ofisi

  1. B

    JamiiForums Tanzania Wizi na matumizi mabaya ya ofisi Hifadhi ya Ngorongoro

    Mheshimiwa Rais, Makamu na Waziri Mkuu shikamooni. Poleni na majukumu magumu ya ujenzi wa Taifa letu la Tanzania. Ninawatakia mwaka mpya mwema mkiwa na afya njema. Watanzania wenzangu habari za leo na poleni na majukumu ya kupambana na maisha. Katika kumalizia mwaka naomba leo naomba...
  2. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Netanyahu aachia mamlaka ofisi za wizara

    Waziri Mkuu wa Israel Benjami Netanyahu ataachia mamlaka ya wizara kadhaa ambazo awali zilikuwa chini yake, huku akiwa anakabiliwa na mashtaka ya ufisadi. Ofisi yake imethibitisha leo kwamba Netanyahu atabaki kuwa waziri mkuu, lakini wizara za afya, maswala ya kijamii, kilimo na...
  3. Suley2019

    JamiiForums Tanzania Mbeya: Jeshi la Polisi lamkamata wakala wa bima ya GTM baada ya kukumta mihuri 56 ya kughushi ya idara za serikali na ofisi binafsi

    Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linamshikilia ABRAHAM OBEDI [55] wakala wa bima ya GTM na Mkazi wa Isanga Jijini Mbeya akiwa na mihuri hamsini na sita [56] ya idara mbalimbali za serikali na ofisi binafsi ambayo imeghushiwa na kuhifadhiwa katika ofisi yake ya Stationaries. Mtuhumiwa alikamatwa...
  4. Bonde la Baraka

    JamiiForums Tanzania Kwa hili la wananchi kufurika ofisi za NIDA ili kuokoa line zao zisifungwe linaonyesha kuwa ufahamu wa wananchi bado ni duni

    Habari ndugu wananchi! Mafuriko ya wananchi kwenye ofisi za NIDA hasa kipindi hiki kuelekea tarehe za kufungwa line ambazo hazijasajiliwa kwa alama za vidole linatupa ukakasi juu ya ufahamu na uelewa wa wananchi. Kitambulisho cha taifa si kwa ajili ya kusajilia line, suala la kitambulisho cha...
  5. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Dr Mashinji ambaye ni Katibu Mkuu mstaafu wa CHADEMA amkabidhi ofisi Katibu Mkuu mpya John Mnyika

    Huu ni utaratibu wa kawaida kwa chama cha siasa kikubwa na kilichokomaa kama Chadema Mungu ibariki Chadema
  6. S

    JamiiForums Tanzania Majengo ya ofisi za mizani ya kupimia uzito wa magari(Weigh Bridge), yawe ya rangi moja nchi nzima na ikiwezekana hata ramani ya majengo iwe ni moja

    Kila naposafiri kutoka mkoa mmoja kwenda mkoa mwingine kwa njia ya barabara, huwa nashangazwa kuona majengo ya ofisi katika vituo vya kupimia uzito wa magari (weigh bridge) hapa nchini yakitofautiana kwa rangi na hata style ya ujenzi ingawa yote yako chini ya serikali moja na yanafanya kazi ile...
  7. J

    JamiiForums Tanzania Bakhresa alijenga ofisi ya CCM tawi la Masaki RC Makonda anajenga ofisi za wilaya ya Kinondoni, CCM haikumbatii umaskini

    Kiukweli ukiziangalia ofisi za CCM tawi la Masaki halafu ukayapitia makao makuu ya chama kikuu cha upinzani pale Ufipa lazima utajifunza kitu. Ofisi za CCM masaki zimejengwa na billionea Bakhresa. Najiuliza tu kuna wakati bilionea Sabodo alitangaza kuwajengea Chadema jengo la makao yao...
  8. Jidu La Mabambasi

    JamiiForums Tanzania Waziri Mkuchika: Ukihisi umeonewa kwa kuwekwa ndani bila makosa fungua mashtaka

    Mzee George Huruma , Waziri wa Nchi , Ofisi ya Rais inayoshughulikia Uawala Bora kwa kweli umetufungua macho. Nimeona hii clip mahali. Kuna figisu figisu nyingi za kuchomeana na kubambikiwa kesi zinazoendelea nchini. Kuna maRC, maDC wanaona raha kumweka mtu ndani ili tu kujimwambafy. Kumbe...
  9. pantheraleo

    JamiiForums Tanzania Makonda awapa Ofisi CHADEMA. Awataka walipie pango la ofisi ya Makao Makuu kwani mwenye nyumba analalamika

    Habari wakuu, Ofisi ambayo CHADEMA Makao Makuu wamezawaidiwa Leo Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam, amewagawia nyumba ambayo ni Ofisi ya CCM Wilaya ya Kinondoni. Amesema ameamua kuwagawia CHADEMA kwa sababu Makao Makuu ya CHADEMA Wamepanga na hawalipi Kodi hivyo, Mwenye nyumba kila siku anashinda...
  10. A

    JamiiForums Tanzania Msaada: Anayejuwa zilipo ofisi za UMATI kwa Dar

    Habari zenu, Naombeni msaada anayejuwa zilipo ofisi za Chama Cha Uzazi na Malezi Bora (UMATI) ofisi kuu anipe maelekezo nafikaje hapo mie nipo Gongo la mboto,, Naombeni msaada nahitaji kufika kesho Asanteni
  11. Nigrastratatract nerve

    JamiiForums Tanzania CHADEMA kukutana Mlimani City ni matumizi mabaya ya Ruzuku ambazo ni kodi za watanzania ina maana hawana Ofisi mpaka wafanyie kikao Mlimani City?!!

    Huu ni muendelezo wa kutumia vibaya na kufuja Mali za umma kwa nini wakutane kwenye kumbi za gharama halafu eti ndo mnasema mtashika dolla labda dollars ya Marekani matumizi ya hovyohovyo ya Mali za umma utakuta wamejiandikia mahela meeengi ukizingatia mkewe ndiye mtunza hazina
  12. elivina shambuni

    JamiiForums Tanzania Tazama ofisi ya Mkuu wa Wilaya Kigamboni, "Hapa nimeridhika"

    Waziri wa Nchi OR-TAMISEMI Selemani Jafo amefika kwenye Ofisi Mpya ya Mkuu wa Wilaya Kigamboni ''Kwa hapa kigamboni nimeridhika na Ujenzi wa Jengo hili chini ya TBA, Sehemu zingine nilizopita sijaridhishwa sana na TBA, Songwe nimemuagiza Mkuu wa Mkoa avunje Mikataba na TBA ila hapa kigamboni...
  13. B

    JamiiForums Tanzania Ubadhilifu ndani ya hifadhi ya Ngorongoro

    Rais shikamoo. Hongera sana kwa kazi nzuri ya ujenzi wa Taifa hili changa. Kwa kweli ndani miaka mine umeonyesha mabadiliko makubwa sana katika nchi yetu. Mwenyezi Mungu aendelee kukupa afya njema ili utimizie ahadi zako zote ulizoplan kuzikamilisha. Pamoja na juhudi zako za dhati ila bado kuna...
  14. chiembe

    JamiiForums Tanzania Kwa kuwa walioshinda bila kupingwa Serikali za Mitaa wanajulikana katika ofisi za CCM tu, wananchi hawawajui, wapite kila nyumba kujitambulisha

    Mamilioni ya wananchi hawawajui hawa walioshinda bila kupigiwa kura, wanafahamika kwa viongozi wa CCM tu. Nadhani ni busara walazimishwe kupita kila nyumba kusalimia na kujitambulisha.
  15. Mwanahabari Huru

    JamiiForums Tanzania CCM yeteka kwa mabavu ofisi za CHADEMA Rombo

    Hii ndio hali ya utawala wa shari, mabavu na wenye kukusudia kuchafua amani ya Tanzania tulivu hata kama ina umasikini na ujinga ila utulivu ulikua kiunganishi kwetu. Lakini cha ajabu umasikini hawajaondoa, ujinga hawajauondoa, wanapamnana kuiondoa CHADEMA kwa shari, kwa vita kwa fujo na ikibidi...
  16. G

    JamiiForums Tanzania Uchafu wa Dk Kebwe kutumia ofisi ya umma kufanya biashara

    Haya yamesemwa na Rais Magufuli akiwa Dumila njiani kuelekea Dodoma leo tarehe 20 Nov 2019. Aliyekuwa Mkuu wa mkoa wa Morogoro aliyetumbuliwa Dk Kebwe alitumia nafasi yake kupata zabuni za miradi mbalimbali mkoani kwake ikiwa ni pamoja na kupata tender ya ku-supply mbao mbovu. Huyu mtu ni mchafu...
  17. J

    JamiiForums Tanzania Serikali inastahili pongezi kwa kufanikisha ujenzi wa jengo la kisasa la ofisi za makao makuu ya BAKWATA

    Wakati akitolea ufafanuzi wa miradi mbalimbali iliyotekelezwa na serikali ya CCM ndani ya miaka minne RC Makonda amelielezea pia jengo la makao makuu ya Bakwata. Mh Makonda amelielezea jinsi jengo hilo litakavyokuwa la kisasa kabisa na namna alivyopendekeza ofisi ya mufti iweje. Kwa...
  18. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Maxence Melo atinga ofisi za IMF Washington DC

    Taarifa zinaonyesha kwamba amekutana na Mkurugenzi wa IMF Kristalina Giorgieva , ambapo mazungumzo yao yalijikita katika kuwasaidia vijana wa Kitanzania ili kuangalia uwezekano wa kuboresha mazingira ya kufanya biashara . Kwa niaba ya Wafanyabiashara vijana wa kimataifa naipongeza sana hatua...
  19. Mavipunda

    JamiiForums Tanzania Hili tatizo la RUSHWA kwenye ofisi za NIDA wahusika wanajua?

    Kuna kudaiwa rushwa kulikovuka mipaka katika hili zoezi la vitambulisho vya taifa, Hali imekuwa mbaya zaidi baada ya vitambulisho hivyo kutumika kusajili simu ambapo mwisho ni Desemba mwaka huu. Yalinikuta binafsi ila nikaamua niachane na kitambulisho na line nimesajili kwa kitambulisho cha...
  20. moshi norbert

    JamiiForums Tanzania Najaribu kubuni biashara ya kusupply matunda ofisini wakati wa lunch

    Naombeni kufahamu kwa wale wote wanaofanya kazi katika ofisi mbalimbali hasa katika makampuni, kwa plan kama yangu utaratibu unakuaje ili niweze kuwa nawaletea matunda ofisini kwenu?
Back
Top Bottom