Basi la Sauli limesimamishwa Mikese kwa karibu masaa mawili.
Tukio lilianzaje?
Basi lilikuwa likiondoka Morogoro mida ya saa 10 jioni limeongozana na Al Sayeed. Dereva wa Al Sayeed na Sauli wote walifanya makosa waka - overtake eneo hilo. Bahati nzuri wa Al Sayeed hakusimamishwa ila wa Sauli akanasa.
Kilichofuata Dereva wa Sauli akajieleza. Akaambiwa ageuze gari. Akageuza, yule askari wa kike akamchapa makofi.
Wananchi waliojaa pale wakazomea. Alikuwepo askari wa kiume akaruhusu gari. Dereva wa Sauli akawa analalamika baadae akaondoka.
Kufika Mikese basi likasimamishwa kwa masaa 2 kwa ajili ya kuchukua maelezo.
Swali:
- Kwenye basi kuna madereva wawili, kwanini wasimamishe basi muda huo au kuwatafutia abiria usafiri mbadala?
- Kwenye safari kuna watoto wadogo na wagonjwa. Kwanini akili ndogo tu zisitumike?
Tukio lilianzaje?
Basi lilikuwa likiondoka Morogoro mida ya saa 10 jioni limeongozana na Al Sayeed. Dereva wa Al Sayeed na Sauli wote walifanya makosa waka - overtake eneo hilo. Bahati nzuri wa Al Sayeed hakusimamishwa ila wa Sauli akanasa.
Kilichofuata Dereva wa Sauli akajieleza. Akaambiwa ageuze gari. Akageuza, yule askari wa kike akamchapa makofi.
Wananchi waliojaa pale wakazomea. Alikuwepo askari wa kiume akaruhusu gari. Dereva wa Sauli akawa analalamika baadae akaondoka.
Kufika Mikese basi likasimamishwa kwa masaa 2 kwa ajili ya kuchukua maelezo.
Swali:
- Kwenye basi kuna madereva wawili, kwanini wasimamishe basi muda huo au kuwatafutia abiria usafiri mbadala?
- Kwenye safari kuna watoto wadogo na wagonjwa. Kwanini akili ndogo tu zisitumike?