news

  1. U

    Trump ameidhinisha mpango ya kuishambulia Iran

    Breaking News Trump ameidhinisha mipango ya kuishambulia Iran, - 19 Juni 2025, 12:30 asubuhi 2 Juni 18, 2025. (Brendan Smialowskyi/AFP) Rais wa Marekani Donald Trump aliwaambia wafanyakazi kwamba ameidhinisha mipango ya kuishambulia Iran, lakini...
  2. U

    Shekeli ya Israel yapanda thamani huku wawekezaji wakitathmini hali ya baada ya mzozo na Iran

    Shekeli ya Israel imepanda kwa kasi leo, huku soko la hisa na hati fungani likionyesha ongezeko, wakati wawekezaji wakianza kutathmini mazingira mapya ya hatari ya muda mrefu kwa mali za Israel baada ya mzozo na Iran kuingia hatua mpya. Ifikapo saa 19:42 kwa saa za Afrika Mashariki (GMT+3)...
  3. U

    Kumbe Ayatollah Khamenei na familia yake wamejificha kwenye bunker huko Lavizan Kaskazini Magharibi mwa Tehran

    Wadau hamjamboni nyote, Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo, EXCLUSIVE Khamenei and his family hiding in bunker in Lavizan northwestern of Tehran, sources say 21 minutes ago Iran's Supreme Leader Ali Khamenei was moved to an underground bunker in Lavizan in northeastern Tehran hours...
  4. Logikos

    Trump Mzee wa Distraction: Alisambaza Fake News kwamba Biden ni Clone (Biden wa kweli alikufa 2020)

    Wanakati huku zinakuja News kwamba fortune (Utajiri wa Trump) umeongezeka mara mbili ndani ya mwaka na kwamba alikuwa rafiki wa karibu na molester wa vibinti vidogo Jeffrey Edward Epstein ; Trump akaamua kupost kwenye Platform yake kwamba Biden huyu aliyepo ni Clone... Kweli dunia ya sasa the...
  5. U

    Breaking News Iranian missile attack hits synagogue in southern Israel

    Wadau hamjamboni u. 6 minutes ago Iranian missile attack hits synagogue in southern Israel - Channel 12 Israel's Channel 12 has released a video that purportedly shows a synagogue in southern Israel targeted by an Iranian missile attack. pic.twitter.com/G4v0MLy8W4 — Iran...
  6. U

    Netanyahu asema Ndege za kivita za Israel hivi karibu zitaruka juu ya Tehran na kushambulia shabaha zote muhimu

    saa 2 zilizopita BREAKING NEWS Ndege za kivita za Israel zitaruka hivi karibuni juu ya Tehran, Netanyahu anasema Ndege za kivita za Israel hivi karibuni zitaruka juu ya Tehran na kushambulia shabaha zote muhimu za kuanzishwa kwa makasisi wa Iran, Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu alisema Jumamosi...
  7. U

    Baraza Kuu la Usalama la Taifa la Iran lafanya kikao kujadili jibu kwa Israel

    Wadau hamjamboni nyote by Iran International. Iran’s Supreme National Security Council holds session to discuss response to Israel Iran’s Supreme National Security Council convened on Friday evening to review and reinforce ongoing plans for responding to Israel, the council’s secretariat...
  8. U

    Shughuli kali za ulinzi wa anga zaripotiwa karibu na makazi ya Kiongozi Mkuu Khamenei

    Ripoti kutoka vyombo vya habari vya Iran zinaeleza kuwa kumekuwa na shughuli kali za ulinzi wa anga karibu na Uwanja wa Pasteur jijini Tehran, eneo ambalo liko karibu na makazi rasmi ya Kiongozi Mkuu wa Iran, Ayatollah Ali Khamenei, pamoja na ofisi ya rais. Shirika la habari la Tasnim...
  9. U

    Israel yaanza kuitandika Iran tena muda huu

    Wadau hamjamboni nyote. Mlipuko mkubwa ulisikika muda mfupi uliopita karibu na kambi ya kijeshi ya kijeshi katika mkoa wa Hamedan magharibi mwa Iran, vyombo vya habari vya serikali vimeripoti, kufuatia shambulio kubwa la Israel dhidi ya nchi hiyo. "Saa chache zilizopita, mlipuko mkubwa...
  10. Nyani Ngabu

    DW News nao wamkalia kooni mtawala wa Tanzania!

    Hii ni safi sana. Wambane kila kona aishie kwenda Burundi, Msumbiji, Uganda, na jamhuri zingine za midizi kama ilivyo nchi anayoitawala. Hakuna pa kujificha wala pa kukimbilia. https://youtu.be/VgcKuwarg1I?si=DtEUKkMHS6Yd0fvW
  11. The Palm Beach

    KTN News: Martha Karua aeleza kwa undani sababu za kuzuiliwa kuingia Tanzania akiwa Airport na kisha kuwa "deported" kurudi Kenya

    https://youtu.be/5HU2fES7Es0?si=ZkHkhXfQQh61TLt3 Mahojiano yamefanyika Kwa lugha ya Kiingereza.. Kwa ufupi sana Martha Karua anasema: • Tulitoka Kenya na wenzangu kwenda DSM Tanzania ili kufuatilia kesi ya Tundu Lissu... • Tulipofika Airport DSM, tulikuwa detained hapo hapo Airport. Hatukuwa...
  12. Msolo

    Apps nzuri na bure kwa Michezo, Movies, News

    Kusambaa kwa internet kunabadilisha namna tunavyoishi na kufanya mambo, kwangu mimi imeondoa matumizi ya ving'amuzi(tv decoders) sasa natumia apps kuwatch kila kitu Tv channels, movies, michezo mbalimbali kwa gharama nafuu. Hizi ni list ya Apps ninazotumia kwenye Android TV na Android phone...
  13. Vitu Vingi

    Ajira Portal & Other Jobs Board Assessment.

    Job Vacancies Assessment – Top 5 Regions with Most Frequently Posted Jobs Nikiwa kama Jobs Board Webmaster (Namanage Job sites zaidi ya 3 za ajira, Ajira Portal, Kazi Portal, na Ajira Point), I have observed patterns and frequency of job vacancies kulingana na mikoa. He is what I found out ...
  14. Crocodiletooth

    BREAKING NEWS: Failed Soviet spacecraft finally crashes into the Indian Ocean

    A Soviet-era spacecraft has finally returned to Earth – 53 years after it was launched. Kosmos 482, a Venus lander launched by the Soviet Union in 1972, reentered Earth’s atmosphere on May 10, 2025, crashing into the Indian Ocean west of Jakarta, Indonesia. Originally intended to study Venus...
  15. Faana

    Picha: Current News

  16. Mi mi

    China yatangaza nyongeza ya asilimia 84% ya ushuru kwa bidhaa za Marekani

    Kazi bado inaendelea ni vuta nikuvute kati ya utawala wa Trump na nchi ya China katika vita vya ushuru. BREAKING: 🇨🇳🇺🇸 China announces additional 84% tariff on US goods. https://x.com/WatcherGuru/status/1909925306560885110?t=-ienhln5-MyLFFrJ4DBwBQ&s=19
  17. adriz

    Mahojiano na Sky News : Msemaji mkuu wa serikali ya Israel kujibu maswali muhimu aliyoulizwa

    Moja kwa moja. Juzi juzi nilikuja na mada chini hapo kuhusiana na tukio la IDF kuua watu wanaotoa Huduma za kitabibu Gaza wakiwa kwenye ambulance na kueleza uongo wao katika taarifa ya awali waliyotoa kuhusiana na tukio hilo amabalo sasa hivi limezidi kuchafua taswira mbaya ya IDF baada ya...
  18. MwananchiOG

    Simba haijawahi kutwaa kombe la NBC wala CRDB tangu yaanzishwe

    Tangu kuanzishwa kwa Kombe la Ligi kuu bara chini ya udhamini wa NBC , muonekano wa makombe haya yameshabadilishwa mara kadhaa, Lakini katika mionekano yote 5imba haijawahi hata kujua uzito wa kombe mojawapo ukoje 😀 Mara zote makombe haya yameenda kwa wazee wa kutandaza soka safi na mabingwa wa...
  19. Crocodiletooth

    Non threads various news Alert

    The United States has reportedly sold 1,000 “immigration gold cards” — special visas offering residency for $5 million each — generating $5 billion in just one week. According to official Howard Lutnick, the money will go toward reducing the $36.2 trillion national debt. A platform is also being...
  20. Mshana Jr

    Tetesi zikikoma huwa breaking news

    Minong'ono ni mingi .. Na uzushi pia.. Yanatetwa mengi kimyakimya lakini inawezekana pia ni sehemu ya bongo movies.. Mnatengenezewa series.. Bandika bandua.. Lakini kama ikiwa ni kweli kwa kweli katika uhalisia wake.. Panaweza kuchimbika vizuri sana huku February akikenua kijino pembe.. Meno nje...
Back
Top Bottom