nida

National Identification Authority (NIDA) /Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa ni chombo cha kusimamia Vitambulisho vya Taifa nchini Tanzania.
  1. JAMBONIA LTD

    JamiiForums Tanzania Huduma ya online copy haipo katika website ya nida

    Habari wakuu, huduma ya online copy haipo katika website ya nida ila kuna wataalam huwa wanauwezo wa kuzipata. Hivi ujanja gani wa kiteknolojia hutumika?
  2. kevylameck

    JamiiForums Tanzania Sensa, RITA na NIDA; ndugu wasiofanana

    Na Kevin Lameck. Hisia mseto zimekuwapo kuhusu Zoezi la Sensa ya watu na makazi litakalofanyika jumanne ya August 23/2022. Takribani mwezi mmoja baadae kutokea leo. Watanzania Wengine wanaona ni upotevu tu wa fedha, wengine wakiamini Sensa haina maana katika maendeleo ya kijamii. Baadhi ya...
  3. Ok9

    JamiiForums Tanzania Msaada: Namna ya kupata nakala ya online ya kitambulisho cha NIDA

    Habari, Namba ya NIDA ninayo ila nina shida ya online copy naomba namna ya kupata.
  4. VMWare-Oracle

    JamiiForums Tanzania MSAADA: Kufungua akaunti ya Benki

    Habarini wanajamvi. Hivi inawezekana kufungua account ya benki (personal account) Kwa kutumia namba ya NIDA pasipo kitambulisho cha NIDA? Uzi tayari.
  5. Inevitable

    JamiiForums Tanzania Dickson Maimu wa NIDA na wenzake wafutiwa kesi zote

    Dickson Ernest Maimu na wenzake wote wamefutiwa rasmi mashitaka yao yote leo na DPP katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu. Oktoba mwaka jana, alifutiwa kesi moja ya Utakatishaji Fedha zikabaki kesi tatu: Uhujumu uchumi, kuisababishia Serikali hasara na Matumizi mabaya ya Madaraka...
  6. M

    JamiiForums Tanzania NIDA kuna uzembe, mwaka wa nne nafuatilia kitambulisho cha Taifa

    Nida Kuna uzembe mkubwa sana huu mwaka wa nne nafuatilia kitambulisho changu kila nikifika nawambia a bado hakija toka ipo sawa hii au umekuwa deal ku print kitambulisho ndo ichukue more than four years
  7. fullcup

    JamiiForums Tanzania Namba za NIDA zitumike kuajiri walimu na wataalamu wa Afya

    Naomba TAMISEMI msiwe mmezichukua namba zetu za NIDA Ili kujifurahisha naomba mzitumie Ili tupewe kipaumbele tunaomalizia ujana ukiwa mtaani. Wale wenye namba zinazoanza na 1996+ watupishe kwanza wenye 1980s na Early 1990s
  8. ragin

    JamiiForums Tanzania namba ya NIDA kutumika kusajili line nyingi bila muhusika kujua kinachoendelea.

    HABARINI ZA WEEKEND WA NDUGU! TCRA mnipe ufafanuzi inakuwaje namba ya NIDA nimeihangaikia kwa kupanga lifoleeeeni kubwa na kutumia ma finger print yangu hadi picha mkanipiga ili nipate kitambulisho kwaajili ya matumizi yangu binafsi. kwa jinsi mlivyotuelimisha zile finger print ni kama...
  9. Waibi fredy

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Vyeti vya elimu na NIDA vimetofautiana majina

    Habari wapendwa, Kama kichwa cha habari apo juu. Nilikuw na changamoto kwenye majina cheti cha form four Nida Chuo Naomba ushauri kipi nibadilishe kati ya ivyo juu au kipi nichukue kiapo ili nitumie kwenye harakati za ajira . Cheti cha form 4 - xxx xxxx FREDI Nida - xxx xxxx FREDI Chuo...
  10. RoadLofa

    JamiiForums Tanzania Vitambulisho vya NIDA tumepigwa😀😀

    Ukichunguza vitambulisho vya NIDA vingi vina makosa kwenye vipengele mbalimbali, unaweza kuwa ni ile card inataarifa vizuri kabisa inayoonyesha taarifa zako kama kwenye birth certificate vizuri kabisa ila ile namba ikiingizwa kwenye system inayosoma card yako ikaleta details tofauti kabisa kama...
  11. Marco Polo

    JamiiForums Tanzania NIDA wamenijibu kuwa hawana mpango wa kutoa vitambulisho vya Utaifa tena

    Hili suala la vitambulisho vya taifa limekuwa kero sana. Kuna watu wengi wamejiandikisha toka 2017 ila mpaka sasa hawana vitambulisho. Leo nimeenda kufuatilia kitambulisho changu nilichojiandikisha 2018 na hayo ndio majibu niliyopewa. Kuna kitu gani kipo NIDA? Mbona viongozi wako kimya huku...
  12. YEHODAYA

    JamiiForums Tanzania NIDA inatarajia kuanzisha vitambulisho vya Taifa vya Smartcard

    Dar es Salaam. The National Identification Authority (Nida) says it is working on a national identity smartcard that would do away with the need to have multiple IDs. Currently, Tanzanians have several identification documents, including the national ID, driving licence, health insurance ID...
  13. Mwanamaji

    JamiiForums Tanzania NIDA VS UHAMIAJI: Ukikamilisha taratibu zote, unapata passport baada ya wiki 2. NIDA wao unapata kitambulisho baada ya Mwaka au zaidi

    Habari zenu wakuu. Kwa kadri miaka inavyosogea, ndivyo mahitaji ya huduma za haraka na zenye ufanisi yanaongezeka. "Being Quick, Efficient and Consistent is being Good" Kasi ya maisha ya mwaka 1980 haiwezi kuwa sawa na ile ya 2020. Katika taratibu za kawaida za kazi, kuanzia siku ambayo...
  14. R

    JamiiForums Tanzania Namba ya NIDA ufafanuzi

    19XX-AXAY-BBCDE-0000X-YY ufafanuzi: 19XX=mwaka wa kuzaliwa AX= mwezi wa kuzaliwa AY= tarehe ya kuzaliwa BBCDE=post code ya kata ulikojiandikishia 0000X= ni nini? YY= ni nini?
  15. Kasomi

    JamiiForums Tanzania Ofisi za NIDA mkoa wa Mbeya mjirekebishe, msijione mmeyaweza Maisha

    Dah inauma sana Najua humu wapo wafanyakazi either hao wa NIDA sehemu husika au sehemu nyingine. Pia humu kuna viongozi na bila shaka watapitia bandiko hili. Leo nilicho shuhudia ofisi za NIDA mkoa wa Mbeya kwa Kweli wale wafanyakazi wanajiona kama wametoboa Maisha yaani wanatesa sana...
  16. Kapepo

    JamiiForums Tanzania Inachukua muda gani kubadili jina kutoka NIDA?

    Habari wakuu, Naomba kuuliza hivi inachukua muda gani katika kubadirisha jina la kwenye kitambulisho cha NIDA ikiwa ushafata taratibu zote ikiwemo, Deed poll, tangazo la gazeti na kulipia elfu ishirini NIDA, je naweza subiri ndani ya muda gani hadi wabadirishe jina langu kwenye database yao...
  17. Wanama

    JamiiForums Tanzania Msaada: Laini yangu imefungiwa kwa kufanya hivi

    Habarini wana JamiiForums, Niende moja kwa moja kwenye mada yangu. Mnamo wiki uliyopita hii nilipokea meseji kutoka kwa namba ngeni nisiyoitambua(tapeli),sms yenyewe ilikuwa ikinieleza kumtafta mganga Sanga ambaye ni mtaalamu wa dawa za jadi na ikaweka namba za mganga Sanga. Baada ya sms iyo...
  18. B

    JamiiForums Tanzania Msaada: Jinsi ya kubadili picha kitambulisho cha taifa NIDA

    Wadau wakati napiga picha miaka iyo ilopita nilikua na karangi keusi sasa nimekunywa maji mengi kama Rey kigosi nimekua na karangi keupe, ukitazama picha ile na sasa utakataa sio mimi, vipi upo uwezekano wa kubadili picha nida?
  19. beth

    JamiiForums Tanzania Bungeni, Dodoma: Spika Ndugai ataka NIDA kuitwa na Kamati. Asema haifanyi vizuri

    Spika wa Bunge, Job Ndugai ameitaka Kamati ya Ulinzi na Usalama kuiita Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA), akisema hawafanyi kazi nzuri Akizungumza leo katika Kikao cha Kwanza, Mkutano wa Tano wa Bunge la 12 amesema, "Ndiyo kazi yenu kupitia hizi Kamati, waiteni kieleweke. Tumeanza nao...
  20. mfalmeselemani

    JamiiForums Tanzania Bunge labaini madudu vitambulisho vya taifa

Back
Top Bottom