Wakuu, nilipoteza cheti original cha chuo, nna copy tu ambayo iko certified. Nimetuma maombi ya kazi nmb na kcb bank nafasi zilizotangazwa hivi karibuni.je kutokua na cheti og kunaweza kunikwamisha?
Certified copies hazitoshii?
Ndugu zangu natafuta bluetooth spiker aina ya JBL iwe original (nataka used ) maana new bei yake imechangamka sana na bajeti yangu sio rafiki. kama hii
Habari wakuu, ni wapi Tanzania hii naweza kupata viatu / boots za Salomon original, kuna vya mtumba madukani, ni original kabisa lakini shida vinakuwa vimechakaa. Nataka kiatu kipya.
New Arrival, Seiko 5 Original ya Japan.
Saa ni mpya, original 100% ikiwa na box lake Original.
Saa ni Automatic haitumii betri, inatembea muda wote wakati wote
Saa haiingii maji hata uzame nayo chini ya bahari Seiko 5 utaikuta inatembea.
Saa ni zaidi ya roho ya paka unatumia mpaka unazeeka...
1. Changes ya Tupac
https://youtu.be/eXvBjCO19QY?si=Fwtyece1Ac7kPCkH
Origina yake
https://youtu.be/GlRQjzltaMQ?si=ZwPSmhk-4Vx8__Ku
2. Forever Young ya Jay Z
https://youtu.be/Kzq15y2J4UM?si=JQi1v7F_i7B7gYTF
Original yake
https://youtu.be/t1TcDHrkQYg?si=bwgTEt655tTKDUq0
3. Toy Soildiers Eminem...
Habari.
Miaka michache iliyopita nilipata mkasa wa kuungua nyumba niliyokuwa naishi na moja ya vitu vilivyoungua ni hati ya kiwanja. Je kuna uwezekano wa kuomba nyingine idara ya ardhi? Kwa sasa nimebaki na photocopy tu. Naomba kama kuna mwenye uelewa au aliyewahi kupatwa na mkasa kama wangu...
Pweza ni biashara yenye faida hebu Ona huyo pweza nimemnunua 5000 ukimkata vipande vidogo vinatoka vipande zaidi ya 20 unapata 10000 pweza mmoja tu ukimtengenezea utratibu wa mpango wa mradi wenye maendeleo.
CHADEMA ORIGINAL
Freeman Mbowe
Godbless Lema
Joseph Mbilinyi
CHADEMA ACADEMIA
Tundu Lissu
Peter Msigwa
John Heche
Ni suala la muda tu na nawaombeni kama hamtojali wekeni Kumbukumbu ya huu Uzi kwani tayati Moto unawaka.
1. Namba ya Serial na IMEI
- Hatua za Kufanya:
1. Nenda kwenye Settings > General > About.
2. Tafuta Serial Number na IMEI.
3. Tembelea tovuti rasmi ya Apple checkcoverage.apple.com.
4. Ingiza namba hizo ili kuthibitisha kama iPhone yako inatambulika na Apple.
- Faida...
Zimebaki 3 tu,nazigawa kwa bei ya China, nataka 140K kwa zote. Kutoka 75K moja,mtaji usharudi sasa nazigawa...piga 0625697394
Origina QX7 smartwatch
Please buy 🙏
Nilishangaa sana baada ya kukutana na hizi bei tena wanakuwekea na taster hizo nilizozishika ruksa kujipulizia zina harufu poa sana
Dah wenye pesa wanafaidi vilivyo vizuri
Habari wadau, nilikuwa nahitaji kufahamu.. Ikiwa umeitwa kwenye interview ya written Utumishi, na cheti cha kuzaliwa kimepotea ila una copy yake iliyokua certified na mwanasheria.
Je, napaswa nifanye nini?
IPhone Original Chargers
25W Adapter
USB C lighting cable
35,000/= Rejareja
16,000/= Jumla
Free delivery ndani ya Dar es Salaam
Tabata Aroma
Mawasiliano
0653776099
0789344956
0767810030
0620249911
Naagiza simu original China kama unataka kuagiza karibu (0687746471)
Kama kuna yeyote anatamani kuagiza simu kutoka China. Simu original karibu uagize namimi.
Namba zangu za simu ni 0687746471
Huyu mtu anayeniuziaga simu namwamini sana ameanza kuniuzia simu tangu 2019 mpaka sasa naagiza...
Wakuu, Kuna hizi blender za Kenwood ambazo maduka mengi tu mtaani wanaziuza Tena kwa bei rafiki kwelikweli, je hizi blender ni Kenwood kama Kenwood tunayoifahamu au mchina keshafanya yake? Na je zinadumu kama tuijuavyo Kenwood? Make nimesikia mtu anasema Zina shida ya kuvuja lile jagi lake
Tunauza vipuri vya magari yote ya Japan, Uingereza, Singapore. Pia, magari madogo, makubwa kama fuso, canter, tata , n. k.
Tupo barabara ya 20 Tanga. Piga simu namba 0713276892.
Usisime spare, sema Kwa Hussein
Pia tuna oil za aina zote, na tunafanya service na tuna fundi pia wa magari kwa...
1. Awe na umri kuanzia 40+ na awe na kwake (private),
2. Awe mfanyabiashara mwenye bar, Mama lishe, saloon au boutique.
3. Awe na ndinga (Harrier au hata Alphard si mbaya), akuachie uwe dereva wa hiyo gari kupiga nayo misele baada ya kumshusha kazini kwake.
4. Awe na minyama (tumbo, wezere na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.