Mashahidi waingia mitini Pemba, wasababisha kesi ya ubakaji kuondolewa

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Feb 24, 2012
5,007
9,873
images33333333333.jpg

Mahakama ya Mkoa Wete imeiondoa kesi namba 75 ya mwaka 2019 iliyokua inamkabili kijana Khamis Abdalla Khamis mwenye miaka 35 aliyetuhumiwa kumbaka mtoto mwenye umri wa miaka kumi baada ya mashahidi kutofika Mahakamani.

Akitoa uamuzi huo Mrajisi wa Mahakama kuu Pemba Abdul-razak Abdul-kadir Ali amesema, analiondosha shauri hilo chini ya kifungu cha 103 (9) cha sheria nambari 7 ya mwaka 2018.

“Kifungu hiki kinanipa uwezo wa kuliondosha shauri ikiwa mashahihdi wameshindwa kufika mahakamani”, alisema Mrajis huyo.

Alisema kuwa, upande wa mashitaka unaweza kulifungua tena shauri hilo iwapo watawapata mashahidi na na kuwapeleka mahakamani.

“Upande wa mashitaka mtakapopata mashahidi wa kesi hii basi mnaweza kulirudisha tena lakini kwa leo nimeliondosha”, alifafanua.
Kesi hiyo ilianzwa kusikilizwa kwa mara ya kwanza Oktoba 1, mwaka jana katika mahakama ya mkoa Wete.

Ilidaiwa Mahakamani hapo na Mwendesha Mashitaka kutoka ofisi ya Mkurugenzi wa Mashitaka (DPP) Juma Mussa Omar kuwa mtuhumiwa anatuhumiwa kutenda makosa mawili.

Ambapo kosa la alilitenda baina ya Septemba 01 na Septemba 20 mwaka jana saa zisizofahamika katika maeneo ya Konde Wilaya ya Micheweni Mkoa wa Kaskazini Pemba mtuhumiwa huyo alimbaka mtoto mwenye umri wa miaka kumi, jambo ambalo ni kosa kisheria.

Kufanya hivyo ni kosa kisheria kinyume na kifungu cha 108 (1) (2) (e) na 109 (1) cha Sheria ya adhabu namba 6 ya mwaka 2018 sheria ya Zanzibar.

Kosa la pili kwa mshitaka ilidaiwa kulitenda siku hiyo hiyo mwaka jana saa zisizofahamika Konde alimuingilia kinyume na maumbile mtoto huyo jambo ambalo ni kosa kisheria.

Kufanya hivyo ni kosa kisheria kinyume na kifungu cha kifungu cha 115 cha sheria namba 6 ya mwaka 2018.
 
images33333333333.jpg

Mahakama ya Mkoa Wete imeiondoa kesi namba 75 ya mwaka 2019 iliyokua inamkabili kijana Khamis Abdalla Khamis mwenye miaka 35 aliyetuhumiwa kumbaka mtoto mwenye umri wa miaka kumi baada ya mashahidi kutofika Mahakamani.

Akitoa uamuzi huo Mrajisi wa Mahakama kuu Pemba Abdul-razak Abdul-kadir Ali amesema, analiondosha shauri hilo chini ya kifungu cha 103 (9) cha sheria nambari 7 ya mwaka 2018.

“Kifungu hiki kinanipa uwezo wa kuliondosha shauri ikiwa mashahihdi wameshindwa kufika mahakamani”, alisema Mrajis huyo.

Alisema kuwa, upande wa mashitaka unaweza kulifungua tena shauri hilo iwapo watawapata mashahidi na na kuwapeleka mahakamani.

“Upande wa mashitaka mtakapopata mashahidi wa kesi hii basi mnaweza kulirudisha tena lakini kwa leo nimeliondosha”, alifafanua.
Kesi hiyo ilianzwa kusikilizwa kwa mara ya kwanza Oktoba 1, mwaka jana katika mahakama ya mkoa Wete.

Ilidaiwa Mahakamani hapo na Mwendesha Mashitaka kutoka ofisi ya Mkurugenzi wa Mashitaka (DPP) Juma Mussa Omar kuwa mtuhumiwa anatuhumiwa kutenda makosa mawili.

Ambapo kosa la alilitenda baina ya Septemba 01 na Septemba 20 mwaka jana saa zisizofahamika katika maeneo ya Konde Wilaya ya Micheweni Mkoa wa Kaskazini Pemba mtuhumiwa huyo alimbaka mtoto mwenye umri wa miaka kumi, jambo ambalo ni kosa kisheria.

Kufanya hivyo ni kosa kisheria kinyume na kifungu cha 108 (1) (2) (e) na 109 (1) cha Sheria ya adhabu namba 6 ya mwaka 2018 sheria ya Zanzibar.

Kosa la pili kwa mshitaka ilidaiwa kulitenda siku hiyo hiyo mwaka jana saa zisizofahamika Konde alimuingilia kinyume na maumbile mtoto huyo jambo ambalo ni kosa kisheria.

Kufanya hivyo ni kosa kisheria kinyume na kifungu cha kifungu cha 115 cha sheria namba 6 ya mwaka 2018.
MWANAFUNZI wa Darasa la tatu mwenye umri wa miaka tisa( jina linahifadhiwa), amedai amekuwa akibakwa na mwalimu wa madrasa mara nyingi baada ya mafunzo ya dini.

Amedai amekuwa akiingizwa dudu lake la kukojolea kwenye uchi wake wa kukojolea (kwa bibi) na mwalimu huyo kisha anampatia biskuti ili asije kusema.

Shahidi huyo ambaye anasoma shule ya msingi Uwanja wa Ndege, Dar es Salaam, alidai hayo katika Mahakama ya Wilaya ya Temeke, mbele ya Hakimu Mkazi Anna Mpessa, wakati akitoa ushahidi wa kesi ya ubakaji inayomkabili Shaban Hamid(22).

Akiongozwa na Wakili wa Serikali, Cecilia Mkonongo, Shahidi huyo alidai baada ya kutoka shuleni saa nane mchana anakwenda nyumbani anakula chakula kisha anakwenda madrasa na mtoto wa shangazi yake ambaye anasoma chekechea.

Shahidi huyo alidai wakifika chuo cha dini wanafundishwa na hostazi Shabani wakiwa na watoto wengine ambapo baada ya mafundisho anawaambia watoto wengine waondoke wabaki yeye na mwenzake kwa ajili ya kukusanya mikeka.

" Hostazi Shabani anatufundisha sisi na watoto wengine alafu baadaye anatwambie tubaki mimi na mwenzangu tukusanye mikeka kisha ananibaka wakati huo mwenzangu anakuwa pembeni akinimaliza nae anambaka. Anakuwa ananivua nguo yangu namwambia sitaki sitaki làkini ananivua hadi chupi mpaka chini naye anavua suruali yake pamoja na boksa kisha ananiambia nilale chini alafu yeye analala juu yangu," alidai.

" Baada ya kusikia mama anaongea na shangazi kuhusu habari za ubakaji ndipo namimi nikamwambia kwamba Hostazi uwa anatubaka mimi na mwenzangu," alidai.

Shahidi huyo alidai baada ya kumwambia mama yake alimchukua na kumpeleka hospitalini kisha walimpima.

Baada ya kumaliza kutoa ushahidi wa kesi hiyo, Hakimu Anna alisema hati ya kumkamata mshitakiwa imetolewa baada ya kuruka dhamana ambapo kesi hiyo ilisikilizwa pasipokuwepo mshitakiwa.

Mshitakiwa inadaiwa alitenda kosa hilo kati ya Desemba mwaka 2019 na Februari mwaka jana eneo la Yombo Lumo, Dar es Salaam ambapo alimbaka mtoto mwenye umri wa miaka tisa( jina linahifadhiwa)

Hakimu Anna iliahirishwa hadi Mei 11
 
Kesi kama hizi mara nyingi Ushirikina huhusika. Washitakiwa hutafuta wachawi wakaipeperusha kesi
 
Back
Top Bottom