kifupi kirefu
JF-Expert Member
- Oct 29, 2018
- 539
- 3,507
Tuna vyombo vya dola na chama dola, wenzenu kuanzia jana wanatoa makovu yaliyotokana na uchaguzi wa mwaka jana. Zipo tuhuma za kupigwa Risasi kukatwakatwa na kulazimishwa kwa watu kurejea CCM na walipokataa walimwagwa damu.
Wakati Taarifa hizi zikisambaa kwa kasi zikiwa na majina na maelezo toshelezi ya waliotendewa unyama huo, wapo viongozi wa CCM wa ngazi mbalimbali kupitia real accounts zao wanashabikia na kufikia mahali kusema wafe kabisa. Wapo wanaosema walioumizwa na dola walifanya vurugu bila kuonyesha vurugu hizo na wengine kufikia mbali zaidi kusikitika kwanini walioumizwa hawakufa.
Posts hizi zinaandikwa Twitter, Instagram na FB na watu ambao yulitegemea hata kama wanafurahia damu kumwagika basi wasifike mahali wakaandika hisia zao hadharani. Lakini pia hakuna mtu ayekamatwa watu kiongozi aliyejitokeza kuwakanya wanaoshabikia umwagaji damu. Ukimya wa Viongozi una tafsiri mbaya sana miyoyoni mwa watu, wapo walioumizwa ambao mama zao ni CCM, wake au waume zao ni CCM na may be watoto wao wanapoona wanachama na Viongozi wao wanashangilia ndugu zao kuumizwa tusitegemee kama chama kitasonga mbele, kitatawaliwa na wasaliti.
Hizi picha ni mbaya sana kwa jamii yenye dini. Lakini pia kibaya zaidi hata Viongozi wa dini haya hawakemei kwa maana kwamba viongozi wengi wa dini wanaona uovu lakini kwasababu awajawahi kumwona Mungu wanayemwamini na wamewaona wanadamu wakiwemo watu wkatili kama hawa wamwaga damu basi wao wamejitolea kuogopa wamwaga damu bila kujua wanaomwaga damu ni waumini wao na waliomwagwa damu ni waumini wao. Kama hatuwezi kumtukuza Mungu hadharani tukaogopa wanadamu taifalitaingia vitani au machafuko.
Wakati Taarifa hizi zikisambaa kwa kasi zikiwa na majina na maelezo toshelezi ya waliotendewa unyama huo, wapo viongozi wa CCM wa ngazi mbalimbali kupitia real accounts zao wanashabikia na kufikia mahali kusema wafe kabisa. Wapo wanaosema walioumizwa na dola walifanya vurugu bila kuonyesha vurugu hizo na wengine kufikia mbali zaidi kusikitika kwanini walioumizwa hawakufa.
Posts hizi zinaandikwa Twitter, Instagram na FB na watu ambao yulitegemea hata kama wanafurahia damu kumwagika basi wasifike mahali wakaandika hisia zao hadharani. Lakini pia hakuna mtu ayekamatwa watu kiongozi aliyejitokeza kuwakanya wanaoshabikia umwagaji damu. Ukimya wa Viongozi una tafsiri mbaya sana miyoyoni mwa watu, wapo walioumizwa ambao mama zao ni CCM, wake au waume zao ni CCM na may be watoto wao wanapoona wanachama na Viongozi wao wanashangilia ndugu zao kuumizwa tusitegemee kama chama kitasonga mbele, kitatawaliwa na wasaliti.
Hizi picha ni mbaya sana kwa jamii yenye dini. Lakini pia kibaya zaidi hata Viongozi wa dini haya hawakemei kwa maana kwamba viongozi wengi wa dini wanaona uovu lakini kwasababu awajawahi kumwona Mungu wanayemwamini na wamewaona wanadamu wakiwemo watu wkatili kama hawa wamwaga damu basi wao wamejitolea kuogopa wamwaga damu bila kujua wanaomwaga damu ni waumini wao na waliomwagwa damu ni waumini wao. Kama hatuwezi kumtukuza Mungu hadharani tukaogopa wanadamu taifalitaingia vitani au machafuko.