pombe baada ya muda gani?
Pia soma
https://www.jamiiforums.com/threads/hizi-ndio-aina-kumi-za-dawa-ambazo-hazipatani-na-pombe-kabisa.1335336/
--
MICHANGO/MAONI YA WADAU
Dah...haya mambo ya kuhamishiwa mkoani Dom huku familia zetu tumeziacha Dar , yana changamoto sana...yaani hii kauli ya 'ofcourse I am married but some how available' nimeshakutana nayo zaidi ya mara tatu tangu nihamie Dodoma ni toka kwa akina mama/wanawake wenye ndoa zao lakini wamehamishiwa...
Kwa heshima kubwa. Hii kaliba itambuliwe rasmi kama mdau mkubwa wa maendeleo hasa kwenye eneo la ulipaji kodi. Ndio mshindi wa kwanza kila mwaka ikizishinda taasisi nyingine kwa mbali mno.
Pamoja na sifa zote hizo lakini pia kaliba hii inakabiliwa na changamoto mbalimbali hasa
. Kushindwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.