pemba

Pemba Island (Arabic: الجزيرة الخضراء‎ al-Jazīra al-khadrā, literally "The Green Island") is a Tanzanian island forming part of the Zanzibar Archipelago, lying within the Swahili Coast in the Indian Ocean.

View More On Wikipedia.org
  1. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Ofisi ya Mufti yawapa mbinu kuepusha mifarakano masheikh Pemba

    VIONGOZI wa dini ya kiislamu wa mkoa wa kusini Pemba, wametakiwa kutodhihirisha kwa wafuasi wao mahaba, upendo na kuvipigia chapuo vyama vyao vya siasa, wanapokuwa wanahubiri kwenye nyumba za ibada, kwani athari yake ni kusabisha mgawanyiko. Ushauri huo umetolewa na Afisa Fat-tuwa na Utatuzi wa...
  2. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Leo ni siku ya unawaji mikono duniani, kitaifa Zanzibar kuadhimishwa Pemba

    LEO tarehe 15, Oktoba, ni siku ya kimataifa ya unawaji mikono duniani kote, ambapo kitaifa kwa Zanzibar sherehe hizo zinaadhimishwa kisiwani Pemba. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Naibu waziri wa Afya Zanzibar Harusi Said Suleiman wakati akizungumza na waandishi wa habari ukumbi wa ZBC...
  3. MrFroasty

    JamiiForums Tanzania Ushauri na muongozo wa kiusalama kwa raia, hususan Pemba

    Asalam aleykum, Nilishawahi kutoa ushauri huu awali na wala sio wazo jipya nchini, nishauri wananchi wajipange na kuunda vikosi vya kujilinda kwenye vitongoji au vijiji vyao. Hili wazo ni sawa na lile la Sungusungu miaka ya zamani. Si jipya na wala halihitaji leseni ya serekali. Nashauri...
  4. K

    JamiiForums Tanzania Kamata kamata na kile kinachoendelea Pemba, IGP Sirro sikiliza ushauri huu

    Mada inahusika. Nadhani wote tunaelewa kinachoendelea katika kijiji cha Kangagani huko Pemba, baada ya usiku wa kuamkia juzi tarehe 22 Septemba, 2020 , kulitokea tukio la kushambuliwa kwa mapanga waumini msikitini na baadae kujulikana walioshambuliwa kuwa makada wa CCM. Sote bila kujali...
  5. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Yamkini hali si shwari Pemba, Askofu asema nyumba zapigwa 'X'

    Viongozi wa dini Unguja, Pemba wamelaani tukio lilitokea Septemba 22 ktk msikiti mmoja huko Pemba ambapo watu watatu walishambuliwa kwa panga Viongozi wa dini kutoka Zanzibar wako mubashara wakitoa tamko la amani wakati wa kampeni na uchaguzi, katika jambo alilozingumzia baba askofu amesema...
  6. Replica

    JamiiForums Tanzania Pemba: Vyama sita vya siasa vyalaani vurugu za Alfajiri ya leo, waomba msaada wa IGP baada ya wananchi kukatwa mapanga

    Mgombea Urais Zanzibar, Ameir Hassan Ameir(Demokrasia, makini): Katika barua yetu ya tarehe 15 kumuomba msajili wa vyama vya siasa pamoja na IGP, tulimuelezea kwamba, kuna baadhi ya viongozi wa vyama vya siasa hapa nchini kwetu Zanzibar, wameanza tabia ya kuanza kuwashajihisha wanachama wao au...
  7. TandaleOne

    JamiiForums Tanzania Maalim Seif Sharif: Mwisho wa enzi, Pemba

    TAKWIMU HAZIDANGANYI Kwa kawaida Kisiwa cha Pemba limekuwa chini ya himaya ya Maalim Seif kwa muda mrefu, mara zote kura za Pemba zimekuwa ni kura za uhakika kwa Maalim, kwa kifupi Pemba ilikuwa ni Ngome ya Maalim Seif, ukweli huu kwasasa umebadilika. Mapokezi ya Dkt Mwinyi jana yamekuja na...
  8. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Mashahidi waingia mitini Pemba, wasababisha kesi ya ubakaji kuondolewa

    Mahakama ya Mkoa Wete imeiondoa kesi namba 75 ya mwaka 2019 iliyokua inamkabili kijana Khamis Abdalla Khamis mwenye miaka 35 aliyetuhumiwa kumbaka mtoto mwenye umri wa miaka kumi baada ya mashahidi kutofika Mahakamani. Akitoa uamuzi huo Mrajisi wa Mahakama kuu Pemba Abdul-razak Abdul-kadir...
  9. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania GE2020 Pemba: Maalim Seif azindua Kampeni rasmi katika Viwanja vya Tibirinzi

    Ni katika Viwanja vya Tibirinzi, viwanja mpaka muda huu vimetapika, hizi ni picha za awali
  10. Mystery

    JamiiForums Tanzania GE2020 IGP Sirro asidhani kuwa anaweza kudumisha amani visiwani Pemba kwa kutumia mitutu ya bunduki na magari ya washawasha

    Imenenwa katika kitabu cha Mithali katika Biblia katika sura ya 14:34 ikisema hivi nanukuu " Haki huinua Taifa na dhambi ni aibu ya watu wote" mwisho wa kunukuu. Tumemsikia wenyewe IGP Sirro akitutisha watanzania kuwa Jeshi lake la Polisi liko imara na linafanya mazoezi ya nguvu ili kupambana...
  11. S

    JamiiForums Tanzania Pemba ni sehemu ya Tanzania, kikinuka huko kimenuka Tanzania nzima

    Kamanda Siro alisema tume inawasababishia na kuwapa wakati mgumu. WaTanzania sasa tunaelekea kule ambako vyombo vya ulinzi huenda mwisho wake vikaungana na wananchi, jambo ambalo limeonekana nchi nyingi, haiwezekani utumie vyombo vya ulinzi kuteketeza wananchi, wananchi ambao ndio wanaounda...
  12. M

    JamiiForums Tanzania GE2020 Kuenguliwa kwa wagombea: Pemba wahimizana kuandika usia kabisa maana sasa wako tayari kwa lolote

    Katika hali inayoashiria uwezekano wa umwagaji mkubwa wa damu huko Zanzibar hasa kisiwani pemba, wananchi wa huko wakiwa na hasira kali kutokana na kuenguliwa wagombea wao, wamejiapiza kukabiliana na chochote kilicho mbele yao hata ikibidi kupoteza maisha yao. Wamehimizana kila mmoja kuandika...
  13. M-mbabe

    JamiiForums Tanzania GE2020 Hitaji la katiba ya JMT ibara ya 98, kifungu kidogo cha 1(b) ndiyo sababu kuu ya kuenguliwa wagombea ubunge wa ACT Wazalendo, Pemba

    Mada ya uzi huu si ngeni kwetu sisi Watanzania. Nina uhakika wengi (kama si wote) tunaIfahamu vyema hii kitu lakini ni wakati muafaka kuweka msisitizo hususani kutokana na mazingira tuliyo nayo sasa kuhusiana na mwenendo wa teuzi za wagombea urais, ubunge na madiwani kwenye uchaguzi wa mwaka...
  14. S

    JamiiForums Tanzania Wagombea wa CCM Pemba wana haya ya kunena

    Kwa maandishi wamejibu hawakumuekea pingamizi mgombea yeyote yule wa ACT wazalendo,huo au hayo yaliyojiri ni mzigo wao tume ya Taifa ya uchaguzi na sio wagombea wa CCM. Sasa ninaloliona ni CCM kukimbia mauti maana Pemba hawacheki na mtu katika kutafuta haki yao,hawaogopi kauli za Tanzania ni...
  15. G Sam

    JamiiForums Tanzania GE2020 Zitto: Wagombea wote 18 wa ACT-Wazalendo kisiwani Pemba wameenguliwa

    Mambo ni mazito kidogo. Zitto kasema kuwa Pemba hakuna mgombea wa ACT aliyeachwa . Wote 18 wameliwa vichwa. Aidha Zitto pia amesema jumla ya wagombea ubunge 44 wa ACT-Wazalendo Tanzania nzima wameenguliwa. Hii ni hatari tupu.
  16. ACT Wazalendo

    JamiiForums Tanzania Uongozi wa ACT wapokelewa Pemba, Maalim Seif amshangaa Rais Magufuli kusema uchaguzi utakuwa huru ilhali hakuna dalili

    Leo kuna mapokezi ya Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ndugu Bernard Membe na Mgombea Urais wa Zanzibar, Ndugu, Maalim Seif Sharif Hamad. Wameambatana pia na Mgombea Mwenza wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Profesa Omar Fakih Hamad. Tayari washawasili Pemba. Picha za...
  17. 5

    JamiiForums Tanzania Kumekucha: Hussen Mwinyi kutambulishwa rasmi Pemba kesho Jumapili, Wafanyakazi LAZIMA kuhudhuria na wavae kijani

    Naomba kuwasilisha.
  18. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Pemba: Karafuu ya wiza yakamatwa, waliotoa taarifa watapewa gawio

    Karafuu ya magendo yakamatwa Magunia 30 ya karafuu yaliyokuwa yamefichwa katika Kisiwa cha Funzi wilayani Wete, Kaskazini Pemba, ili kusafirishwa kwenda nje ya nchi kwa njia ya magendo, yamekamatwa na kikosi maalumu cha kuzuia magendo (KMKM), kamandi ya pemba. Akizungumza na askari wa kikosi...
  19. J

    JamiiForums Tanzania GE2020 Urais wa Zanzibar hauuzwi bali ni kwa ajili ya Wananchi wa Unguja na Pemba

    Makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar balozi Idd Seif amesema urais wa Zanzibar hauuuzwi bali upo kwa ajili ya wananchi wa Unguja na Pemba. Balozi Idd ametoa onyo kwa wote waliojipanga kutumia rushwa ili kununua uongozi na kwamba wazanzibar watampendekeza Rais wanayemtaka kabla ya kupitishwa na...
  20. CUF Habari

    JamiiForums Tanzania Ziara ya siku 4 ya Mwenyekiti wa CUF Taifa, Prof. Ibrahim Lipumba huko Pemba imeleta hamasa kubwa na kupokea zaidi ya wanachama wapya 723

    ZIARA YA SIKU NNE (4) YA MWENYEKITI WA CHAMA TAIFA MHE. PROF. IBRAHIM LIPUMBA HUKO PEMBA IMELETA HAMASA KUBWA NA KUPOKEA ZAIDI YA WANACHAMA WAPYA 723. Ziara hiyo imekijengea Chama Heshima Kubwa kwa kukiwezesha Kurejesha Ngome yake huko Pemba na kukiwezesha Chama kuwarudishia Hamasa wanachama...
Back
Top Bottom