Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 12,417
- 30,927
Naomba msaada wa mawazo,
kaburi la baba yangu mdogo lilikaa muda mrefu bila kusafishwa.
Hakuzwikwa makaburini ila kwenye kiwanja cha familia.
Alifariki 1982/3. Eneo lile mji uliposogea ndugu wakapauza.
My father passed away watoto wa marehemu wapo ila hawajasoma hivyo hawajui waanzie wapi.
Mahali lilipo Kaburi imejengwa nyumba na ni chumbani kwa mwenye nyumba.
Nataka nianzishe mtiti maana wamegoma kuniuzia nyumba sasa mifupa ya marehemu naitaka!
kaburi la baba yangu mdogo lilikaa muda mrefu bila kusafishwa.
Hakuzwikwa makaburini ila kwenye kiwanja cha familia.
Alifariki 1982/3. Eneo lile mji uliposogea ndugu wakapauza.
My father passed away watoto wa marehemu wapo ila hawajasoma hivyo hawajui waanzie wapi.
Mahali lilipo Kaburi imejengwa nyumba na ni chumbani kwa mwenye nyumba.
Nataka nianzishe mtiti maana wamegoma kuniuzia nyumba sasa mifupa ya marehemu naitaka!