stabilityman
JF-Expert Member
- Jul 9, 2024
- 812
- 1,753
mshikaki 100 hivi hawa wananunua nyama kilo sh ngapi?
jaman hii dsm hii mtiani
jaman hii dsm hii mtiani
Wanafuga wenyewe,hawanunui kwa majirani.mshikaki 100 hivi hawa wananunua nyama kilo sh ngapi?
jaman hii dsm hii mtiani
Una uhakika ni nyama ya ngombe hiyo?.mshikaki 100 hivi hawa wananunua nyama kilo sh ngapi?
jaman hii dsm hii mtiani
Bro. Naona kabisa Ushakula paka .Mbona hvy vya mia hua n vidogo mno vinaishia kwenye meno tuu, labda ununue kuanzia vya buku ndo kiu itakata.
Kwa size ile bado wanapata faida huko wanaponunua mana n vidogo mno
Anyway, pilipili/kachumbari yao inakuaga tamu knoma na hy ndo sababu yangu ya kununua 🔥
Cha msingi ni kwamba mpaka sasa cjaona madhara yoyote, hvy hao paka wanakuwa Watamu sana nashauri waanze na kuuza nyama za watu mana wajinga wajinga wapo wengi unaweza kupata nyama zao 🔥Bro. Naona kabisa Ushakula paka .
Kuna siku niliona pale Tandale Mishkaki mia 2. Tena ni mikubwa tu.
Nikashangaa sana.
Ila sikuthubutu kuonja. 😊😊😊😊
Sasa mzee kwa style hiyo utahoji vitu vingap, kwahy hizo hizo nyama mngeuziwa buku msingehoji?Vipi hapo hakuna nyama za mbwa na kunguru? Watu watakula bila kuhoji
Nyama za mtaani na mambo ya uongozi yanaingiliana vp?Vitu hatuangalii vimetoka wapi
Ukiwa na laana na kiongozi
Tambua watu wanaweza kulishwa maiti za watu kibufee na hakuna wa kupinga
Ndio maana uongozi ni laana
Kuna malalamiko yoyote uliyasikia kutoka hizo sehemu?Epuka tamaa ya tumbo ya kula kula hovyo mjini daslamu. Mitaa flani wanauza samosa/sambusa 200/= imejaa nyama. 😊
Kuna chimbo, Buguruni hapo pana uzwa supu funyango mbili na chapati moja, buku tuu.
Kuna malalamiko yoyote uliyasikia kutoka hizo sehemu?
Wauzaji wanakosa wateja?