Bushmamy
JF-Expert Member
- Aug 18, 2019
- 8,847
- 15,252
Hallo wanaJF? Heri ya mwaka mpya.
Hii ni wiki ya pili nashuhudia vijana wa hapa mtaani wakinywa pombe za kwenye karatasi almaarufu kiroba nikawauliza "Oya vipi machalii hizo zaga mmeokota jalalani nini? Wakanijibu Bushmamy mbona haya makitu yapo tele chuga hapa"
Wanaendelea kaniambia, "Kama vip fanya maniaje ni aje (Yaani hela) tukakuletee hata sasa hivi".
Nikala ganzi siku Ikaisha. Maana walikuwa na pakiti za kutosha wanazifyonza tu.
Siku ya Pili:
Nacheki na chalii mwingine nikamuuliza vipI dogo Malaga yale mmeokota wapi akanijibu hayo makitu yapo na yanauzwa tu mbona ila kwa siri kwa hiyo kuna uwezekano kuna sehemu wanazalisha.
Ila jamani twende mbele turudi nyuma Machalii wa Arusha pombe, bangi, inawamaliza, utumiaji wa pombe wa vijana hapa wengi ni zile kali na sio bia unakuta pombe hapa inauzwa buku au buku mbili lakini alcohol iliyopo ndani yake 40.
Hii ni wiki ya pili nashuhudia vijana wa hapa mtaani wakinywa pombe za kwenye karatasi almaarufu kiroba nikawauliza "Oya vipi machalii hizo zaga mmeokota jalalani nini? Wakanijibu Bushmamy mbona haya makitu yapo tele chuga hapa"
Wanaendelea kaniambia, "Kama vip fanya maniaje ni aje (Yaani hela) tukakuletee hata sasa hivi".
Nikala ganzi siku Ikaisha. Maana walikuwa na pakiti za kutosha wanazifyonza tu.
Siku ya Pili:
Nacheki na chalii mwingine nikamuuliza vipI dogo Malaga yale mmeokota wapi akanijibu hayo makitu yapo na yanauzwa tu mbona ila kwa siri kwa hiyo kuna uwezekano kuna sehemu wanazalisha.
Ila jamani twende mbele turudi nyuma Machalii wa Arusha pombe, bangi, inawamaliza, utumiaji wa pombe wa vijana hapa wengi ni zile kali na sio bia unakuta pombe hapa inauzwa buku au buku mbili lakini alcohol iliyopo ndani yake 40.