Ni swali gumu sana kwa kipindi hiki kupata majibu.
Wakati wa Mwalimu Ccm ilikuwa ni chama ya watu. Wapenda binadamu wenzao. Wenye uchungu na taifa lao.
Hawakubagua watanzania kwa elimu, ukabila au umaarufu.
Ccm ya mwalimu ilikuwa makini maana ilijua wazi kiongozi ni mtu mwenye madaraka katika...