Me too
JF-Expert Member
- Feb 9, 2015
- 7,325
- 9,186
HABARINI ZA WEEKEND WA NDUGU!
TCRA mnipe ufafanuzi inakuwaje namba ya NIDA nimeihangaikia kwa kupanga lifoleeeeni kubwa na kutumia ma finger print yangu hadi picha mkanipiga ili nipate kitambulisho kwaajili ya matumizi yangu binafsi. kwa jinsi mlivyotuelimisha zile finger print ni kama password ya mhusika hawezi kutumia mtu mwingine kitambulisho chako (kwa uelewa nilioupata),,,,.
swali inakuwaje NIDA yangu inatumika pasi na mimi kujua?
haya wakala (msajili line) alibaki na namba yangu ya NIDA kwa uhuni wake akasajilia watu bila kujua je! mlimuacept vipi wakati alipoweka dole lake asajili laini zile fingerprint haziendani na mwenye NIDA?
wahusika mje mnijibu haya maswali haiwezekani mtuchezee akili kusajili line nyingi kwa NIDA ya mtu bila kujua wakati kuna fingerprint.
la sivyo haya matamko yenu ya shuruti tutakuwa tunayapuuza ikiwemo sensa hamna maana yoyote ni danganya danganya na janja janja nyingi....
NB: mnaouliza nimejuaje bonyeza *106# kujua NIDA yako imetumikaje.
TCRA mnipe ufafanuzi inakuwaje namba ya NIDA nimeihangaikia kwa kupanga lifoleeeeni kubwa na kutumia ma finger print yangu hadi picha mkanipiga ili nipate kitambulisho kwaajili ya matumizi yangu binafsi. kwa jinsi mlivyotuelimisha zile finger print ni kama password ya mhusika hawezi kutumia mtu mwingine kitambulisho chako (kwa uelewa nilioupata),,,,.
swali inakuwaje NIDA yangu inatumika pasi na mimi kujua?
haya wakala (msajili line) alibaki na namba yangu ya NIDA kwa uhuni wake akasajilia watu bila kujua je! mlimuacept vipi wakati alipoweka dole lake asajili laini zile fingerprint haziendani na mwenye NIDA?
wahusika mje mnijibu haya maswali haiwezekani mtuchezee akili kusajili line nyingi kwa NIDA ya mtu bila kujua wakati kuna fingerprint.
la sivyo haya matamko yenu ya shuruti tutakuwa tunayapuuza ikiwemo sensa hamna maana yoyote ni danganya danganya na janja janja nyingi....
NB: mnaouliza nimejuaje bonyeza *106# kujua NIDA yako imetumikaje.