original

  1. Edsger wybe Dijkstra

    Nimepoteza cheti original, nimebakiwa na nakala zilizothibitishwa na Wanasheria. Je, nitakwama kazini?

    Wakuu, nilipoteza cheti original cha chuo, nna copy tu ambayo iko certified. Nimetuma maombi ya kazi nmb na kcb bank nafasi zilizotangazwa hivi karibuni.je kutokua na cheti og kunaweza kunikwamisha? Certified copies hazitoshii?
  2. Eli Cohen

    Jamani ni duka gani ambalo ni maarufu lina hadhi ya kuuza simu original za Samsung? maana vishoka ni wengi

    Refurbished zimekuwa nyingi mtaani na kwa watu wengi ni ngumu kutambua. Tusaidiane duka lenye sifa ya kuuza simu original za samsung. Karibuni;;;;;;;
  3. kikoozi

    ANAYE UZA JBL FLIP 6 SPIKER ORIGINAL (USED-IN GOOD CONDITION)

    Ndugu zangu natafuta bluetooth spiker aina ya JBL iwe original (nataka used ) maana new bei yake imechangamka sana na bajeti yangu sio rafiki. kama hii
  4. R

    Wapi naweza napata original boot za Salomon?

    Habari wakuu, ni wapi Tanzania hii naweza kupata viatu / boots za Salomon original, kuna vya mtumba madukani, ni original kabisa lakini shida vinakuwa vimechakaa. Nataka kiatu kipya.
  5. biznes_dealz

    INAUZWA SEIKO 5 Original 100% ya Japan imeingia

    New Arrival, Seiko 5 Original ya Japan. Saa ni mpya, original 100% ikiwa na box lake Original. Saa ni Automatic haitumii betri, inatembea muda wote wakati wote Saa haiingii maji hata uzame nayo chini ya bahari Seiko 5 utaikuta inatembea. Saa ni zaidi ya roho ya paka unatumia mpaka unazeeka...
  6. Lycaon pictus

    Nyimbo maarufu kuliko original zake

    1. Changes ya Tupac https://youtu.be/eXvBjCO19QY?si=Fwtyece1Ac7kPCkH Origina yake https://youtu.be/GlRQjzltaMQ?si=ZwPSmhk-4Vx8__Ku 2. Forever Young ya Jay Z https://youtu.be/Kzq15y2J4UM?si=JQi1v7F_i7B7gYTF Original yake https://youtu.be/t1TcDHrkQYg?si=bwgTEt655tTKDUq0 3. Toy Soildiers Eminem...
  7. R

    Hati ya kiwanja ikipotea au kuungua kuna uwezekano wa kupata nyingine original?

    Habari. Miaka michache iliyopita nilipata mkasa wa kuungua nyumba niliyokuwa naishi na moja ya vitu vilivyoungua ni hati ya kiwanja. Je kuna uwezekano wa kuomba nyingine idara ya ardhi? Kwa sasa nimebaki na photocopy tu. Naomba kama kuna mwenye uelewa au aliyewahi kupatwa na mkasa kama wangu...
  8. ndege JOHN

    Chapati mbili na supu original ya pweza kamili

    Pweza ni biashara yenye faida hebu Ona huyo pweza nimemnunua 5000 ukimkata vipande vidogo vinatoka vipande zaidi ya 20 unapata 10000 pweza mmoja tu ukimtengenezea utratibu wa mpango wa mradi wenye maendeleo.
  9. GENTAMYCINE

    Ni matumaini yangu kuwa Watanzania wote mmeshajiandaa Kuzipokea hizi CHADEMA mbili zijazo Moja Original na nyingine Academia

    CHADEMA ORIGINAL Freeman Mbowe Godbless Lema Joseph Mbilinyi CHADEMA ACADEMIA Tundu Lissu Peter Msigwa John Heche Ni suala la muda tu na nawaombeni kama hamtojali wekeni Kumbukumbu ya huu Uzi kwani tayati Moto unawaka.
  10. Mturutumbi255

    Njia za Kutambua iPhones Original

    1. Namba ya Serial na IMEI - Hatua za Kufanya: 1. Nenda kwenye Settings > General > About. 2. Tafuta Serial Number na IMEI. 3. Tembelea tovuti rasmi ya Apple checkcoverage.apple.com. 4. Ingiza namba hizo ili kuthibitisha kama iPhone yako inatambulika na Apple. - Faida...
  11. thA goD

    Phone4Sale Original QX7 smartwatch

    Zimebaki 3 tu,nazigawa kwa bei ya China, nataka 140K kwa zote. Kutoka 75K moja,mtaji usharudi sasa nazigawa...piga 0625697394 Origina QX7 smartwatch Please buy 🙏
  12. monotheist

    Hizi ndo perfume original ukiachana na zile za Kariakoo

    Nilishangaa sana baada ya kukutana na hizi bei tena wanakuwekea na taster hizo nilizozishika ruksa kujipulizia zina harufu poa sana Dah wenye pesa wanafaidi vilivyo vizuri
  13. biznes_dealz

    Phone4Sale Tunauza iPhone 6, GB 64

    Hii simu nitaiuza hapa kwa bei ya kutupa ya Tshs 200,000 tu. Mikoa yote ya Tanzania tunatuma. Piga 0742786967
  14. M

    Ukiitwa interview Utumishi na umepoteza original ya cheti kimoja unapaswa kufanyaje?

    Habari wadau, nilikuwa nahitaji kufahamu.. Ikiwa umeitwa kwenye interview ya written Utumishi, na cheti cha kuzaliwa kimepotea ila una copy yake iliyokua certified na mwanasheria. Je, napaswa nifanye nini?
  15. BENEDICT ISEME

    INAUZWA IPhone Original Chargers

    IPhone Original Chargers 25W Adapter USB C lighting cable 35,000/= Rejareja 16,000/= Jumla Free delivery ndani ya Dar es Salaam Tabata Aroma Mawasiliano 0653776099 0789344956 0767810030 0620249911
  16. Meneja Wa Makampuni

    Kesho naagiza simu original China kama unataka kuagiza?

    Naagiza simu original China kama unataka kuagiza karibu (0687746471) Kama kuna yeyote anatamani kuagiza simu kutoka China. Simu original karibu uagize namimi. Namba zangu za simu ni 0687746471 Huyu mtu anayeniuziaga simu namwamini sana ameanza kuniuzia simu tangu 2019 mpaka sasa naagiza...
  17. Sexer

    Hizi blender za Kenwood ambazo zimezagaa mtaani ni Original kweli?

    Wakuu, Kuna hizi blender za Kenwood ambazo maduka mengi tu mtaani wanaziuza Tena kwa bei rafiki kwelikweli, je hizi blender ni Kenwood kama Kenwood tunayoifahamu au mchina keshafanya yake? Na je zinadumu kama tuijuavyo Kenwood? Make nimesikia mtu anasema Zina shida ya kuvuja lile jagi lake
  18. K

    Kwa Al Hussein Spare Parts, Tanga: Njoo ujipatie vipuri, betri na vifaa vingine vya magari

    Tunauza vipuri vya magari yote ya Japan, Uingereza, Singapore. Pia, magari madogo, makubwa kama fuso, canter, tata , n. k. Tupo barabara ya 20 Tanga. Piga simu namba 0713276892. Usisime spare, sema Kwa Hussein Pia tuna oil za aina zote, na tunafanya service na tuna fundi pia wa magari kwa...
  19. A

    Sifa za Mashangazi Original

    1. Awe na umri kuanzia 40+ na awe na kwake (private), 2. Awe mfanyabiashara mwenye bar, Mama lishe, saloon au boutique. 3. Awe na ndinga (Harrier au hata Alphard si mbaya), akuachie uwe dereva wa hiyo gari kupiga nayo misele baada ya kumshusha kazini kwake. 4. Awe na minyama (tumbo, wezere na...
Back
Top Bottom