Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,011
- 9,878
Polisi wamevamia Bar za Kinondoni kutawanya mikusanyiko iliyokuwa inaendelea wakati wa usiku kipindi hiki cha janga la #CoronaVirus
Bar na shughuli nyingine zilizokuwa zinaendelea kwa muda wa usiku zilitakiwa kufungwa
Polisi hao walitawanya watu starehe baada ya kutoa tahadhari kwa ving’ora. Watu walitandikwa bakora ili wakalale majumbani kwao
Awali mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam alizuia uzuluraji kwa kipindi hiki cha janga la #COVID19. Na kuwataka watu wakae nyumbani baada ya muda wa kazi na wasitoke bila sababu maalum
Bar na shughuli nyingine zilizokuwa zinaendelea kwa muda wa usiku zilitakiwa kufungwa
Polisi hao walitawanya watu starehe baada ya kutoa tahadhari kwa ving’ora. Watu walitandikwa bakora ili wakalale majumbani kwao
Awali mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam alizuia uzuluraji kwa kipindi hiki cha janga la #COVID19. Na kuwataka watu wakae nyumbani baada ya muda wa kazi na wasitoke bila sababu maalum