MATUMIZI MABOVU YA OFISI NDANI YA HFADHI YA NGORONGORO
Mheshimiw Rais shikamoo. Napenda kukupa pole wewe na serikali yako yote kwa ujumla kwa majukumu mazito ya ujenzi wa Taifa letu. Mwenyezi Mungu aendelee kuwapa nguvu na hekima ili tuweze kufikia malengo tuliyojiwekea kama Taifa
Watanzania wenzangu wakati Serikali ikiendelea kupambana kuhahikiksha kila mwananchi anafaidika na keki ya Taifa ila bado wapo watanzania wachache waliopewa nafasi mbalimbali za kiutumishi kuendelea kuishi maisha ya ajabu na kujiona wao hakuna wa kuwagusa na kusahau kwamba Serikali ina macho kila sehemu ya nchi hii. Hifadhi ya Ngorongoro pamoja na kufanya vizuri kwa baadhi ya watendaji ila bado wengine ambao hawaelewi na wanafanya makusudi kwa kujitamba kwamba hakuna wa kuwagusa.
Mheshimiwa Kigwangalla nakuomba kwa nafasi yako kama Waziri uunde tume ya kubaini chanzo cha kifo cha askari marehemu Mussa laizer ili kuhakikisha hali hii haitoendelea kujitokeza na kupoteza maisha ya watanzania wenye moyo wa kulitumikia Taifa lao.
Mwisho kabisa naendelea kuwaasa wafanyakazi wa hifadhi hii mjitahidi kuishi kwa kufuata sheria na taratibu na wenye nafasi za uongozi msibague wasaidizi wenu endeleeni kudumisha mshikamano kama anayoishi Dr Manongi. Mkifanya mambo yaliyo kinyume na utaratibu mtaendelea kuanikwa hadharani ili watanzania wajue mwenendo mzima wa shirika. Kazi ya umma haihitaji nyodo maana muda na saa yeyote unaweza kutoka ulipo na kupelekwa sehemu yeyote ya nchi.
Wabheja sana
BITALA
Mheshimiw Rais shikamoo. Napenda kukupa pole wewe na serikali yako yote kwa ujumla kwa majukumu mazito ya ujenzi wa Taifa letu. Mwenyezi Mungu aendelee kuwapa nguvu na hekima ili tuweze kufikia malengo tuliyojiwekea kama Taifa
Watanzania wenzangu wakati Serikali ikiendelea kupambana kuhahikiksha kila mwananchi anafaidika na keki ya Taifa ila bado wapo watanzania wachache waliopewa nafasi mbalimbali za kiutumishi kuendelea kuishi maisha ya ajabu na kujiona wao hakuna wa kuwagusa na kusahau kwamba Serikali ina macho kila sehemu ya nchi hii. Hifadhi ya Ngorongoro pamoja na kufanya vizuri kwa baadhi ya watendaji ila bado wengine ambao hawaelewi na wanafanya makusudi kwa kujitamba kwamba hakuna wa kuwagusa.
- UDHAIFU WA IDARA YA UTUMISHI
- UZEMBE MAFUNZO YA JESHI USU KITUO CHA MBULULBULU
Mheshimiwa Kigwangalla nakuomba kwa nafasi yako kama Waziri uunde tume ya kubaini chanzo cha kifo cha askari marehemu Mussa laizer ili kuhakikisha hali hii haitoendelea kujitokeza na kupoteza maisha ya watanzania wenye moyo wa kulitumikia Taifa lao.
Mwisho kabisa naendelea kuwaasa wafanyakazi wa hifadhi hii mjitahidi kuishi kwa kufuata sheria na taratibu na wenye nafasi za uongozi msibague wasaidizi wenu endeleeni kudumisha mshikamano kama anayoishi Dr Manongi. Mkifanya mambo yaliyo kinyume na utaratibu mtaendelea kuanikwa hadharani ili watanzania wajue mwenendo mzima wa shirika. Kazi ya umma haihitaji nyodo maana muda na saa yeyote unaweza kutoka ulipo na kupelekwa sehemu yeyote ya nchi.
Wabheja sana
BITALA