kamikaze
JF-Expert Member
- Jan 25, 2011
- 422
- 610
Wana jamvi,
Naomba kuuliza kama kuna mtu amenunua nyuma zinazonyengwa na TBA na kuuzwa, je ni imara?
Zina value for money, maana kuna nyumba za vyumba vitatu nimeoneshwa picha hizi zimeezwekwa tu, milango wala
madirisha hayajawekwa ukiinunua unaimalizia mwenyewe bei ni milioni 58.
Naomba nipate ufahamu zaidi kwa mtu aliyenunua, au ambaye ana ufahamu zaidi kwenye hili, naona website yao haina details za kutosha,
Asante.
Naomba kuuliza kama kuna mtu amenunua nyuma zinazonyengwa na TBA na kuuzwa, je ni imara?
Zina value for money, maana kuna nyumba za vyumba vitatu nimeoneshwa picha hizi zimeezwekwa tu, milango wala
madirisha hayajawekwa ukiinunua unaimalizia mwenyewe bei ni milioni 58.
Naomba nipate ufahamu zaidi kwa mtu aliyenunua, au ambaye ana ufahamu zaidi kwenye hili, naona website yao haina details za kutosha,
Asante.