Mwanaume ukiwa na pesa hata kama ni Mzee utakula chochote unachohitaji
Mwanaume ukiona unalazimika kujieleza sana na hata unapojieleza unaonekana kituko tu au unaonekana unaleta fujo kwenye kikao cha familia/ukoo na hata unapojieleza wala hueleweki ujue bado uko mbali sana na pesa.
Wenye...