Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,980
Mjukuu anayeambatana na Mama wa Taifa kwenda kutoa pole kwa Mama Janeth Magufulu yamkini ni mjukuu mwenye malezi na makuzi Kama ya mama wa Taifa.
Namzungumzia Bhoke Nyerere aliyeambatana na Mama Maria Nyerere kwenda kwenye familia ya Mama Janeth Magufuli kumkabidhi zawaidi ya kitenge lakini pia kuamsha tabasamu lililozimika miezi kadhaa sasa la Mama yetu Janeth tangu aondokewe na Mumewe.
Tunajadili utumishi wa Mwalimu kwa Taifa letu tumekuwa tukimtafuta mwanafamilia yeyote anayeweza kwa asilimia ndogo kuvaa viatu vya Mzee huyu lakini hatukuweza kumpata kupata kwa watoto wake, je tukimuliza wajukuu wake tunaweza kuibuka na kipaji?
Tunaomfahamu Bhoke Nyerere tupeni taarifa zake na kwanini awe karibu na Bibi badala yakuwa karibu na majukumu yake kama walivyo wajukuu wengine?
Namzungumzia Bhoke Nyerere aliyeambatana na Mama Maria Nyerere kwenda kwenye familia ya Mama Janeth Magufuli kumkabidhi zawaidi ya kitenge lakini pia kuamsha tabasamu lililozimika miezi kadhaa sasa la Mama yetu Janeth tangu aondokewe na Mumewe.
Tunajadili utumishi wa Mwalimu kwa Taifa letu tumekuwa tukimtafuta mwanafamilia yeyote anayeweza kwa asilimia ndogo kuvaa viatu vya Mzee huyu lakini hatukuweza kumpata kupata kwa watoto wake, je tukimuliza wajukuu wake tunaweza kuibuka na kipaji?
Tunaomfahamu Bhoke Nyerere tupeni taarifa zake na kwanini awe karibu na Bibi badala yakuwa karibu na majukumu yake kama walivyo wajukuu wengine?