Tila-lila2
JF-Expert Member
- Oct 20, 2019
- 653
- 1,058
Kwa kinyongo cha Serikali hii hadi kuvitishia na ama kuvizuia Vyombo vya Habari kutangaza habari za za Tundu Lissu inabidi CHADEMA wabadili upepo wao wakati wa kampeni.
Helkopta itumike kidogo - lakini basi la Nyalandu na gari ndogo zinazoweza kupenya vijijini kwenda nyumba kwa nyumba ndiyo zifanye kazi.
Itakuwa furaha sana siku Tundu Lissu akifika hapa Idukilo. Kwa kweli aje tu ajaribu hata dakika 20 tu atapata kura kama zote!
Waache watumie maTV yao sisi Tundu Lissu tufikie live. Jaribu kufika hata makao makuu ya tarafa tu - utaona matokeo yake!
Tchao!
Helkopta itumike kidogo - lakini basi la Nyalandu na gari ndogo zinazoweza kupenya vijijini kwenda nyumba kwa nyumba ndiyo zifanye kazi.
Itakuwa furaha sana siku Tundu Lissu akifika hapa Idukilo. Kwa kweli aje tu ajaribu hata dakika 20 tu atapata kura kama zote!
Waache watumie maTV yao sisi Tundu Lissu tufikie live. Jaribu kufika hata makao makuu ya tarafa tu - utaona matokeo yake!
Tchao!