Sasa kama ni mwenyeji wa Zanzibar utambulisho wa nini kabla ya kampeni?
Sisi wazanzibar hatujazoea ubabe wenu wa bara ndo mtaharibu kabisaaaaa na asipate hata za kuiba
Rais mteule hata kura hajapigiwa ?Kumpokea Rais Mteule..
Aibu kubwa sana !
Rais mteule hata kura hajapigiwa ?
Tumerudi way back in 1980s