nida

National Identification Authority (NIDA) /Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa ni chombo cha kusimamia Vitambulisho vya Taifa nchini Tanzania.
  1. Replica

    Serikali: Watanzania wote wenye sifa watapewa vitambulisho vya Taifa kufikia Disemba 31, 2021

    Leo naibu waziri wa mambo ya ndani, Khamis Hamza Chilo amesema Watanzania wote wenye sifa ya kupata vitambulisho vya Taifa wote watapewa vitambulisho vyao kufikia Disemba mwaka huu. Waziri Chilo ameyasema hayo bungeni mjini Dodoma akijibu swali la mbunge wa viti maalum, Saada Mansoor (Kaskazini...
  2. sky soldier

    NIDA ni mzigo tu matapeli wanajisajili vipi bila alama za vidole

    Yaani hii nchi vituko havujawahi kuisha, pamoja na serikali kutukamia haya mambo ya Nida lakini bado tunaambiwa tuwe tunahakikisba taarifa ya line tulizosajili, hii kwahiyo inamaanisha tapeli akiwa na namba yako ya nida anaweza kusajili line? Hii ishu hata siielewagi maana ninachojua ni kwamba...
  3. J

    Inachukua muda gani kubadili taarifa NIDA?

    Ukienda NIDA kubadilisha taarifa zinachukua muda gani hadi zibadilike kwenye mfumo?
  4. Yofav

    Jinsi gani nitapata namba ya NIDA?

    Habari za muda huu ndugu, Kaka,Dada na wengineo wengi mliomo humu JF. Ni jinsi gani naweza kupata namba ya NIDA au kitambulisho Cha taifa ikiwa wazazi wangu hawajajiandikisha NIDA Wala hawana vitambulisho Wala vyeti vya kuzaliwa na hawatilii maanani. Kwa mnaojua utaratibu Ni lazima niwe na...
  5. Mbaga Jr

    Kitambulisho cha NIDA kwa mara ya pili

    Inasikitisha sana wakuu
  6. Mrs Bishanga

    Mstaafu anakwama sababu ya kukosa ID ya NIDA

    Wakuu heshima kwenu, Mbali na kuwa ana namba ya kitambulisho cha NIDA mzazi wangu aliyefikisha umri wa kustaafu anakwama kufwatilia process zote ndani ya halmashauri anapofanyia kazi kwakuwa anakosa kitambulisho cha NIDA. Wahusika wanaopokea barua zake wamekataa kutumia namba ya NIDA wanataka...
  7. Mwanamaji

    Mama kasema tukosoe na tushauri suluhu: "Bure Bure" ya NIDA inatuchelewesha

    Kufuatia wito wa Mh. Rais kwamba vijana tutumie mitandao kukosoa lakini pia tupendekeze suluhisho la yale tunayoyakosoa, leo nina pendekezo juu ya suala zima la utoaji wa vitambulisho vya utaifa kupitia NIDA. Utangulizi; Ninafahamu hali ya kifedha ya baadhi ya watanzania wenzetu ni ngumu sana...
  8. Analogia Malenga

    Kitambulisho cha NIDA si kigezo cha uraia - Waziri

    Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. George Simbachawene, amesema kuwa mwananchi kuwa na kutambulisho cha NIDA haina maana kwamba hicho ndicho kinachoonesha uhalali wa uraia wake kwani vitambulisho hivyo hata wananchi wasiowazawa wa Tanzania wanavyo. Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe...
  9. kmbwembwe

    Kuna nini NIDA hadi vitambulisho havitoki tena?

    Nchi zetu changa zinapelekeshwa kila siku na ubeberu. Ukiwepo mpango wowote wenye maslahi kiuchumi kwa umma ila unakinzana na maslahi ya ubeberu au vikaragosi vyao unakwama. Ni vigumu mtu kuamini sababu zinazotolewa kila siku kwanini mpango wa Serikali kuwapatia wananchi wake vitambulisho...
  10. King Savi

    Nataka kutumia jina tofauti kwenye Kitambulisho cha NIDA

    Heshima Yenu Wakuu, Hongereni kwa majukumu ya kuijenga mama Tanzania. Nahitaji msaada wa mawazo yenu na pia kwa aliyekutana na hii changamoto anipe usaidizi pia iwafikie wahusika Serikali pamoja na NIDA. Nipo kwenye mchakato wakupata kitambulisho cha taifa (NIDA). Changamoto yangu iko hapa...
  11. K

    Simbachawene: Kupata kitambulisho cha NIDA siyo mwarobaini wa kutokuulizwa uraia wako

    WAZIRI wa Mambo ya Ndani, George Simbachawene ameeleza kuwa kuwa na kitambulisho cha Utaifa (NIDA), hakuhalalishi mtu kuwa ni Raia wa Tanzania. Pia soma > Mbunge :Wasiojua vema mashairi ya wimbo wa Taifa na Kiswahili wanaambiwa siyo raia wa Tanzania Simbachawene ameeleza hayo leo Mei 4...
  12. H

    Nahitaji kupata API za NIDA

    Habarini wapendwa, nahitaji kupata API za NIDA kwa yeyote ambaye amewahi kuzipata naombeni procedures
  13. Civilian Coin

    Waraka Maalumu kwa Rais Samia Suluhu Hassan juu ya hujuma zinazofanywa na Watendaji wako NIDA

    WARAKA MAALUM KWA MH. SAMIA SULUHU RAIS WA TANZANIA JUU YA UTAPELI NAOFANYIWA NA MAMLAKA YA VITAMBULISHO VYA TAIFA(NIDA Salaam kwako Mkuu wa Taifa la Tanzania, naitwa DON NALIMISON ni Mwanamuziki na Mjuvi wa Falsafa, malalamiko yangu nayafikisha Mbele ya Kiti chako Cha Ikulu ili niweze...
  14. LUCKSON MNYENGU

    Jamani naombeni msaada hivi ukitaka kupata namba yako ya NIDA unafanyaje?

    Jamani msaada ukitaka kupata namba yako ya nida unafanyaje kwa sasa hivi manake nimejaribu ussd code(*152*00#) imekataa sehemu ya nida siioni.
  15. Fatma-Zehra

    Hili la Viwanja na NIDA lisisubiri hadi Julai 2021

    Kama nilichokisikia ni kweli, naipongeza serikali kwa kubuni njia nzuri ya kupambana na ufisadi kwenye sector ya ardhi. Lukuvi anasema ataunganisha namba ya mmiliki ya NIDA na taarifa za kiwanja/viwanja anavyomiliki. Niliwahi kushauri kwenye thread moja iliyohusu kuondoa na ku-descourage...
  16. Richmoto Kushmoto

    Wakuu nisadieni jinsi ya kupata copy ya kitambulisho cha NIDA ni muhimu sana

    nina shida sana na copy ya kitambulisho cha kwaajili ya bank akaunt nilipewa emaili ya meneja wa NIDA wa Iringa lakini maeneo ya kazi wanakwepa kutuma barua ya dharula kwa njia ya email kuna anayeweza kunitolea copy ya kitambulisho cha nida humu sipo sana coz simu kubwa sina ni very serious...
  17. figganigga

    Uhamiaji, NIDA na RITA, mfungulieni Kesi ya Uhujumu Uchumi Diamond Platnumz kwa Kumiliki nyaraka fake za Serikali. Vitambulisho vyote anyang'anye

    Salaam Wakuu, Vyombo vya Serikali viache double standard. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akimzawadia kofia msanii Naseeb Abdul maarufu kama Diamond Platinumz baada ya kutumbuiza maelfu kwa maelfu ya wananchi waliohudhuria mkutano wa kampeni Uwanja wa CCM...
  18. Jaji Mfawidhi

    HESLB Mikopo kuunganishwa na NIDA, TIN, Passport na kadi za benki

    Abdul Razaq Badru Mkurugenzi wa Bodi amefafanua kwamba mnufaika ataanza kulipa baada ya miezi 24 [miaka 2 ] kama hana ajira. Baada ya hapo Deni linakuwa kwa 10% kila mwaka. Watu ambao hawajaajiriwa kwenye sekta rasmi wanapaswa kurejesha 100,000/= au ASILIMIA KUMI 10% ya pato analolipia kodi...
  19. Nangose 1

    Kuhitajika namba za NIDA wakati wa application SUA

    Wadau, wakati nafanya application SUA. Nimekutana na kipengele kinachohitaji namba ya NIDA.. Sasa kama hauna inakuwaje hapa.!!, kuna mtu yeyote kakutananacho hiki kipengele..?
Back
Top Bottom