Kama taifa, yafaa kumshukuru Mungu kwa kutuonesha vibaraka wa mabwenyenye ya magharibi mchana kweupe tena kwa macho ya nyama kabisa

Kama taifa, yafaa kumshukuru Mungu kwa kutuonesha vibaraka wa mabwenyenye ya magharibi mchana kweupe tena kwa macho ya nyama kabisa

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
42,563
Reaction score
35,263
Wengi hawakuamini masuala ya uwepo wa vibaraka wa mabwenyenye ya magharibi, na mamluki wao, waliojificha ndani ya miongoni mwa vyama vya siasa nchini, wakiwa na nia na dhamira ovu dhidi ya taifa letu.

Lakini sasa ni wazi maadui wa taifa letu,
wamejidhirisha wenyewe mbele ya waTanzania na dunia nzima. Huenda ni athari za kufuata mkumbo zimewatia joto na kushindwa kuvumilia vishindo vyake, na hatimae wasiweze kuendelea kujificha nyuma ya pazia la kisiasa na demokrasia nchini, kumbe wana dhamira ovu walizotumwa na wanaowafadhili wao kuzifanya Tanzania.

Chama Cha siasa kinachowapa hifadhi waovu na maadui wa taifa letu, nacho pia kimejulikana na uovu wake unaonekana. Tunayo kazi moja tu kama taifa. Nayo ni kukikataa chama hicho na kuwakataa wale wote watakaofadhiliwa na chama hicho kugombea nafasi mbalimbali za kisiasa nchini.
Hawana nia njema na taifa letu. Wanataka kuiuza nchi yetu na uhuru wetu kwa mabwenyenye ya magharibi. Tusikubali kufuru hiyo kama taifa.

Nadhani sasa, kazi ya kuwakataa ni nyepesi, itakua rahisi zaidi, hususani kwenye sanduku la kura kwenye chaguzi zijazo. Na hii kwa wazalendo wa Tanzania, inaashiria wazi kabisa kwamba, come 2030 general elections, 100% win is possible.

we beat them nationally, and we finally beaten them internationally.🐒

Mungu Ibariki Tanzania.
 
Kibaraka wa Putin, kama namuona chawa wake hivi... yupo so active. "VIBARAKA"... Haahahaa!~ yaani tubaraka flani hivi na sio baraka OG... Interesting.
gentleman,
ni lazima kumshukuru Maulana,
Imekua muhimu mno kuwatambua na kuthibitisha dhamira zao ovu.

Zoezi la kuwakataa vibaraka hao waovu wa mabwenyenye ya magharibi litakua rahisi mno 2030.
Tafadhali, tulifanye kizalendo kwa uhuru, uwazi na haki kwa maslahi mapana ya waTanzania wote 🐒
 
Wengi hawakuamini masuala ya uwepo wa vibaraka wa mabwenyenye ya magharibi, na mamluki wao, waliojificha ndani ya miongoni mwa vyama vya siasa nchini, wakiwa na nia na dhamira ovu dhidi ya taifa letu.

Lakini sasa ni wazi maadui wa taifa letu,
wamejidhirisha wenyewe mbele ya waTanzania na dunia nzima. Huenda ni athari za kufuata mkumbo zimewatia joto na kushindwa kuvumilia vishindo vyake, na hatimae wasiweze kuendelea kujificha nyuma ya pazia la kisiasa na demokrasia nchini, kumbe wana dhamira ovu walizotumwa na wanaowafadhili wao kuzifanya Tanzania.

Chama Cha siasa kinachowapa hifadhi waovu na maadui wa taifa letu, nacho pia kimejulikana na uovu wake unaonekana. Tunayo kazi moja tu kama taifa. Nayo ni kukikataa chama hicho na kuwakataa wale wote watakaofadhiliwa na chama hicho kugombea nafasi mbalimbali za kisiasa nchini.
Hawana nia njema na taifa letu. Wanataka kuiuza nchi yetu na uhuru wetu kwa mabwenyenye ya magharibi. Tusikubali kufuru hiyo kama taifa.

Nadhani sasa, kazi ya kuwakataa ni nyepesi, itakua rahisi zaidi, hususani kwenye sanduku la kura kwenye chaguzi zijazo. Na hii kwa wazalendo wa Tanzania, inaashiria wazi kabisa kwamba, come 2030 general elections, 100% win is possible.

we beat them nationally, and we finally beaten them internationally.🐒

Mungu Ibariki Tanzania.
Baada ya kunyimwa mikopo sasa wamekuwa mabwanyenye, vipi kama wangeendelea kumwaga mikopo bado wangekuwa mabwanyenye?je pia huja sema mabwanyenye hao ni wakiarabu ,Amerik ama Asia?.Ila hata iwapo ni bwamyenye za kibongo tuambiw tu?
 
😅😅😅 who are you?
I think it's very necessary to thank God on showing us the real enemies of our beautiful nation.

that's the most important thing than anything on earth currently 🐒
 
Baada ya kunyimwa mikopo sasa wamekuwa mabwanyenye, vipi kama wangeendelea kumwaga mikopo bado wangekuwa mabwanyenye?je pie huja sema mabwanyenye hao ni wakiarabuAmerik ama Asia?.Hila hata iwapo ni bwamyenye za kibongo tuambiw tu?
Gentleman,
ile ya muhimu na ya maana zaidi, ni hili la Mungu kutuonyesha vibaraka wa mabwenyenye ya magharibi ambao haswa ndio madalali wa kuliuza taifa letu.

Kama taifa,
tunayo kazi moja tu, nayo ni kuwakataa kwa uhuru, haki na uwazi 2030, full stop 🐒
 
Et unashukuru Mungu kuonesha maadui wa kweli serious mzee?



That has no importance at all
If thanking God is not necessary to you individually, that's okay.

But as a nation,
we have that responsibility because God has helped us all, to discover and show us physically, the real anemies of our beautiful and united Nation.

And we must do that tirelessly 🐒
 
Gentleman Badilika Vinginevyo Utateseka Sana Sana, Maji Utaita Mmaa
Gentleman,
unapenda sana ushirikinaee?

hapa tunajadili mambo mazito, ya msingi na ya kitaifa ni muhimu sana kujikita kwenye hoja mahususi na itapendeza zaidi. 🐒
 
If thanking God is not necessary to you individually, that's okay.
God deserves to be thanked only in the right way
But as a nation,
we have that responsibility because God has helped us all, to discover and show us physically, the real anemies of our beautiful and united Nation.

And we must do that tirelessly 🐒
Hii keki mnakula peke yenu halafu mnataka tuwasaidie kusifu na kuabudu
Tukatieni na sisi tule tunufaike sote

Watu wanaolalamika
hawalalamiki bure hua wana hoja
Lakini kama wewe ni mnufaika huwezi kuelewa
 
God deserves to be thanked only in the right way

Hii keki mnakula peke yenu halafu mnataka tuwasaidie kusifu na kuabudu
Tukatieni na sisi tule tunufaike sote

Watu wanaolalamika
hawalalamiki bure hua wana hoja
Lakini kama wewe ni mnufaika huwezi kuelewa
so,
we are not right for thanking God after showing us the real enemies of our beautiful nation, right?

Or you have intentionally refuse to see them exposing themselves worldwide to their godfatherz, right?

Ndugu mdau,
Keki ya taifa ya taifa ni kwa manufaa ya waTanzania wote. Hivi hujui kwamba Sgr ni keki ya taifa letu wote?
Hujui kua mtandao wa barabarani za lami nchi nzima ndio keki yenyewe ya taifa letu na kila mTanzania anainjoy,

ndugu mdau,
hivi hujui kua huduma bora za afya, maji, elimu, umeme n.k ndio keki yenyewe ya taifa na kila mTanzania anainjoy?

au wewe hapo unavyotumia smooth internet kwa uhuru na gharama nafuu sana, kujadiliana JF, hujui kwamba nawe hapo una enjoy keki ya taifa?🐒
 
so,
we are not right for thanking God after showing us the real enemies of our beautiful nation, right?

Or you have intentionally refuse to see them exposing worldwide to their godfatherz, right?
It seems you don't understand what I'm trying to say
Ndugu mdau,
Keki ya taifa ya taifa ni kwa manufaa ya waTanzania wote. Hivi hujui kwamba Sgr ni keki ya taifa letu wote?
Hujui kua mtandao wa barabarani za lami ndio keki yenyewe ya taifa letu na kila mTanzania anainjoy,

ndugu mdau,
hivi hujui kua huduma bora za afya, maji, elimu, umeme n.k ndio keki yenyewe sasa ya taifa na kila mTanzania anainjoy?

au wewe hapo unavyotumia smooth internet kwa uhuru na gharama nafuu sana, kujadiliana JF, hujui kwamba nawe hapo una enjoy keki ya taifa?🐒
Wewe ngoja nikuache huu mdahalo unaufanya kua mgumu na wakati ni mwepesi

Tufanye hivyo vyote ulivyotaja ndio keki ya taifa so unadhani vinatosha kwamba watu hatuitaji extra

Mfano barabara za Dar es salaam nyingi ni mbovu mnooo mashimo kila sehemu
Kuna zinazojengwa myaka nenda rudi haziishi vumbi tupu bora hata kipindi cha jiwe

Hospital hakuna usawa nasikia zenji wajawazito kujifungua ni bure huku bara matozo kila sehemu

Hiyo Internet unayosema ni ipi Tanzania ni miongoni mwa nchii zenye bei kubwa kwa bundle kumbuka ni juzi tu JF imetolewa kifungoni

Mambo ni mengi ya hovyo watu wakisema wanaonekana hawapendi taifa
Ila wanaopenda taifa ni wale wanaosukuma ndinga kalii kwa kodi za masikini
 
In fact,
ilikua ni suala la muda kuwatambua na kujua dhamira zao ovu.

sasa ni wazi tuna kila sababu ya kumshukuru Maulana kuturahisishia zoezi la kuwakataa vibaraka hao waovu 2030 kwa uwazi, uhuru na haki 🐒
Simai nae Yumo!
 
Back
Top Bottom