johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,965
- 141,971
Msajili wa vyama vya siasa ambaye kwa sasa anafanya uhakiki wa vyama vyote vya siasa nchini amekuta mapungufu kwa baadhi ya vyama vya siasa Zanzibar.
Msajili amesema baadhi ya vyama hali zao zinatisha na kimojawapo ofisi yake ipo sebuleni kwa mtu ambapo familia ya mtu huyo inatumia pia sebule hiyo na chama kingine kinamiliki kiti na meza pekee.
Msajili amevitaja vyama vyenye mapungufu hayo kuwa ni Nccr mageuzi na Chauma na kwamba ACT wazalendo wamepungukiwa nyaraka kadhaa.
Source: ITV!
Msajili amesema baadhi ya vyama hali zao zinatisha na kimojawapo ofisi yake ipo sebuleni kwa mtu ambapo familia ya mtu huyo inatumia pia sebule hiyo na chama kingine kinamiliki kiti na meza pekee.
Msajili amevitaja vyama vyenye mapungufu hayo kuwa ni Nccr mageuzi na Chauma na kwamba ACT wazalendo wamepungukiwa nyaraka kadhaa.
Source: ITV!