PONGEZI KWA POLISI WA MOROGORO.
Na, Robert Heriel
Jana nimefurahishwa na kile nilichokiona pale Morogoro, Polisi wa Morogoro Mungu awabariki sana.
Jana Lissu alikuwa akikatiza maeneo ya Morogoro Mijini akielekea Iringa, kwa kazi ya kutafuta Wadhamini. Nilifurahishwa na namna polisi...