picha

Jean-Paul "Picha" Walravens (Brussels, Belgium, 2 July 1942) is a Belgian cartoonist, comics artist, animator and film director. He is most famous for his adult animated films, such as Tarzoon: Shame of the Jungle.

View More On Wikipedia.org
  1. Komeo Lachuma

    Picha Tafakuri ya Marais Watatu wa Afrika Mashariki wakipata chanjo ya Covid-19

    Hizi ni picha za Marais watatu wa east africa wakichoma Chanjo ya Covid 19. Huu ndo uongozi unavyopaswa kuwa. Kuongoza kwa mfano.
  2. Behaviourist

    Picha ya siku: Pimp my ride

    🤗🤗🤗
  3. H

    Vita ya pili ya dunia katika picha (WW2), tupia uliyonayo

    vita vya pili vya dunia viliua watu milioni 60 na mpaka leo madhara yake bado yanaendelea kuonekana Anaitwa Yang Kyoungjong amepigana vita vya pili vya dunia akiwa na uniform za mataifa za mataifa manne tofauti In June 1944, a young soldier surrendered to American paratroopers in the Allied...
  4. C

    Ningetaka kuishi kwenye aina hii ya mtaa na ya nyumba hizo. Na wewe weka hapa picha ya aina ya mtaa ungetaka kuishi

    Habari wana JF, Ninatumai habari njema. Nilikuwa ninafikiri kujenga nyumba lakini ukitaka kujenga nyumba ya kuishi lazima ufikiri hata surrounding yako (mazingira yanayokuzunguka) kwa mfano majirani, usafi wa mtaa Hyvio nilitaka kuweka hapa baadhi ya picha ya neighborhood popote niliona...
  5. Robert Heriel Mtibeli

    Utafiti wangu kuhusu "profile pictures" za watumiaji wa mitandao ya kijamii

    Nilifanya kautafiti kadogo juu ya Profile picture na picha wanazoweka watu kwenye Account zao za mitandao ya kijamii. Nikabaini mambo yafuatayo: 1. 90% ya walioweka picha Nusu/Passport size (kuanzia kiunoni mpaka kichwani) ni Wafupi. Pia hawana maumbo ya kuvutia. Hii ipo kwa pande zote...
  6. Behaviourist

    Picha ya siku

    Pale anaposikia chadema wakidai kuwa lazima wafanye kongamano la katiba atake asitake😁😁😁
  7. Behaviourist

    Picha ya siku: Even Simpsons predicted a female dictator

    Alitabiriwa kutoka kwenye kile chama cha kijani cha mapaka
  8. ommytk

    Ushawahi kupost bahati mbaya picha au video ya ngono kwenye group la familia au ukoo?

    Yaaani unatamani kuvunja simu lakini ndio huwezi yaaani unabaki kuleft tu.
  9. Kamanda Asiyechoka

    Simujanja zimeharibu wake za watu. Wanashinda wanapakuwa picha za ngono na kujifunza uchafu kupitia wassapu

    Teknolojia imekuja na mambo mengi. Sasa hivi kila mwanamama anataka amiliki simujanja. Na akishamiliki simujanja basi anajiona ana kila kitu. Siku hizi wamebakiza kupakua picha za ngono na kutupana wassapu huku wakijifunza uchafu. Wameharibia kabisa.
  10. M

    Picha za kwanza za mjane wa Rais wa Haiti akiwa hospitalini Florida

    Mwanamama mjane wa rais wa Haiti Jovenel Moise, Martine Moise 47 akiwa kitandani Hospitalini Florida Marekani. Kwa majonzi amewalaumu maadui wa mume wake kwa kumuua kikatili bila hata kumpa fursa ya kuongea. Martine anasema wamezima ndoto ya Jovenes kuleta huduma za kijamii miundo mbinu ya...
  11. Son.j

    Bango la wiki

    Sisi wa mtandaoni na tutoe picha za roll royce kwenye status zetu, tuende na hili bango
  12. GENTAMYCINE

    Naomba kujua Faida ambazo Wananchi wanapata kwa kila mara kuangalia Picha za Rais akitoka Dom kuja Dar na Dar kwenda Dom kwa Ndege

    Binafsi nitafaidika zaidi nikiona Picha za Rais yypo maeneo mbalimbali ya nchi yenye Changamoto mbalimbali akionana na Wananchi wake na kutatua Matatizo yao ya Kimsingi. Mpaka hivi sasa GENTAMYCINE naitafuta Tija ya kila mara tu Mitandaoni tunaonyesha Picha za Rais akipunga mkono akipanda Ndege...
  13. Behaviourist

    Picha ya siku: Kinachoendelea Afrika Kusini

    Kinachoendelea Afrika kusini ni baada ya kuwepo kwa: 1. Uongozi mbovu katika nchi,yaani kuwa na Taifa ambalo uongozi umefeli kudeliver leadership. 2. Tofauti ya kipato na maisha kati ya Tajiri na masikini kuwa kubwa sana. 3. Ukosefu wa ajiri uliopitiliza. 4. Watu kuwa na chuki pamoja na...
  14. Mr pianoman

    Weka caption kwenye picha hii ya dereva

    Hapa mmefika mto Wami au pale kitonga alafu usikie dereva anatoa tangazo kama hili [emoji116][emoji116] "Nilikwambia uachane na mke wangu lakini hukusikia" [emoji1787][emoji1787][emoji848][emoji848]
  15. ommytk

    Mwezi wa 4 sasa simu yangu sina picha au video yoyote ya ngono

    Kumbe inawezekana kwakweli namshukuru sana Mungu kwa sasa simu yangu nimeweza kukaa bila video au picha za ngono now hata watoto naweza kuwapa nyumbani wakachezea. Dah! Mungu mwema sijui wenzangu mnaweza hali hii kukaa bila picha au video mimi nilikuwa kila nikifuta napata hii asa magroup...
  16. Analogia Malenga

    Watu 38 wauawa na radi wakijipiga picha ‘selfies’ India

    Takriban watu 38 wamefariki dunia kwa kupigwa na radi ambapo 11 kati yao walikuwa wakipiga picha (Selfie) katika jengo la Kitalii la Amber Fort wakati mvua inanyesha Katika matukio mengine, watu 18 walifariki kwa radi huko Uttar Pradesh ambapo imeelezwa wengi wao ni Wakulima. Pia, Polisi...
  17. Orketeemi

    Picha: Rasmi Yanga yamsajili Djuma Shabani

    Klabu ya Yanga imefanikiwa kumsainisha beki Djuma Shabani akiwa mchezaji huru Kwa mkataba wa miaka miwili. Kulikuwa na tetesi kuwa huenda Djuma Shabani asingekamilisha dili hilo na badala yake angeelekea kunako Klabu ya Rs Berkane kuungana na kocha wake Florent Ibenge aliyejiunga na timu hiyo...
  18. P

    Msemaji wa Simba anapoinadi mechi ya Simba na viwalo vya New York Yankees

    Msemaji wa Simba alipokuja redioni kuinadi mechi ya Simba na Yanga majuzi, akiwa na advataizi ya mavazi ya timu ya mpira wa baseball ya New York Yankees
  19. A

    Hii ni picha ya kuchora, inamuonyesha binti mtumwa kutoka Afrika akiwa Uarabuni

    Inauzwa katika minada ya antique, ni picha chache za kuchora ambazo bado zinapatikana. Nimevuta hisia, maisha way huyu binti si ajabu hajui hata wazazi wake walipo. Sura yake haionyeshi furaha bali ina ujasiri. Ni mara chache sana kuona kumbu kumbu za Watumwa waliokwenda Arabuni. Wengi wao...
  20. Suley2019

    Picha: Tazama mchanganuo wa nafsi katika lugha ya kiswahili na Kiingereza

Back
Top Bottom