nyama

Nyoma is a village and headquarter of eponymous Subdivision and block in the Leh district of Ladakh in India. It is located in the Leh tehsil, on the bank of Indus River.
A small Buddhist monastery ("gompa") is located on the hill at the back of the village. Since 2010, foreign tourists with Inner Line Permits are permitted to visit Nyoma and its monastery.
Nyoma is also home to an Advanced Landing Ground of Indian Airforce, which was reactivated when an An-32 landed in this airfield on 18 September 2009.Nearby towns are Mahe and Rupshu, the town lies in the Leh - Loma - Hanle road. Nyoma is located 41 km southeast of Chumathang. It is 23 km (14 miles) from Mahe village and roughly the same distance from the Chinese border.

View More On Wikipedia.org
  1. Mwachiluwi

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya kupika Nyama ya kuoka na jiko na mkaa

    Hellow mmesema nimetelekeza jukwaa haya twendee sasa na hii Andaa nyama yako na kata vipande vipande size unayotaka kata na kitunguu pia tangawizi na kitunguu swaum mimi sipendi kitunguu swaum kisha weka kwenye foil Baada ya hapo ifunge vzr kabisa zungua foil ya kutosha kisha weka jikoni...
  2. Dogoli kinyamkela

    JamiiForums Tanzania Imagine naenda Coco Beach nawaambia wanifungie Mihogo na Mishkaki,Mnanibabatiza na Mihogo Michelema na nyama mnaweka nyingine pingili moja?

    Imagine naenda Coco Beach nawaambia wanifungie Mihogo na Mishkaki,Mnanibabatiza na Mihogo Michelema na nyama mnaweka nyingine pingili moja? Kweli Dogoli wa kufanywa Fala kwenye Jiji langu niliozaliwa tena Osterbay???😭😭😭😭😭 Bro ulioniuzia njoo DM kabla ya Kumtuma Jini langu Subiani Bin Sina Sudi...
  3. The ice breaker

    JamiiForums Tanzania Natafuta nyama ya porini

    Kwa hapa Dar, wapi naweza kupata nyama ya porini... Natamani kula nyama ya porini this weekend, kama nitapata nyama ya Swala au Kiboko, itakuwa safi sana. Ma butcher yapo wapi kwa dar ?
  4. ngara23

    JamiiForums Tanzania Ni hatari kiroho kula nyama zilizogawiwa siku ya Eid El adhaa

    Hapa majuzi ilikuwa siku ya Eid El Adhaa almaarufu kama Eid ya kuchinja Hii siku maalum ya kuchinja ni siku ya kishetani, Kuchinja wanyama wengi hivi ni ibada chafu, tukio la kuchinja ni kumwaga damu na kunuia maneno ambayo walaji wa hizo nyama hawajui Kuchinja kiroho ni jambo gumu, na zito...
  5. kyagata

    JamiiForums Tanzania Hapa mbeya ugali nyama choma unaupata kuanzia saa 11 alfajiri.

    Aisee Leo nimeamka na hangover sio poa,mwenyeji wangu akaniambia usiwaze twende tukapige diko somewhere, nikamuuliza saa 11 ile msosi tunatoa wapi. Jamaa akaniambia Acha wenge nifuate,tukaingia huko uyole ndani ndani tukaibuka kwa jamaa anaitwa j4,tukakuta nyomi ya raia ya kutosha,tukapiga nguna...
  6. Fbn

    JamiiForums Tanzania Biashara nyingi za Tanzania ni zama za mawe. Natoa mfano wa mabucha ya nyama

    Wenzetu nchi kubwa kama unataka bucha za nyama za vibudu zipo. Kama unataka za dini zako zipo. Kama unataka za wahadizabe zipo yani wanyama pori. Hapa nacho sema bucha nyingi za tanzania zijataka kufanya biashara zipo kwa faida. Ni mabucha machache kuona kama unataka nyama fulani yani kama...
  7. JanguKamaJangu

    JamiiForums Tanzania Mchungaji aliyetekwa aeleza mateso na kwenda kutupwa porini ashindwa kutembea "Mengine tuyaache "

    Mchungaji wa Kanisa la Huduma ya Kristo lililopo Mtaa wa FFU, Kata ya Murieti, Steven Jacob Gumbo (35) ambaye iliripotiwa ametekwa na ‘Watu Wasiojulikana’ Mei 16, 2025 amezungumza na Wanahabri na kueleza kuwa Watu waliomchukua walijitambulisha kuwa ni Askari Polisi na wanamhitaji kwa ajili ya...
  8. Komeo Lachuma

    JamiiForums Tanzania Suala la CAS sisi Yanga tutakunywa Soup tu Nyama ya huyu Mnyama ni Kharamu

    Mi nadhani ni wakati sasa Yanga tususie Ligi nzima ikiwa ni kweli tunaona kuna uonevu katika hii Ligi ambayo inaongozwa na TFF na Board ya Ligi. Toka amekuwa Rais huyu jamaa Yanga hatujawahi fanikiwa katika Ligi. Miaka yote Simba wanapewa Ubingwa. Hata Makombe mengine wanabeba Simba tu. Tunaona...
  9. Mganguzi

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Walaji wa nyama ya ng'ombe kwa sasa tupo hatarini kufa, kupata kansa ya Koo, Kuvimba kongosho na Figo kupoteza uwezo wake !

    Ndugu zangu hili liwafikie maafisa mifugo kote nchini Yale masindano wanayotumia kuwachoma ng'ombe ni hatari sana kwa afya ya binadamu nimeshuhudia ng'ombe wanachomwa sindano mnadani saa chache kabla ya kwenda kuchinjwa ! Na pia zinachomwa shindano zinapokaribia kusafirishwa na mlaji anaipata...
  10. kyagata

    JamiiForums Tanzania Sijawahi kuona mzungu akitafuna mfupa wa nyama

    Wakuu Hivi wazungu huwa hawali nyama zenye mifupa kama sisi waafrica?
  11. B

    JamiiForums Tanzania KERO Arusha-Arumeru: Choo kinajengwa karibu na bucha la nyama

    Wakuu natoa kero yangu katika mkoa wa Arusha wilaya ya Arumeru kwenye soko la TENGERU Ni halimashauri wanajenga choo karibia na sehemu ya kuuzia nyama (BUTCHER) hivi kwel mamlaka hawakuona sehemu nyingne tofaut na sehemu ya butcher Tena sehemu ambayo biashara ya mnada hufanyika. Wahusika...
  12. Mwachiluwi

    JamiiForums Tanzania Tupike biriani ya nyama ya ngo’mbe

    Hello mliomba nipike biriani hili hapa saa sita tu lishaiva linasubiri walaji mje Kwanza niliandaa mchele kisha nikauloweka kwa mda wakati nyama inaiva mchele huu ni ule wa basmati baada ya hapo nikauchemsha ule mchele baada ya mda nikaanza kupika kwa kuunganga niliweka mafuta kisha nikaweka...
  13. S

    JamiiForums Tanzania Biashara ya dagaa nyama

    Natafuta watu mbalimbali wa kufanya nao bishara wa dagaa nyama .mimi nipo kilwa nazalisha dagaa nyama nimeanza mda kidogo lakini sina wateja wa kutosha natamani nipate mtu kwa baadhi ya sehemu nice nawapelekea mzigo sehemu kama dar es salaam. Kibaha morogoro dodoma chalinze na kwengine
  14. Mwachiluwi

    JamiiForums Tanzania Tupike nyama pori mzuri kwa ugali

    Hellow wapendwa poleni na kazi leo tunapika nyama pori mzuri kwa ugali Kwanza chemsha hii yangu sio ngumu kuiva ata mvuke peke yake unaivisha wakati nyama iko jikoni niliandaa viungo vyangu kama unavyo viona hapo chini vzr vitunguu maji viwe vingi sana kuna watu wanatumia kitunguu kimoja kwa...
  15. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Kinachotisha ni nyama na damu sio mifupa

    Nadhani si mara moja au mbili umepata kuona onyo la picha au picha mjengeo kwamba zinatisha.. Tulisoma na kijana mmoja aliyenusurika mauaji ya kimbari Rwanda mwaka 1994.. Alikuwa amepata trauma ya kuweweseka kila wakati... Simulizi yake inatisha sana Kipindi kile cha mauaji alishuhudia watoto...
  16. mcTobby

    JamiiForums Tanzania Mfahamu Armin Meiwes aliyetengeneza last supper na nyama ya mtu.

    Huyu armin meiwes alikuwa mtu mkimya asiyekuwa na mambo mengi na hata majirani zake ndivyo walivyokuwa wakimuona. Yaani mtu asiyekuwa na makuu na mtu . Lakini kwenye ulimwengu wa Internet hakuwa hivyo kama majirani zake walivyomwona . Alikuwa kiumbe cha kuogofya sana akitumia jina au ID ya "...
  17. The Dictator

    JamiiForums Tanzania “Usile nyama siku ya IJUMAA KUU”. Je, ni nyama aina gani ruksa kuila siku hii?

    Ijumaa Kuu; (ambayo ni sehemu ya Wiki Takatifu kwa Wakristo, hasa Wakatoliki), waumini wengi hufuata utaratibu wa kikanisa kama kufunga na kujinyima, ikiwa ni pamoja na kutokula nyama ya wanyama wa nchi kavu kama vile: Ng'ombe Kuku Mbuzi Kondoo Nguruwe Nyama inayo ruhusiwa siku ya Ijumaa...
  18. Technophilic Pool

    JamiiForums Tanzania Nataka kujua Viwanda vya nyama ya mbuzi vinavyopatikana kanda ya ziwa

    Wenye uelewa na hili swala Nina mbuzi wangu 80
  19. M

    JamiiForums Tanzania Wapalestine wanavyolufa maelfu elfu, ukiwaambia leo eti kuna Mungu gani, watakukula nyama!

    Ifike pahala,eitha tukubaliane kwamba, Mungu huyo kaishiwa upendo kwa watu wake na ama hana nguvu na au huyupo kabisa ila majina yake tu Mauwaji yanayotokea huko Gaza, ni rahisi kuamini hilo, hasa kwa Wapalestine wenyewe! Ni rahisi kuwa na maswali mengi moyoni kumhusu huyo mungu Je, haoni...
  20. musicarlito

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Makonda anapata wapi pesa za matamasha na shughuli kama za kulisha watu wote wa Arusha Nyama Choma?

    Wasalaam Bila shaka kama kusingekuwa na makandokando yanayosemwa au kutuhumiwa,pamoja na kauli yetu ya kukiri udhaifu.."binadamu hajakamilika"...lakini basi lau tukachukua katika mizania mtu kama mhe.Antony Mtaka angekuwa anafanya kazi hizi za Makonda...basi Mhe.Paul Makonda ni kiongozi bora...
Back
Top Bottom