Tunaelewa mnamuogopa muajiri wenu aliepo ingawa sheria haziwafungi mpaka mnavuka mipaka ya kazi zenu badala ya kuilinda serikali mnakilinda chama cha CCM. Tunajua kura ni siri.
Sawa kuweni huko japo kura ni siri ,mbali ya kufanya yote hayo jificheni katika mambo ya aibu wanayoyafanya CCM,mfano...