n.k

  1. P

    Hivi mtu hujaulizwa, hujasemeshwa, unapewa nafasi ya kusema machache kwenye hafla, halafu unaanza tu kujitetea mara hooh Mimi mbona mwema tu n.k...

    Nawauliza wanasaikolojia kwamba, Mtu yupo kwenye hafula Fulani hivi, anakaribishwa kusema machache, badala ya kuongelea mambo yanayohusu hafula hiyo, mtu anaanza kujitetea kusema, watu wanavumisha eti huyu simpendi, sjui hivi sijui vile Huyu mbona ni Rafiki yangu, tumetoka mbali, mbona Sisi...
  2. TheDreamer Thebeliever

    Uzi maalum jinsi ya kupata kazi miradi mikubwa kama Bwawa la Nyerere, Bomba la mafuta, Standard Gauge n.k

    Habari zenu wanabodi! Hebu tujadili leo jinsi gani unaweza ukapata kazi kwenye miradi mikubwa niliyoitaja hapo juu na mengineyo. Kwanza tumuombe Mungu aujalie uzi huu uwe na wachangiaji ambao sio wabinafsi, ambao watashare experience zao mbinu gani wanazotumia au walizotumia kupata kazi kwenye...
  3. E

    Serikali na Wizara ya Afya ninaomba "FUKIZA KILA KAYA", kampeni maalumu ya kutokomeza magonjwa ya milipuko

    Tunaona nchi mbalimbali zikizalisha chanjo za magonjwa ya Corona na kuwagawia wananchi wake na kuuza kwa mataifa mengine. Sisi nasi tumezalisha Tiba za magonjwa kama hayo na tunaona kwenye mitandao ya kijamii waliozitumia wakizisifu. Ni kwa bahati mbaya sana dawa hizi zinapatikana kwa shida...
  4. Tripo9

    Ni wapi naweza kupata mahali kwa ajili ya mtoto kujifunza michezo?

    Mwanangu 6 yr old girl anapenda sana michezo. Shule zetu hizi za ku cremisha cremisha hawajali Sana michezo. Je, wapi nitaweza kuwa nampeleka mwanangu kucheza hasa hasa baada ya school hours maana yeye anatoka saa nane mchana. Tupo Tabata lakini nitajieni popote ndani ya Dar. Michezo iko...
  5. sky soldier

    Je, kwa maono yako unaionaje dunia mwaka 2100 (Maisha, Teknolojua, Mazingira, Imani, n.K)

    Kwangu naona dunia kwa mwaka 2100 wengi humu tutakuwa tupo kwenye makazi yetu ya kudumu. Naiona dunia hapa kwetu tutaanza utaratibu wa mazishi kwa kuchomwa moto kwasababu ya changamoto ya ardhi. Naiona dunia miaka hio, mambo ya ushoga, usagaji, kubadili jinsia yatakuwa katika kiwango cha juu...
  6. sky soldier

    Jana nimebeba TV, laptop, pasi, vitana, vijiko, n.k kwa niliemdai, leo kanirudishia pesa, pesa ya ada ya mtoto ilifeli

    Uvumililivu ulinishinda kiukweli. Yani jamaa nilimkopa Novemba 28, kaja mikono nyuma kichwa chini na sauti ya kinyonge nikamkopa kiasi alichohitaji. Baada ya kumaliza shida zake mshahara wake akapokea ila kimya, nilimwinda sana lakini nikimpigia hapokei, nikituma sms hajibu, whatsapp status...
  7. Kranium

    Tukumbushane miziki ya enzi za kina maunda zorro, vumi n.k

    Walikuwa na sauti za kuvutia na za kipekee, mwenye audio tafadhali anaweza kupandisha (ku-upload nyimbo husika) Maunda Zorro - Nataka niwe wako Vumilia (Vumi) - Tatizo umasikini Weka orodha yako unayoikumbuka kipindi hicho na uliikubali kinoma...
  8. MK254

    Matumizi ya Bandari ya Kisumu yaongezeka kwa 62% shukrani DRC, Uganda, Tanzania, Rwanda n.k.

    Huu ndio mwendo wenyewe, pale ziwa Victoria mambo yanazidi kunoga, Kenya inapepea kwenye pembe zote za nchi. Kisumu port on August 13,2019. FILE PHOTO | NMG The refurbished Port of Kisumu handled 62 per cent more cargo in 2019 due to improved efficiency and a surge in trade, new statistics...
  9. Isaack Newton

    Ifanye gari yako ionekane mpya kwa kushonea roof, seat cover, dashboard n.k. check attachment hapo chini

    Habari wakuu.! Kama kichwa cha habari kinavyosema, tunashonea seat za magari zilizoharibika, dashboard zilizoharibika, roof za magari aina zote, kwenye milango ya magari. Tunapatikana salasala-Mbezi beach. Unaweza ukatucheki what's up au kutupigia moja kwa moja. 0679478758
  10. VentureCapitalist

    Nafikiria kuuweka kwenye kifungashio ugoro niwe nauza kwenye supermarket, maduka n.k

    Nimekaa nikawaza nchi Kama marekani ugoro unauzwa supermarket lakini huku watu wananua kwa kujificha utazani kwamba ni kitu haramu. Hatua ya kupackage ugoro kwenye small can tins ika create ajira na kuingiziwa kipato kwa nchi.
  11. M

    INAUZWA Mashine ya kufumia masweta kofia nk. Inauzwa

    Haina shida yoyote inapiga kazi vizuri kabisa. Bei Tsh 500,000 (maelewano yapo) 0755868463 location: Kahama
  12. D

    Udhaifu wa Bunge ni matokeo ya Bunge kujaa wafanyabiashara tuwapunguze akina Shabiby, Nchambi, Abood, Musukuma n.k

    Bunge la Tanzania la awamu iliyopita lilikuwa dhaifu, CAG alisema, Makonda alisema, wapinzani wamesema sana. Makundi mbalimbali ya wananchi wanasema pia. Udhaifu wa Bunge ilikuwa ni matokeo ya kupeleka bungeni wabunge wanaoangalia masilahi yao na siyo kwamba ni wabunge dhaifu. Wabunge...
  13. RockBom

    Soko la vifaa vya kielectronic vya mtumba

    Habarini za majukumu! Naomba kufahamu masoko nafuu ya vifaa vya kielektronik vya mtumba mfano TV, Laptops nk. Nataka nianze kufanya biashara ya vifaa vya kielektronik vya mtumba.
  14. D

    Wapi pa kupata vifaa vya stationery kwa bei nafuu sana?

    Habari zenu wadau. Naombeni mwenye uzoefu anisaidie kujua ni wapi naweza kupata vitu vya Stationery kwa bei nafuu sana, mfano pen, karatasi, mafaili n.k Natanguliza shukrani
  15. GAZETI

    Uzi maalum: Wapenda mazoezi ya viungo tukutane hapa kwa maoni, ushauri, aina za mazoezi, faida zake n.k

    Wakuu binafsi nafanya mazoezi mengi sana, lakini sijui faida zake nafanya tu kwa kuwa mwili unachangamka na muda mwingi nakuwa mtu mwenye furaha tofauti na kipindi ninachoacha mazoezi. Faida nyingine ninayoiona ni kumbukumbu, kipindi ninachofanya mazoezi ninakuwa na uwezo mzuri sana wa kuhifadhi...
  16. AI dennis

    Wamarekani Weusi ndiyo sababu homicide na crime kuwa juu Chicago, Baltimore, Atlanta, Washington DC n.k

    Ukiangalia miji yote yenye population kubwa ya African Americas ina uhalifu Mkubwa sana. Mfano mji kama Washington DC ambao una federal security headquarters zote kwenye metropolitan yake, lakini bado uhalifu uko juu sababu ni kuwa na African America both in city and metropolitan. Chicago hali...
  17. Frustration

    Sielewi na naomba mnitofautishie

    Katika kutolewa tongotongo juu ya meditation nikawa very eager and interested to practice, lakini nikakutana na vitu viwili ,AP na Lucid dreamer. katika fuatilia threads nikagundua AP ni advanced and sometime is danger ila Lucid ni safe and tranquil to practice. Sasa how naona process ni same...
Back
Top Bottom