Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,001
- 9,862
Viongozi wa dini Unguja, Pemba wamelaani tukio lilitokea Septemba 22 ktk msikiti mmoja huko Pemba ambapo watu watatu walishambuliwa kwa panga
Viongozi wa dini kutoka Zanzibar wako mubashara wakitoa tamko la amani wakati wa kampeni na uchaguzi, katika jambo alilozingumzia baba askofu amesema nyumba kadhaa zimechorwa 'X' na huku wakiwa hawajui inamaanisha nini, kama wanatafutwa na hao wahalifu au watafanyiwa nini. Hii ni siku moja baada ya jana alfajiri watu kupigwa mapanga.
Baba Paroko kasema wao kama wakuu wa dini watawaombea wanaodhani wanaweza kufanya lolote wanalotaka kinyume cha matakwa ya Mungu.
Pia, soma=> Pemba: Vyama sita vya siasa vyalaani vurugu za Alfajiri ya leo, waomba msaada wa IGP baada ya wananchi kukatwa mapanga
Viongozi wa dini kutoka Zanzibar wako mubashara wakitoa tamko la amani wakati wa kampeni na uchaguzi, katika jambo alilozingumzia baba askofu amesema nyumba kadhaa zimechorwa 'X' na huku wakiwa hawajui inamaanisha nini, kama wanatafutwa na hao wahalifu au watafanyiwa nini. Hii ni siku moja baada ya jana alfajiri watu kupigwa mapanga.
Baba Paroko kasema wao kama wakuu wa dini watawaombea wanaodhani wanaweza kufanya lolote wanalotaka kinyume cha matakwa ya Mungu.
Pia, soma=> Pemba: Vyama sita vya siasa vyalaani vurugu za Alfajiri ya leo, waomba msaada wa IGP baada ya wananchi kukatwa mapanga