Wanakuja mzee baba.Wadau, natafuta fundi mzuri sana wa kiwango kwa ajili ya kupiga plasta. Site iko Kigamboni, Dar es Salaam. Please, weka namba hapa
Asanteni.
Hapo kwenye neno kama upo serious, sasa mtu mpaka kaanzisha uzi unamwambia kama upo serious, wewe ndiyo haupo seriousnitafute pm kama uko serious na kazi yako fundi yupo.
Sent from my SM-G9250 using JamiiForums mobile app
mkuu sisi ni wajenzi kuna mtu anaweza kuanzisha uzi kwa lengo la kujua tu gharama za ujenzi ili ajipange, mwingine ni dalali tu nk, ndio maana nikatumia neno kama yupo serious sio kwa ubaya.Hapo kwenye neno kama upo serious, sasa mtu mpaka kaanzisha uzi unamwambia kama upo serious, wewe ndiyo haupo serious
0655173113 nipigieWadau, natafuta fundi mzuri sana wa kiwango kwa ajili ya kupiga plasta. Site iko Kigamboni, Dar es Salaam. Please, weka namba hapa
Asanteni.
Nimekuelewa boss wangu na hujakosea kuuliza bila shaka, sema pia yeye hapa ni kama anatangaza tender tu, wengi mtajitokeza yeye kazi yake kubwa ni kufanya evaluation yupi atamfaa,mkuu sisi ni wajenzi kuna mtu anaweza kuanzisha uzi kwa lengo la kujua tu gharama za ujenzi ili ajipange, mwingine ni dalali tu nk, ndio maana nikatumia neno kama yupo serious sio kwa ubaya.
Ni kama mtu anaingia kwenye duka la nguo kuuliza tu na muuzaji anaweza kumwambia kama unanunua tufanye biashara basi nitakuuzia bei hii au ile. hope umeelewa boss.
Sent from my SM-G9250 using JamiiForums mobile app
Huyu ni fundi mzuri0655173113 nipigie