Haya ni matumizi mabaya ya pesa na mipango moji, wangerekebisha la zamani na wakajenga jipya Mbweni au Bunju au Pugu...nje ya mji ili kuepusha foleni mjini...wengine waalwkee kariakoo na wengine waelekee nje ya mji.Soko la Uhindini Mbeya litajengwa lini? Hadi leo hata Michoro yake haijatoka
Likijengwa Bunju kama lile la Ndungai au kama lile la Temeke.mtakuja hapa kuponda tena kwamba soko limejengwa nje ya mji hakuna wateja..kuishi na Wabongo ni kazi sana.Haya ni matumizi mabaya ya pesa na mipango moji, wangerekebisha la zamani na wakajenga jipya Mbweni au Bunju au Pugu...nje ya mji ili kuepusha foleni mjini...wengine waalwkee kariakoo na wengine waelekee nje ya mji.
Kuelekeza huduma muhimu sehemu moka ni kuvutia msongamano wa magari.
Pili kariakoo hakuna maegesho ya magari ya kutosha
Mji unakua soko likijengwa pembezoni itafanya kuwe na msomgamano mdogo wa magariLikijengwa Bunju kama lile la Ndungai au kama lile la Temeke.mtakuja hapa kuponda tena kwamba soko limejengwa nje ya mji hakuna wateja..kuishi na Wabongo ni kazi sana.
Ukiwa kiongozi, jifunze kufanya kitu sahihi na sio vitu vizuri.Likijengwa Bunju kama lile la Ndungai au kama lile la Temeke.mtakuja hapa kuponda tena kwamba soko limejengwa nje ya mji hakuna wateja..kuishi na Wabongo ni kazi sana.
Am sure wataweza parking kama ilivyo soko la kisutuUkiwa kiongozi, jifunze kufanya kitu sahihi na sio vitu vizuri.
1. Kitu kizuri huvutia kwa mda mfupi
2. Kitu sahihi huwa kinaweza kisivutie kwa wakati huu lakini ni sahihi, kina faida ya muda mrefu.
Acha watu walalamike lakini huko mbeleni vuzazi vijavyo vitafaidi matunda na kukuona wewe ni shijaa wao.
Kujenga soko kubwa la kariakoo kwasasa ni jambo zuri lakini sio sahihi kwani hata lililopo halikidhi mahitaji hasa maegesho
Wao wanajua kulaumu tu kila kituLikijengwa Bunju kama lile la Ndungai au kama lile la Temeke.mtakuja hapa kuponda tena kwamba soko limejengwa nje ya mji hakuna wateja..kuishi na Wabongo ni kazi sana.
Yaan ni kazi kubwaa sanaa mkuu !!Likijengwa Bunju kama lile la Ndungai au kama lile la Temeke.mtakuja hapa kuponda tena kwamba soko limejengwa nje ya mji hakuna wateja..kuishi na Wabongo ni kazi sana.
Kwani mbeya ni dar mkuu...tunaanza na kitovu kwanzaSoko la Uhindini Mbeya litajengwa lini? Hadi leo hata Michoro yake haijatoka