DITOPILE WAPILI
JF-Expert Member
- Oct 19, 2015
- 376
- 256
Habari zenu wadau:-
Kuna nyumba ya jamaa wangu, imeteketea kwa moto kutokana na hitilafu ya umeme, kutokana na ajali hiyo, nyumba na vitu vyote vimeteketea.
Je naweza kuanzisha kesi ya madai?
Naomba muongozo jinsi ya kuanzisha kesi ya madai kwa TANESCO.
Kuna nyumba ya jamaa wangu, imeteketea kwa moto kutokana na hitilafu ya umeme, kutokana na ajali hiyo, nyumba na vitu vyote vimeteketea.
Je naweza kuanzisha kesi ya madai?
Naomba muongozo jinsi ya kuanzisha kesi ya madai kwa TANESCO.