Habari wakuu,
Nyumba inauzwa , mahali ilipo ni ni miembe saba, Kibaha mjini , ni nyuma ya tatu toka sheli ya panone , opposite kiwanda cha kusindika chakula cha kuku na binadamu cha Energy.
Sifa zake:
1. Eneo kubwa la uwanja limebaki kiasi cha miguu 20 kwa 70
2.Kuna vyumba vinne vyote vikiwa...